Wadau, tuweke vita kando kidogo tusherehekee habari njema kwamba Biashara kati ya Kenya na Tanzania inakaribia kufika 1 billion dollars

Wadau, tuweke vita kando kidogo tusherehekee habari njema kwamba Biashara kati ya Kenya na Tanzania inakaribia kufika 1 billion dollars

Na wewe Koma kufikiri Tanzania tunalima mahindi tu

Hivi unajua kwamba Tanzania company inayoongoza kulipa kodi ni company ya beer 🍻

Sasa malighafi zote za kutengeneza bia zitatoka Tanzania (awali ni 50% tu ndio ilikua local) na sasa wameingia mikataba na wakulima kununua malighafi yote, yaani wakulima wetu wanazidi kuneemeka (multimillion dollars deal)

Kenya vyote hivi ni imported from outside, nani aliwaroga? Mbona mmekua wavivu hivi?






Nimekugusa penyewe mpaka unaniquote mara nyingi, ila ndio ujumbe wenyewe huo, wakulima wenu wangeendelea kuteseka sana kama mwenda zake angeendelea na huo ujuha wa chuki.
Sasa hivi tutawafikia tu na kununua mazao yao, hao walioko mbali wavute subira, tunaendelea kuboresha.

 
Kwa hivyo hamutaki pesa zetu? Kwa hivyo wakulima wenu waendelee tu kuwa masikini kwa sababu ya siasa?
Kwahiyo mnavyopeleka. Maua na mboga mboga uingereza nyie ni mtajiri sana.mlivyonunua mahindi ya mexico waliwafata au mliwafata.sisi hatulazimishi bhana ,kuweni na heshima
 
Kuna huyu mbunge hapa aliwapiga na facts tu.
 
250 Trucks daily,Most of them from Tanzania into Kenya.Ebwana siyo poa watu wanafanya Biashara,Hongera kwao.
 
Wadau huwa tunapigana vita sana huku lakini ukweli usemwe kwamba nchi hizi mbili zikiweka vita kando tunaweza kufanya biashara nzuri sana. Baada ya miezi 11, biashara kati ya Kenya na Tanzania imefikia 905 million dollars na hapo ikumbukwe kuna mwezi moja bado haujahesabiwa. Rais wenu yule aliyechukia Kenya sana na kuzuia mahindi yenu yasiuzwe Kenya, na kufunga mipaka na kadhalika alifanya uhusiano huu udhoofike sana. Sasa baada ya mama kuingia, biashara imenoga na hata Wakulima wenu wanafaidika.

Njia hii ya urafiki ndio njia nzuri maana kila mtu anapata pesa. Hakuna haja ya vita kila wakati. Huyo mwamba wenu alikuwa mzuri sana kwenye kuwajengea miundombinu lakini alikuwa mbaya sana kwenye kujenga uhusiano na nchi jirani.


Tanzania is benefiting too much compared to Kenya , bcoz Tz is exporting more goods to Kenya than it's import
 
Tanzania is benefiting too much compared to Kenya , bcoz Tz is exporting more goods to Kenya than it's import
Interns of "cash" yes Tanzania is benefiting than Kenya, but Kenyans are benefiting for serving lives of their people who depend on Tanzanian to survive.

Kenya wanafurahia na kulaximisha biashara na Tanzania kwasababu kwao sio biashara ila ni kupambana na kifo, bila chakula cha Tanzania wakenya wengi Sana watakufa.
 
Interns of "cash" yes Tanzania is benefiting than Kenya, but Kenyans are benefiting for serving lives of their people who depend on Tanzanian to survive.

Kenya wanafurahia na kulaximisha biashara na Tanzania kwasababu kwao sio biashara ila ni kupambana na kifo, bila chakula cha Tanzania wakenya wengi Sana watakufa.
naskia magufuli pia alikufa njaa kwani hakukula mahindi yakutosha...?
 
Wadau huwa tunapigana vita sana huku lakini ukweli usemwe kwamba nchi hizi mbili zikiweka vita kando tunaweza kufanya biashara nzuri sana. Baada ya miezi 11, biashara kati ya Kenya na Tanzania imefikia 905 million dollars na hapo ikumbukwe kuna mwezi moja bado haujahesabiwa. Rais wenu yule aliyechukia Kenya sana na kuzuia mahindi yenu yasiuzwe Kenya, na kufunga mipaka na kadhalika alifanya uhusiano huu udhoofike sana. Sasa baada ya mama kuingia, biashara imenoga na hata Wakulima wenu wanafaidika.

Njia hii ya urafiki ndio njia nzuri maana kila mtu anapata pesa. Hakuna haja ya vita kila wakati. Huyo mwamba wenu alikuwa mzuri sana kwenye kuwajengea miundombinu lakini alikuwa mbaya sana kwenye kujenga uhusiano na nchi jirani.


Imeshafika kitambo na uzuri imeegemea upande wetu
 
Wadau huwa tunapigana vita sana huku lakini ukweli usemwe kwamba nchi hizi mbili zikiweka vita kando tunaweza kufanya biashara nzuri sana. Baada ya miezi 11, biashara kati ya Kenya na Tanzania imefikia 905 million dollars na hapo ikumbukwe kuna mwezi moja bado haujahesabiwa. Rais wenu yule aliyechukia Kenya sana na kuzuia mahindi yenu yasiuzwe Kenya, na kufunga mipaka na kadhalika alifanya uhusiano huu udhoofike sana. Sasa baada ya mama kuingia, biashara imenoga na hata Wakulima wenu wanafaidika.

Njia hii ya urafiki ndio njia nzuri maana kila mtu anapata pesa. Hakuna haja ya vita kila wakati. Huyo mwamba wenu alikuwa mzuri sana kwenye kuwajengea miundombinu lakini alikuwa mbaya sana kwenye kujenga uhusiano na nchi jirani.


Imeshafika kitambo na uzuri imeegemea upande wetu
 
Back
Top Bottom