Wadau wapinga Rais Samia na Makamu wake kuingia na Viti binafsi Kanisani, yadaiwa ni kujikweza

Wadau wapinga Rais Samia na Makamu wake kuingia na Viti binafsi Kanisani, yadaiwa ni kujikweza

Uongozi hautaki hayo unayoyaleta wewe hapa , hawa wangekuwa raia wa kawaida wala tusingesema kitu , lakini viongozi hawapaswi kujiona tofauti na wengine , hatuwezi kunyamazia mambo kama haya
Siasa za majitaka za kipimbavu kutoka huko mnakolishana upumbavu.

Kesho mtakuja na hoja ya kuwachagulia wake au waume!
Shame on all of you out there!
 
Hao ni marais wa nchi kuna suala zima la ulinzi. Vipi kama viti vya hapo hapo kanisani vikawekewa mabomu na yakawamaliza?. Huoni kama huo ni uzembe wa ulinzi.

Hii amani inatudanganya sana, tunashindwa kufikiria kwa kina.
Unafikiri bomu linalipua kiti kimoja tu!

Hakuna sababu ya namna hiyo ambayo suluhisho lake ni kuingia na kiti chako, hapo ni utukufu tu na kujikweza.
 
Narudia kusema kwamba hivyo viti wamevikuta tayari vimewekwa na wao wamefanya kufuata maelekezo ya wapi pa kukaa.

Hatujaona mahali pakionyeshwa wao kugoma kukalia bench na kuagizwa waletewe hivyo viti.

Rais huwa hapangi bali hipangiwa na kanati maalum ya maandalizi,chini ya kamati ya ulinzi na usalama ya mkoa husika kwa ushirikiano na TISS.

Tumieni ubongo kufikiri vema bafala ya kuutumia ku-bet mchana kutwa galafu mkija JFmnakuwa hoi.
Mkuu, hebu acha kwanza kubisha halafu utengeneze hoja.

Kwamba Magufuli yeye wasaidizi wake hawakuweka kiti kwa upendeleo wao?

Kwamba mama yeye, akikuta kiti hakipo na wakati siku zote hadi uwanjani anapelekewa, atajua ni maamuzi ya wasaidizi wake? Kwanini asitoe mwongozo kama hapendi???

Halafu, kwanini linapokuja suala linalomhusu mama SSH ambalo linazua maswali tata, inaonekana wasaidizi wake ndio wakulaumiwa lakini kama ni la kusifiwa, anapewa sifa yeye?

Aisee, tuweni wazalendo! Uzalendo ni kusimamia maslahi ya kitaifa na si kiongozi! Uchawa usipitilize! Taifa litaangamia kwasbabu ya vijana wengi kupenda kujipendekeza hata pasipotakiwa
 
Kama kawaida bavicha ndio ajenda Yao hii[emoji23][emoji1787]
 
Acha makelele yako Hapa kwani kipi walichozuia kisiendeelee katika ibada hiyo, wewe unafikiri Rais Ni sawa na Rais wa bendi ya mziki, Rais wa nchi lazima alindwe kwa gharama ya aina yoyote Ile kuhakikisha kuwa usalama wake unakuwa Ni salama muda wote kwa uweza mwa mwenyezi Mungu mtoa njia na maarifa kwa mwanadamu
 
Unafikiri bomu linalipua kiti kimoja tu!

Hakuna sababu ya namna hiyo ambayo suluhisho lake ni kuingia na kiti chako, hapo ni utukufu tu na kujikweza.
Huyo ni rais wa nchi sio admin wa group la whatsapp la sekondari au la chuoni. Ni mtu mkubwa sana.
 
Kwani uliona Nini kimeharibiwa na uwepo wa Viti hivyo hapo kanisani, kwani vilizuia uendeshaji wa ibada? Mbona hujiuliza Marais wa Marekani wanaotembeaga na kila kitu watokapo nje ya marekani
Mkuu, hebu acha kwanza kubisha halafu utengeneze hoja.

