Wadau wapinga Rais Samia na Makamu wake kuingia na Viti binafsi Kanisani, yadaiwa ni kujikweza

Wadau wapinga Rais Samia na Makamu wake kuingia na Viti binafsi Kanisani, yadaiwa ni kujikweza

Baba ake mtume alikuwa anaitwa Abdallah...yani mtumwa wa Allah, unamwitaje kafiri?
Wewe tahira tu! Allah mwenyewe shetani ndo alimtokea mapangonj huyo Muhammad wenu kumpa ujumbe wake! Kwa kifupi nyinyi huwa ni wafuasi wa shetani(allah) ndo maana mnabudu na majini na mmeahidiwa mkifa huko peponi kuna mabkira 70 wa macho makubwa na mito ya pombe!
Hapo ukiwa na zako kichwani unaamini kwa ahadi hizo za allah huyo ni Mungu hapo ama Shetani?
 
Kwenye Ibada Maalum ya kumbukumbu ya miaka 23 ya kifo cha Mwalimu Nyerere , iliyofanyika huko Mkoani Kagera , Viongozi kadhaa wa Kitaifa wamehudhuria, akiwemo Mh Rais Samia Suluhu na Makamu wake , Dr Philipo Mpango , Tunawapongeza kwa jambo hilo .

Sitaki kurudia yaliyotokea ili nisiwachoshe , lakini Kitendo cha Rais na Makamu wake kuingia na Viti vyao vya enzi ndani ya kanisa kimepingwa na wadau wengi , huku wakitahadharisha viongozi kuacha kujiona ni wa kipekee , Ukweli ni kwamba HAWANA UPEKEE WOWOTE , ukiachilia mbali vyeo walivyo navyo hawana tofauti yoyote nyingine na sisi wengine .

Kitendo cha kuingia na Masofa yao Kanisani ni DHARAU KWA WAUMINI na Kanisa kwa ujumla , na kinapaswa kukemewa ili kisirudiwe tena , kama hawataki kukaa kwenye mabenchi ya kanisa , basi wasiingie kwenye Makanisa , waishie nje na hotuba zao .

Ziko Picha kadhaa zikiwaonyesha Joe Biden wa Marekani na Haikainde Hichilema wa Zambia wakiwa wameheshimu madhabau na kukalia Mabenchi ya kanisa , mbona walishiriki ibada na wakamaliza kwa amani tu , Hawa viongozi wetu wana upekee gani hawa ?

View attachment 2387287

Angalizo : Sina chuki yoyote na viongozi hawa .
Umeharibu unapotuletea mambo ya Amerika.

Sahihisho: Hii ni Taasisi na usimuangalie Rais na Makamu wake kama mtu mmoja mmoja, itakusaidia kutoa ujumbe wa maana zaidi.
Pili: Pengine ungeenda mbali zaidi na kukemea kitendo cha walinzi/afisa usalama wake kuingia kanisani.

Tatu: Kiti ni tatizo kubwa sana kwako, kuliko kuwasili kwake hapo, na kama kanisa wangekuwa na msimamo kama wa kwako walikuwa na uwezo wa kutomualika au kumpa masherti kabla hajafika.
 
Kwenye Ibada Maalum ya kumbukumbu ya miaka 23 ya kifo cha Mwalimu Nyerere , iliyofanyika huko Mkoani Kagera , Viongozi kadhaa wa Kitaifa wamehudhuria, akiwemo Mh Rais Samia Suluhu na Makamu wake , Dr Philipo Mpango , Tunawapongeza kwa jambo hilo .

Sitaki kurudia yaliyotokea ili nisiwachoshe , lakini Kitendo cha Rais na Makamu wake kuingia na Viti vyao vya enzi ndani ya kanisa kimepingwa na wadau wengi , huku wakitahadharisha viongozi kuacha kujiona ni wa kipekee , Ukweli ni kwamba HAWANA UPEKEE WOWOTE , ukiachilia mbali vyeo walivyo navyo hawana tofauti yoyote nyingine na sisi wengine .

Kitendo cha kuingia na Masofa yao Kanisani ni DHARAU KWA WAUMINI na Kanisa kwa ujumla , na kinapaswa kukemewa ili kisirudiwe tena , kama hawataki kukaa kwenye mabenchi ya kanisa , basi wasiingie kwenye Makanisa , waishie nje na hotuba zao .

