Lenie
JF-Expert Member
- Aug 3, 2012
- 17,229
- 50,144
Itakua wanachat huko pmAmtaje na huyo mwanaume au tuangalie nani anaechat nae muda mwinhmg ndio atakuwa huyo
Awataje tu wote hapa, tuwashughulikie
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Itakua wanachat huko pmAmtaje na huyo mwanaume au tuangalie nani anaechat nae muda mwinhmg ndio atakuwa huyo
Cha msingi atupe list au sio? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Humu mambo ni mazito hee
Ila sio shida zetu, sisi tunanata na beat tu
Kwani sh ngapi
Anapenda kucheza na hisia zetuAmetutoroka huyo uwa la kondeni
Ndio tunachotakaCha msingi atupe list au sio? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
YaniAttention seeker
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ariririiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiihInatoka wapi?[emoji23] wazalishane watajua wenyewe. Tena wadada kuna code mpya ntawapa ila wababa wasijue. Kidokezo tu ni kwamba ukijua amezaa nje usimuulize unakua umempa urahisi wa kujielezea. Mambo ni mengi mda mchache. Michepuko mtajua pa kwenda ila majumbani wanarudi kuja kula tena kwa bashasha[emoji23]
😂😂😂 em njoo hapa ufungue PM Unique FlowerAnapenda kucheza na hisia zetu
HILL NA DEW POINT NAHISI MMBADALA WA KILIMANJARO... ALAFU KILIMANJARO HAYANA UTAMU UMEISHA MITAMBO IMETUMIKA SANASomething is not right, yaani kabisa naona maji ya kilimanjaro yamekosa ile taste ya kipindi mzee mengi akiwepo. We need an expert on distillation issues...
MtajeeeeeeeeeeIla kuna mtu anaccount ya mwanaume ndio kanitusi akizani sintojua nimejua nikivurugwa na mtaja
UNAIBAAA WABABA WA WATU SANA HUMU, WANAKUUNDIA TUME WEWE WAUCHOME MOTO[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] JF mchezooooo dyadyaaan
Sent using Jamii Forums mobile app
Na mnavyompekecha kichwa sasa..sasa hivi anaingia kingi🤣Vinachekesha ujue [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Namna napenda mambo ya kijinga leo nitashinda kwa shoga angu nicheke tuuu maana anavyoandika na anavyocomment ni burudani
Ikiwezekana atupe list zote na za wale aliowatibu genye ila hawana shukraniNdio tunachotaka
Hatuna kazi ya kufanya, ye atupe list tujikeep busy siku iende[emoji1787][emoji1787]
Hahahahaaa...[emoji23][emoji23][emoji23] em njoo hapa ufungue PM Unique Flower
Wababa hawaibiwi wanajiibishaUNAIBAAA WABABA WA WATU SANA HUMU, WANAKUUNDIA TUME WEWE WAUCHOME MOTO
Naomba uniamini kipenzi changu🤣🤣Akuuuuuh sitakiii kuaminiii. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahaaaa. Shauri yake. Yeye akijaa sisi tutamcheka tuNa mnavyompekecha kichwa sasa..sasa hivi anaingia kingi[emoji1787]
Na akuheshimu wewe? Na I'd fakeJamii Forum ni Home of greater thinkers.
Si jukwaa la Umbea.
Kusutana.
Mipasho nk.
ACHENI MAMBO YA KISHAMBA.
TUNACHAFULIANA HESHIMA