Wadau Huyu Fei Toto Mnamuonaje??

Fei atakuja kuwa middle mkubwa na mwenye uwezo kama hatalewa visifa vidogo hv.. sio kwamba amekuwa na uwezo wa kuaminiwa sana kuzidi MKUDE... haya ni matusi.
Alicheza vzr Kiungo?Sikumfuatilia mtu mmoja mmoja nilikuwa nafuatilia timu nzima.Ila pale katikati kipindi cha pili vijana wa stars walipadhibiti na zile touch kama Barca.
 
Mkude kalifanyia nini hili Taifa??? na Simba kacheza miaka 7 ubingwa Mara mbili..ujue anazidiwa medali na Makapu...
Kwa hiyo Makapu ni muhimu kuwapo Stars kuliko Samata, kwa kuwa Genk haijawahi kuchukua ubingwa wa Belgium?
 
Huyu kijana alipoingia, alileta uhai Katika timu ya Taifa, tulishinda lakini timu Yetu walicheza kama wameokotana
 
Fei Toto ni mchezaji mzuri lakini hawezi Kuwa mzuri zaidi ya Mkude.
Mkude ana uzuri gani? Sema ni mzuri akiwa huko kwenu simba! Ni wakawaida sana! Feisal ndio kwanza anaanza kudhihirisha uwezo wake, baada ya miaka 2 atakuwa mbele huko! Huyo Mkude kila akifanya majaribio anafeli.... Ndio mjue wakawaida.
 
Tuachie mchezaji wetu tatizo ninaloona kwake ni kucheza kwa nguvu matokeo yake anatengeneza kadi na faulo nyingi. Tumpe muda kwani kuanza kumfananisha na mkude sio haki kwa muda huu faisal pana mengi ya kufanya mpaka awe amekwivya. Nikimkumbuka humud huwa nasikitika sana.
 
Kwa hiyo Makapu ni muhimu kuwapo Stars kuliko Samata, kwa kuwa Genk haijawahi kuchukua ubingwa wa Belgium?
Belgium unaongelea dunia ya kwanza...Mechi ya jumapili na Stand chukua pen na karatasi hesabu pass za pembeni na nyuma anazopiga Mkude ni nyingi kuliko za mbele...
 
Dah.. Huyu Mtalamu Humud alipotea kimzaha mzaha.
 
Mkude ana uzuri gani? Sema ni mzuri akiwa huko kwenu simba! Ni wakawaida sana! Feisal ndio kwanza anaanza kudhihirisha uwezo wake, baada ya miaka 2 atakuwa mbele huko! Huyo Mkude kila akifanya majaribio anafeli.... Ndio mjue wakawaida.
Usilinganishe mwanga na Giza. Si makosa yako unaongozwa na hisia
 
Fei Toto akiongeza mazoezi ya jimu kidogo aongeze mwili na stamina,Mkude anaweza kuwa mfua jezi wake
 
Toto ana udambwi-udambwi Zaid ya hapo kwa Mkude ataisoma no. Ingawaje naona umri unakimbia Pamoja na akina nyon na yondan
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…