Wadau wapendekeza Elimu ya Msingi kuishia darasa la 6

Lugha ya kufundisha itakuwaje?!!
 
Tatizo wataalam hatuna hatujaandaa waalimu kuendana na kasi hio mpya natamani waajiriwe waalimu wa degree kufundisha primary tena lugha iwe english. Kinachotusumbua ni lugha na miundombinu ya elimu. Mkuu ukipata muda tembelea shule zetu,zinatia huruma sana anzia madawati hadi vitabu,hakuna library. Enzi zile kulikua na somo la sayansi kimu ila mungai alipoupata uwazori tu akalifutilia mbali. Lile somo lilikua zuri sana
 
kwang me kiingereza liwe somo la kujifunzia kiswahili iwe lugha ya kufundishia.
sasa kiongozi huo utaratibu wa kufundisha kwa lugha mbili tofauti huoni ni mkanganyiko ambao unachangia kuzorotesha elimu yetu
Naona lugha inatakiwa iwe moja tu kwenye kufundisha either eng au kiswa
 

Mkuu umeandika kwa haraka na hisia kubwa mno.

Je ni sahihi kwa wahitimu kutokufanya mtihani wa kuhitimu shule ya msingi?
 
Naibu waziri wa Elimu ameeleza kuwa kutokana na Sera iliyo pendekezwa kuwa kuanzia siku zijazo Elimu ya Msingi itaishia Darasa la Sita na sio la saba tena.
Pia hakuto kuwa na mtihani wa kumaliza darasa la sita zaidi ya kufanya "assessment".

kwanza naipongeza wizara kwa kuja na mapendezo mazuri ya mfumo wa Elimu yetu, hivyo nashauri sera hii ianze kutumika haraka iwezekanavyo.
 
What difference will it bring to the current one...!??
 
Hawa hawa tunaowajua au watatolewa nchi jirani
Maana elimu ya juu tu notes za kiingereza ila lecturer anaongea kiswahili 😆
Mkuu niamini mimi,Watanzania wengi waliopita o level hadi chuo wanajua kiingereza,ila kwa vile awaongei mara kwa mara wanakosa kujiamini,mfano kama umepitia huko unapoangalia movie wanazoongea kiingereza uelewi?kinachotakiwa kuwapa watu kujiamini na kutokana na mazingira yaliyopo basi kiingereza kianzie huko std 1
 
Kichwa cha habari kinapotosha! Serikali IMERIDHIA - kwani huo mfumo mpya ni ombi la nani?
 
Walimu hawa wa nacte hamna wa kufundisha kieng kwa ufasaha bruh
Labda waanze kuandaliwa sasa hv niamini mimi primary nimefundishwa na walimu asilimia kubwa kutoka kenya
Mwalimu wa kibongo akija kufundisha akiongea darasa zima tunacheka jinsi anavyoongea kieng mpasuko 😆
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…