Wadau wapendekeza Elimu ya Msingi kuishia darasa la 6

Hiyo elimu tunayotaka tuifanyie mabadiliko ndio imezalisha hao wataalamu unaotaka washauri kuhusu mabadiliko, na unategemea maajabu. Lol πŸ˜› πŸ˜› πŸ˜› πŸ˜›
 
Hiyo elimu tunayotaka tuifanyie mabadiliko ndio imezalisha hao wataalamu unaotaka washauri kuhusu mabadiliko, na unategemea maajabu. Lol πŸ˜› πŸ˜› πŸ˜› πŸ˜›
Sasa tufanyeje?
 
Pia hili suala ni la kisera la serikali kufanya elimu ya sekondari iwe elimu ya msingi kwa watanzania wote. Dunia imebadilika sana. Tusiogope changes bali tujiandae kwenda na mabadiliko hayo.
 
Sema Mh. jumanne Kishimba anaongeaga points Sana pale Bungeni. Tatizo serikali haimchukuliagi kama Yuko serious,badala yake anaonekana Kama ni mtu wa comedy. Kuna kipindi Mh. Rais alimsapoti.
 
Yaleyaoe ya mungai aliyekurupuka kufuta masomo ya biashara na Bado tukapigishwa mtiani
 
Samahani kwa lugha yangu kali.
Hapo unaongea blah blah zilizopandikizwa kwenye akili zwtu kwa makusudi.

Hapo umeongelea kinachofanyika na sivyo inavyotakiwa.
Serikali inapaswa kupeleka mapendekezo ya kutungwa sheria Bungeni na kupitia Chief Draftsman Bunge linapaswa kuainisha taratibu namna sheria hiyo inavyopaswa kutungwa na kuwapa nafasi wawakilishi wa wananchi kutimiza wajibu wao.

Unajua hii kuiacha serikali itunge sheria kisha kuipeleka Bungeni for approval ndo ujinga tunaopaswa kuachana nao kupitia Katiba Mpya..

Tuepuke kuishi ktk ujima
 
Miaka yote wanasiasa ndio wamekuwa wakifanya changes katika mfumo wa elimu yetu bila kuzingatia maoni ya wadau,wataalamu wanaotoka katika kada ya elimu n.k. Sasa Kuna haja ya wadau,watetezi wa haki za elimu na experts kupinga jambo hili, maana linazidi kuua elimu yetu.
 
Hatukatai kuwa wao ndio watungaji wa Sheria na viongozi wa nchi, lakini katika suala la muhimu Kama elimu lazima wawashirikishe wananchi na wataalam mbalimbali
 
6 bado mingi ila honera sana wizara mwanzo mzurii. Pia elimu ya secondari miaka miwili inatosha m4 mingi sana.
 
Ni muda Sasa serikali kukubali mpango wa kuifanya lugha ya kiingereza kuwa lugha rasmi ya kufundishia kuanzia shule ya msingi.
Hili nalo neno, na uundwe mkakati wakuwapata walimu ambao wako competitive katika lugha zote kiingereza huku kiswahili likibaki kama somo.
 
Huo mfumo mzuri sana kongoree kwa waliotoa mawazo wadau tunamsubilia kwa hamu sana na mifano ipo wazi

Kabla serikali aijaanza kukazia mambo ya prem number wazazi wengi waliowapeleka watoto zao english media walikuwa wanaishia darasa la tano tu baada ya hapo mzazi anamtafutia mtoto shule anaend kufanya mitihani ya kujipima kuzingia kidato cha kwanza katika watoto wengi walifauru na kuanzia kidato cha kwanza na kuhitimu kidato cha nne kwa ufauru mzuri tu mpaka serikali ilipokaza mambo ya prem number hapo ndio wazazi wameqcha watoto wamalize darasa la saba
 
Kikubwa ni kuangalia vitu vilivyopitwa na wakati viondolewe na muda wa kukaa shuleni upungue, tumepoteza muda mwingi sana shule kusoma vitu ambavyo havitusaidii.
 
Hao Wa private wamesomea wapi? Ni commetment. Serikalin kupo loose sana
Tatizo hakuna walimu wa shule za serikali wanaojua kiingereza fasaha mkuu.

Amini hili maana tunawajua vizuri. Somo la kiingereza ukimfuatilia mwanao mfano mwalimu anavyosahihisha kazi ni kituko.
 
wazee wakupinga kila kitu mpo kumbe
Unasikia ndugu, hayo ni maamuzi ya huyo waziri tu, akiondolewa hata kesho anaekuja naye anaweka utaratibu wake. Huoni kuwa ni ujinga uliokithiri, nchi haina misingi maalumu, Banana Republic!
 
Sasa hapo wametuharibia sisi Walimu na Polisi kupata posho za kusimamia mitihani ya darasa la 7 ujue πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…