Ziko Picha kadhaa zikiwaonyesha Joe Biden wa Marekani na Haikainde Hichilema wa Zambia wakiwa wameheshimu madhabau na kukalia Mabenchi ya kanisa , mbona walishiriki ibada na wakamaliza kwa amani tu , Hawa viongozi wetu wana upekee gani hawa ?

View attachment 2387287

Angalizo : Sina chuki yoyote na viongozi hawa .
Wakiwa Afrika wanajiona Miungu watu, wakifika London wanapandishwa kwenye daladala tena wanawahi siti za dirishani
 
Ingekuwa ni msikitini wangeingia na mswala wao?
Hii ngoma inavuma sana
 
Mada nyepesi sana. JPM alikalia kiti cha kwake alicholetewa na wasaidizi wake siku ile alipokwenda chuo kikuu na kuongea na wasomi hakuna aliyekuja na uzi kabisa.
Kwa nini unakinganisha kanisa na chuo kikuu? Siku zote Magufuli akienda kanisani alikuwa wanakalia bench la kanisani! Hata watangulizi wake vivyo hivyo. Hata mzee wa mjini hakuwahi kubeba kiti chake kwenda kanisani, seuse huyu wa kutoka Munanira!
 
Hivi hawa kina Erythrocyte ndio think tanks wiobakia huko Chadema?
Wewe acha kujadili watu jadili mada. Ni heri ngamia kupenya kwenye tundu la sindano kuliko tajiri kuingia Ufalme wa Mbinguni. Kila aliyezaliwa na mwanamke humea hunyauka na kisha kurudi mavumbini. Usiangalie makaburi yaliyopambwa bali fikiria kilichomo ndani yake.

Hiki alichokifanya Mheshiniwa ni kiburi cha Madaraka tu. Na yeyote ajikwezae hushushwa. Tuliwahi kusema hivyo kwa Jiwe mkasema ni dua la kuku halimpati wewe.
 
Kwenye Ibada Maalum ya kumbukumbu ya miaka 23 ya kifo cha Mwalimu Nyerere , iliyofanyika huko Mkoani Kagera , Viongozi kadhaa wa Kitaifa wamehudhuria, akiwemo Mh Rais Samia Suluhu na Makamu wake , Dr Philipo Mpango , Tunawapongeza kwa jambo hilo .

Sitaki kurudia yaliyotokea ili nisiwachoshe , lakini Kitendo cha Rais na Makamu wake kuingia na Viti vyao vya enzi ndani ya kanisa kimepingwa na wadau wengi , huku wakitahadharisha viongozi kuacha kujiona ni wa kipekee , Ukweli ni kwamba HAWANA UPEKEE WOWOTE , ukiachilia mbali vyeo walivyo navyo hawana tofauti yoyote nyingine na sisi wengine .

Kitendo cha kuingia na Masofa yao Kanisani ni DHARAU KWA WAUMINI na Kanisa kwa ujumla , na kinapaswa kukemewa ili kisirudiwe tena , kama hawataki kukaa kwenye mabenchi ya kanisa , basi wasiingie kwenye Makanisa , waishie nje na hotuba zao .

Ziko Picha kadhaa zikiwaonyesha Joe Biden wa Marekani na Haikainde Hichilema wa Zambia wakiwa wameheshimu madhabau na kukalia Mabenchi ya kanisa , mbona walishiriki ibada na wakamaliza kwa amani tu , Hawa viongozi wetu wana upekee gani hawa ?

View attachment 2387287

Angalizo : Sina chuki yoyote na viongozi hawa .
Kwenye hili wala siungi mkono.

Kanisani hakuna formular ya nani aje na kiti au mkeka.

Kikubwa walienda hiyo inatosha. Mama kaingia na hijab yake ni jambo jema sana.

Mimi ninawalaumu hawa vipngozi kuendeleza kufumbia macho changamoto na mkwamo wa maisha ya wananchi. Leo hii kilo moja ya karanga inafikia Tshs 4,500. Mchele 4,000 kila kitu bei juu. Wao wapo bize na mikutano ya hadhara bafala ya kukaa chini kutafakari namna ya kuondokana na hii hali
 
Ukweli ni kwamba viongozi wamekosea.Waombe msamaha.
Kwenye Ibada Maalum ya kumbukumbu ya miaka 23 ya kifo cha Mwalimu Nyerere , iliyofanyika huko Mkoani Kagera , Viongozi kadhaa wa Kitaifa wamehudhuria, akiwemo Mh Rais Samia Suluhu na Makamu wake , Dr Philipo Mpango , Tunawapongeza kwa jambo hilo .

