Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #61
Kwi Kwi KwiUmempatia, anajilinganisha na yeye? Hv vijana vya siku hizi havijipi hata muda wa kufikiri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwi Kwi KwiUmempatia, anajilinganisha na yeye? Hv vijana vya siku hizi havijipi hata muda wa kufikiri
Mbona ni hoja tu nimeweka hapo , chuki iko wapi ?Siyo chuki we una Una ugonjwa wa akili. Hao wadau ni kina nani.
Kumbe asiye amini allah! Kumbe haina madhara ni sawa na mpagani kumtungia jina asiye amini ushirikinaAsiyemuamini Allah na mtume wake Muhamad
Dr Slaa tulimkaribisha sisi na kumleaCHADEMA iliyotetemesha watawala ilikuwa ile ya enzi ya Dr Silaa. Iliwapa Watanzania matumaini ya kutokea kwa mabadiliko ya uhakika ya kisiasa. Hii ya sasa iko "diluted".
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Uku Tu ndio Mambo haya yanatokea ......kule uingereza hawakuwa na shobo kabisa .........kamatia SITI ukae ukiona limejaa piga Chini utatembea aijalishi umbali
Mabenchi yasiyo na sponji yanaumiza.Au ungependa kuwaona waheshimiwa wamekunja sura kwa maumivu ya kukalia mbao mkuu?😂😂😂😂Kwenye Ibada Maalum ya kumbukumbu ya miaka 23 ya kifo cha Mwalimu Nyerere , iliyofanyika huko Mkoani Kagera , Viongozi kadhaa wa Kitaifa wamehudhuria, akiwemo Mh Rais Samia Suluhu na Makamu wake , Dr Philipo Mpango , Tunawapongeza kwa jambo hilo .
Sitaki kurudia yaliyotokea ili nisiwachoshe , lakini Kitendo cha Rais na Makamu wake kuingia na Viti vyao vya enzi ndani ya kanisa kimepingwa na wadau wengi , huku wakitahadharisha viongozi kuacha kujiona ni wa kipekee , Ukweli ni kwamba HAWANA UPEKEE WOWOTE , ukiachilia mbali vyeo walivyo navyo hawana tofauti yoyote nyingine na sisi wengine .
Kitendo cha kuingia na Masofa yao Kanisani ni DHARAU KWA WAUMINI na Kanisa kwa ujumla , na kinapaswa kukemewa ili kisirudiwe tena , kama hawataki kukaa kwenye mabenchi ya kanisa , basi wasiingie kwenye Makanisa , waishie nje na hotuba zao .
Ziko Picha kadhaa zikiwaonyesha Joe Biden wa Marekani na Haikainde Hichilema wa Zambia wakiwa wameheshimu madhabau na kukalia Mabenchi ya kanisa , mbona walishiriki ibada na wakamaliza kwa amani tu , Hawa viongozi wetu wana upekee gani hawa ?
View attachment 2387287
Angalizo : Sina chuki yoyote na viongozi hawa .
unataka majina ya watanzania milion 15 tuyaweke hapa JF ?Uzuri wa mleta hoja ni anajadili kistaarabu. Naomba kukuuliza, ni wadau gani waliopinga? Facts.[emoji120][emoji120][emoji120]
[emoji38][emoji38][emoji38]Mabenchi yasiyo na sponji yanaumiza.Au ungependa kuwaona waheshimiwa wamekunja sura kwa maumivu ya kukalia mbao mkuu?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ziweke kama zipo hizo picha kibao za Joe Biden na Hichilema wa Zambia wakiwa kwenye mabenchi kanisani.... A picture is worth a thousand denials.Ziko Picha kadhaa zikiwaonyesha Joe Biden wa Marekani na Haikainde Hichilema wa Zambia wakiwa wameheshimu madhabau na kukalia Mabenchi ya kanisa ,
Mabenchi yasiyo na sponji yanaumiza.Au ungependa kuwaona waheshimiwa wamekunja sura kwa maumivu ya kukalia mbao mkuu?😂😂😂😂
SASA hao watu wa usalama hawana iman na viongozi wa dini duuuh kwa lugha nyepesi kanisa haliaminiki hahahahaMkuu mimi nakuunga mkono siku zote ila kwa hili sidhani kama inabidi liwe ishu sana, hajawahi kufanya hivyo kabla so inawezekana kuna harufu sio nzuri wat wa Usalama wamenusa, hiyo ni kazi yao, tuache wenye kazi yao waifanye, likitokea la kutokea ni sisi hao hao tutakaosema National Security ni wazembe, CCM ya leo sio ile ya Mwalimu Nyerere.
Ziweke kama zipo hizo picha kibao za Joe Biden na Hichilema wa Zambia wakiwa kwenye mabenchi kanisani.... A picture is worth a thousand denials.
ina maana huyo jamaa hapo chini hana ulinzi ? mbona yupo church bila kiti. chake cha enzi .Rais wa nchi siyo Kama Rais wa Bendi, lazima usalama wake uzingatiwe hasa,
basi hao watu hawana kazi wapuuzi flani tu.,Hii nchi watu wana obsession na mambo yasiyo na msingi.
Kiti gani Rais amekalia, inageuka topic.
Watu wanadhani Rais anaamka asubuhi na kusema leo nataka nikakalie kiti fulani! Never, hizo ni kazi za watu.
Hata msikitini asialikwe kama anakwenda na Jamvi lakeina maana huyo jamaa hapo chini hana ulinzi ? mbona yupo church bila kiti. chake cha enzi .
Tafadhalini maaskofu achaneni na kumualika huyu maza kwenye mazahabu yetu
Duh aisei! 🤣🤣🤣!unataka majina ya watanzania milion 15 tuyaweke hapa JF ?
Mada nyepesi sana. JPM alikalia kiti cha kwake alicholetewa na wasaidizi wake siku ile alipokwenda chuo kikuu na kuongea na wasomi hakuna aliyekuja na uzi kabisa.
Madhara ni moto unakuhusuKumbe asiye amini allah! Kumbe haina madhara ni sawa na mpagani kumtungia jina asiye amini ushirikina