Hiyo elimu tunayotaka tuifanyie mabadiliko ndio imezalisha hao wataalamu unaotaka washauri kuhusu mabadiliko, na unategemea maajabu. Lol π π π πHaya , bado unaonyesha madhara ya elimu yetu ya kukariri. Unyesha niliposema tunatakiwa tufanye mchakato kama wa Warioba wa katiba! Kusema kuwashirikisha wananchi ndiyo kuwa kama mchakato wa katiba? Na wewe unaona kabisa wataalam wachache kujifungia na kujaribu kuja na solution bila kushirikisha makundi mengine ni sawa? Pole sana.
Sasa tufanyeje?Hiyo elimu tunayotaka tuifanyie mabadiliko ndio imezalisha hao wataalamu unaotaka washauri kuhusu mabadiliko, na unategemea maajabu. Lol π π π π
Ahahahahaaaa, kumbe hata nyie hamjui cha kufanya. Jumanne Kishimba aliisha re address hili suala Bungeni.Sasa tufanyeje?
Hao wanaofundisha viinglish medium vyetu si ni hao haoWazo zuri ila hao walimu wa kufundisha kwa kingereza wako wapi
Samahani kwa lugha yangu kali.Serikali inapeleka mapendekezo ya kutunga, kubali au kuleta mapendekezo ya kubadili sheria, bunge kazi yake kujadili na sheria hazipiti kama bunge limekataa na wakikubali haiwi sheria mpaka Rais atie wino. Hata tozo zilienda bungeni wakapitisha lakini kuja kushtuka wamepitisha kitu bila kujuwa au makusudi sababu ni serikali yao ya chama chao kupinga hawawezi au hawana uelewa hawako serious kujadili mambo muhimu au kikubwa uwezo wao wa kuchambua mambo ni mdogo kama elimu yetu ilivyo.
Wamejaa wakenya uko Inglish midiamHao wanaofundisha viinglish medium vyetu si ni hao hao
Miaka yote wanasiasa ndio wamekuwa wakifanya changes katika mfumo wa elimu yetu bila kuzingatia maoni ya wadau,wataalamu wanaotoka katika kada ya elimu n.k. Sasa Kuna haja ya wadau,watetezi wa haki za elimu na experts kupinga jambo hili, maana linazidi kuua elimu yetu.Siyo suala la wazee wa kupinga. Ni suala la watu wenye akili ya kuhoji mabadiliko yanayofanywa na wanasiasa kwa njia ya zimamoto. Wewe unaona wanasiasa wachache kujifungia na kujaribu kuja na solution bila kuwashirikisha wataalam na wananchi ni sahihi? Wengine mmeathiriwa na elimu ya kukariri ndiyo maana mnadhani kuhoji jambo ni kupinga.
Hili nalo neno, na uundwe mkakati wakuwapata walimu ambao wako competitive katika lugha zote kiingereza huku kiswahili likibaki kama somo.Ni muda Sasa serikali kukubali mpango wa kuifanya lugha ya kiingereza kuwa lugha rasmi ya kufundishia kuanzia shule ya msingi.
Kwahyo watakosekana wakufundisha!?Wamejaa wakenya uko Inglish midiam
Huo mfumo mzuri sana kongoree kwa waliotoa mawazo wadau tunamsubilia kwa hamu sana na mifano ipo waziHaya ndio maendeleo, ila tulipaswa tuwe kama US, 8-4-4 .
Primary miaka 4
Mtoto anaanza la kwanza akiwa na miaka 4 na kumaliza elementary akiwa 12 anakwenda sekondari at 13 years for 4 years na kumaliza at 16
Anaingia college at 17 years for 4 years na degree zao ni masters!.
US mtu haruhusiwi kusomea sheria kama hana degree nyingine, hivyo kule kwenye sheria, sciences na udakitari wa binadamu, hakuna kilaza atapenya!. Sio hapa vilaza wanakimbilia LL.B na kupewa degree za michongo!, kufika LST wana stopishwa basi ni kelele mwanzo mwisho!.
Kule hawana A level!.
P.
Tatizo hakuna walimu wa shule za serikali wanaojua kiingereza fasaha mkuu.
Amini hili maana tunawajua vizuri. Somo la kiingereza ukimfuatilia mwanao mfano mwalimu anavyosahihisha kazi ni kituko.
Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Omary Kipanga, amesema kuwa katika sera mpya inayotarajiwa kuzinduliwa hapo baadaye elimu ya msingi itakomea darasa la 6.
Kauli hiyo ameisema hii leo Oktoba 20, 2022, na kuongeza kwamba sera mpya ya elimu itakapozinduliwa hakutakuwa na mtihani wa mwisho wa elimu ya msingi na kwamba mtihani utakuwa ni wa kidato cha nne tu, huku akisema mwanafunzi akianza kidato cha kwanza atakuwa tayari ameshajiweka kwenye mchepuo maalum hadi kidato cha nne.
Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Mhe. Omary Kipanga amesema kuwa serikali inatazamia kuzindua sera mpya ya elimu kufikia mwezi Desemba, 2022 ili kuleta mabadiliko makubwa kwenye sekta ya elimu na kwamba mabadiliko yataanzia elimu ya msingi.
Unasikia ndugu, hayo ni maamuzi ya huyo waziri tu, akiondolewa hata kesho anaekuja naye anaweka utaratibu wake. Huoni kuwa ni ujinga uliokithiri, nchi haina misingi maalumu, Banana Republic!wazee wakupinga kila kitu mpo kumbe
Watu wanatoa tu tahadhariwazee wakupinga kila kitu mpo kumbe