Sitaki kurudia yaliyotokea ili nisiwachoshe , lakini Kitendo cha Rais na Makamu wake kuingia na Viti vyao vya enzi ndani ya kanisa kimepingwa na wadau wengi , huku wakitahadharisha viongozi kuacha kujiona ni wa kipekee , Ukweli ni kwamba HAWANA UPEKEE WOWOTE , ukiachilia mbali vyeo walivyo navyo hawana tofauti yoyote nyingine na sisi wengine .

Kitendo cha kuingia na Masofa yao Kanisani ni DHARAU KWA WAUMINI na Kanisa kwa ujumla , na kinapaswa kukemewa ili kisirudiwe tena , kama hawataki kukaa kwenye mabenchi ya kanisa , basi wasiingie kwenye Makanisa , waishie nje na hotuba zao .

Ziko Picha kadhaa zikiwaonyesha Joe Biden wa Marekani na Haikainde Hichilema wa Zambia wakiwa wameheshimu madhabau na kukalia Mabenchi ya kanisa , mbona walishiriki ibada na wakamaliza kwa amani tu , Hawa viongozi wetu wana upekee gani hawa ?

View attachment 2387287

Angalizo : Sina chuki yoyote na viongozi hawa .
 
Wewe hupaswi kuwalaumu hao viongozi moja kwa moja.

Erythrocyte!
Umeandika as if walikuja wamebeba viti vyao,wakati ukweli ni kwamba kama ni kasoro imetokea.na kama ni kulaumiwa ni hao waliokuwa na jukumu la maandalizi na sidhani kama ni maagizo ya Mheshimiwa Rais wala Makamu wake.
Wao wameingia na kuelekezwa mahali walipoandaliwa kukaa.

Baadhi ya vitu sio lazima uvipinge kwa sababu havina tija kwa maendeleo chanya wala havitowi fundisho lolote kwa jamii.
Pia kuwa pingapinga sio alama ya elimu bali ni dalili za ubishi usio na tija pia.

Rais akipanda basi mnasema kadharauliwa,je kipi afanye ili awafurahishe?

Mtaendeleza bifu la kukaa benchi mpaka 2025?

Si mtafika mmechoka Sana?

Mnyonge mnyongeni ila haki yake apewe.
Erythrocyte ni kama amesahau roles ya PSU. Viongozi wameingia na kuelekezwa sehemu ya kukaa, alitaka wakatae na wakati tayari wako ndani ya kanisa!

Nadhani maelezo/ malalamiko yangejikita kwenye ushauri kuwa wakati mwingine jambo hilo lisijirudie kwakuwa halileti picha nzuri kwenye jamii .
 
Narudia kusema kwamba hivyo viti wamevikuta tayari vimewekwa na wao wamefanya kufuata maelekezo ya wapi pa kukaa.

Hatujaona mahali pakionyeshwa wao kugoma kukalia bench na kuagizwa waletewe hivyo viti.

Rais huwa hapangi bali hipangiwa na kanati maalum ya maandalizi,chini ya kamati ya ulinzi na usalama ya mkoa husika kwa ushirikiano na TISS.

Tumieni ubongo kufikiri vema bafala ya kuutumia ku-bet mchana kutwa galafu mkija JFmnakuwa hoi.
Kwani ukioneshwa sehemu ukitaka kujishusha ukaenda kukaa jiran na muumin nwingine kweny bench unazuiwa?

Nahis hiyo ndo akili, yaani mfano umefika sehemu wameandaa chakul na sahan yako iko pale wamekujazia pilau na nyama akati wengin wanakul makande, nafikir busar ni kuchukua sahan ya kande ambayo hawaikutegemea kama utaichagua hiyo tena you it rondomly. Utakua safe zaidi kuliko waliyo kuandakia tayr.
 
Kwenye Ibada Maalum ya kumbukumbu ya miaka 23 ya kifo cha Mwalimu Nyerere , iliyofanyika huko Mkoani Kagera , Viongozi kadhaa wa Kitaifa wamehudhuria, akiwemo Mh Rais Samia Suluhu na Makamu wake , Dr Philipo Mpango , Tunawapongeza kwa jambo hilo .

Sitaki kurudia yaliyotokea ili nisiwachoshe , lakini Kitendo cha Rais na Makamu wake kuingia na Viti vyao vya enzi ndani ya kanisa kimepingwa na wadau wengi , huku wakitahadharisha viongozi kuacha kujiona ni wa kipekee , Ukweli ni kwamba HAWANA UPEKEE WOWOTE , ukiachilia mbali vyeo walivyo navyo hawana tofauti yoyote nyingine na sisi wengine .