Kwamba Magufuli yeye wasaidizi wake hawakuweka kiti kwa upendeleo wao?

Kwamba mama yeye, akikuta kiti hakipo na wakati siku zote hadi uwanjani anapelekewa, atajua ni maamuzi ya wasaidizi wake? Kwanini asitoe mwongozo kama hapendi???

Halafu, kwanini linapokuja suala linalomhusu mama SSH ambalo linazua maswali tata, inaonekana wasaidizi wake ndio wakulaumiwa lakini kama ni la kusifiwa, anapewa sifa yeye?

Aisee, tuweni wazalendo! Uzalendo ni kusimamia maslahi ya kitaifa na si kiongozi! Uchawa usipitilize! Taifa litaangamia kwasbabu ya vijana wengi kupenda kujipendekeza hata pasipotakiwa
 
Kwani uliona Nini kimeharibiwa na uwepo wa Viti hivyo hapo kanisani, kwani vilizuia uendeshaji wa ibada? Mbona hujiuliza Marais wa Marekani wanaotembeaga na kila kitu watokapo nje ya ma
Mkuu, hebu acha kwanza kubisha halafu utengeneze hoja.

Kwamba Magufuli yeye wasaidizi wake hawakuweka kiti kwa upendeleo wao?

Kwamba mama yeye, akikuta kiti hakipo na wakati siku zote hadi uwanjani anapelekewa, atajua ni maamuzi ya wasaidizi wake? Kwanini asitoe mwongozo kama hapendi???

Halafu, kwanini linapokuja suala linalomhusu mama SSH ambalo linazua maswali tata, inaonekana wasaidizi wake ndio wakulaumiwa lakini kama ni la kusifiwa, anapewa sifa yeye?

Aisee, tuweni wazalendo! Uzalendo ni kusimamia maslahi ya kitaifa na si kiongozi! Uchawa usipitilize! Taifa litaangamia kwasbabu ya vijana wengi kupenda kujipendekeza hata pasipotakiwa
 
Kwenye Ibada Maalum ya kumbukumbu ya miaka 23 ya kifo cha Mwalimu Nyerere , iliyofanyika huko Mkoani Kagera , Viongozi kadhaa wa Kitaifa wamehudhuria, akiwemo Mh Rais Samia Suluhu na Makamu wake , Dr Philipo Mpango , Tunawapongeza kwa jambo hilo .

Sitaki kurudia yaliyotokea ili nisiwachoshe , lakini Kitendo cha Rais na Makamu wake kuingia na Viti vyao vya enzi ndani ya kanisa kimepingwa na wadau wengi , huku wakitahadharisha viongozi kuacha kujiona ni wa kipekee , Ukweli ni kwamba HAWANA UPEKEE WOWOTE , ukiachilia mbali vyeo walivyo navyo hawana tofauti yoyote nyingine na sisi wengine .

Kitendo cha kuingia na Masofa yao Kanisani ni DHARAU KWA WAUMINI na Kanisa kwa ujumla , na kinapaswa kukemewa ili kisirudiwe tena , kama hawataki kukaa kwenye mabenchi ya kanisa , basi wasiingie kwenye Makanisa , waishie nje na hotuba zao .

Ziko Picha kadhaa zikiwaonyesha Joe Biden wa Marekani na Haikainde Hichilema wa Zambia wakiwa wameheshimu madhabau na kukalia Mabenchi ya kanisa , mbona walishiriki ibada na wakamaliza kwa amani tu , Hawa viongozi wetu wana upekee gani hawa ?

View attachment 2387287
Vyovyoye mtakavyotafsiri ni sawa ila inakuaje nyie mnalazimisha viti vyeny vitumiwe?

Mlikuwa na jambo lenu sasa limeshindikana 😆😆
 
Back
Top Bottom