Kitendo cha kuingia na Masofa yao Kanisani ni DHARAU KWA WAUMINI na Kanisa kwa ujumla , na kinapaswa kukemewa ili kisirudiwe tena , kama hawataki kukaa kwenye mabenchi ya kanisa , basi wasiingie kwenye Makanisa , waishie nje na hotuba zao .

Ziko Picha kadhaa zikiwaonyesha Joe Biden wa Marekani na Haikainde Hichilema wa Zambia wakiwa wameheshimu madhabau na kukalia Mabenchi ya kanisa , mbona walishiriki ibada na wakamaliza kwa amani tu , Hawa viongozi wetu wana upekee gani hawa ?

View attachment 2387287

Angalizo : Sina chuki yoyote na viongozi hawa .
1. The Africans, by David Lamb. kitabu hiki kimewaelezea vema waafrika walivyo ikiwa ni pamoja na viongozi wao!
2. Sasa hawa unadhani wanaweza kutenda haki? Kwanza kitendo cha kuwekewa viti na wakakubali tayari wameshavunja haki mza wengine, kutowaheshimu etc etc!
3. Na kwanini kanisa lilikubali upuuzi huo ufanyike kanisani?
 
M
Kwenye Ibada Maalum ya kumbukumbu ya miaka 23 ya kifo cha Mwalimu Nyerere , iliyofanyika huko Mkoani Kagera , Viongozi kadhaa wa Kitaifa wamehudhuria, akiwemo Mh Rais Samia Suluhu na Makamu wake , Dr Philipo Mpango , Tunawapongeza kwa jambo hilo .

Sitaki kurudia yaliyotokea ili nisiwachoshe , lakini Kitendo cha Rais na Makamu wake kuingia na Viti vyao vya enzi ndani ya kanisa kimepingwa na wadau wengi , huku wakitahadharisha viongozi kuacha kujiona ni wa kipekee , Ukweli ni kwamba HAWANA UPEKEE WOWOTE , ukiachilia mbali vyeo walivyo navyo hawana tofauti yoyote nyingine na sisi wengine .

Kitendo cha kuingia na Masofa yao Kanisani ni DHARAU KWA WAUMINI na Kanisa kwa ujumla , na kinapaswa kukemewa ili kisirudiwe tena , kama hawataki kukaa kwenye mabenchi ya kanisa , basi wasiingie kwenye Makanisa , waishie nje na hotuba zao .

Ziko Picha kadhaa zikiwaonyesha Joe Biden wa Marekani na Haikainde Hichilema wa Zambia wakiwa wameheshimu madhabau na kukalia Mabenchi ya kanisa , mbona walishiriki ibada na wakamaliza kwa amani tu , Hawa viongozi wetu wana upekee gani hawa ?

View attachment 2387287

Angalizo : Sina chuki yoyote na viongozi hawa .
Mume wa Maza Mbona hayuko na mke wake hapo kanisani?
 
Wakati Mwalimu alikaa hadi foleni na Marais wengine wanakalia viti vya kanisani kwa adabu, kuna Paka special linasafirisha na kukalia kiti maalum👇🐒🐒🐒
AAq4U0.jpeg
ADPZA.png
YAMVHzi.jpeg

ApfOS.png
 

Attachments

  • ApfOS.png
    ApfOS.png
    161.5 KB · Views: 2
Wewe hupaswi kuwalaumu hao viongozi moja kwa moja.

Erythrocyte!
Umeandika as if walikuja wamebeba viti vyao,wakati ukweli ni kwamba kama ni kasoro imetokea.na kama ni kulaumiwa ni hao waliokuwa na jukumu la maandalizi na sidhani kama ni maagizo ya Mheshimiwa Rais wala Makamu wake.
Wao wameingia na kuelekezwa mahali walipoandaliwa kukaa.

Baadhi ya vitu sio lazima uvipinge kwa sababu havina tija kwa maendeleo chanya wala havitowi fundisho lolote kwa jamii.
Pia kuwa pingapinga sio alama ya elimu bali ni dalili za ubishi usio na tija pia.

Rais akipanda basi mnasema kadharauliwa,je kipi afanye ili awafurahishe?

Mtaendeleza bifu la kukaa benchi mpaka 2025?

Si mtafika mmechoka Sana?

Mnyonge mnyongeni ila haki yake apewe.
Walaumiwe Watu wa advance Team Ila hata kama kwani mpango hajui utaratibu wa Kanisa katoriki?

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom