MADAXWEYNE
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 1,562
- 3,380
Hadi viti?!! Wakosoaji mmepoteza muelekeo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo Bomu likipigwa Kiti kitamsaidia???Hao ni marais wa nchi kuna suala zima la ulinzi. Vipi kama viti vya hapo hapo kanisani vikawekewa mabomu na yakawamaliza?. Huoni kama huo ni uzembe wa ulinzi.
Hii amani inatudanganya sana, tunashindwa kufikiria kwa kina.
Mkuu huyo ni rais, labda umri tunatofautiana sana. Usalama wa taifa wamefuata mtiririko wa kanuni za ulinzi na ikaonekana ni heri atumie kiti cha kiofisi kuliko hivyo vya hapo kanisani.Kwenye hii hoja, wewe ndio hujafikiria kwa kina! Kwamba waweke mabomu kwenye mabenchi au viti vya kanisani ?
Ina maana usalama wa taifa hawana vifaa vya kutambua hivyo viashiria?
Kama wana nia ya kumdhuru, watashindwa kutumia vitu vingine kama mic, podium, nk ikiwa watawaza kuweka kwenye hivyo viti??
Kwa kifupi, huo ni ukoloni usio na maana yoyote! Protocol nyingine ni za kitumwa ndio maana hata baadhi ya marais ya nchi nyingine wanazipotezea kama hazina tija yoyote!
Kubeba kiti maalum hadi kwenye nyumba za ibada, wakati viti vingine vipo, huo ni u-tu-mwa!
Takataka ni wewe unayemuweka rais kundi moja na maadmini wa makundi sogozi ya shule mnazosoma.Nilikuwa nakuona una akili kumbe takataka kabisa.
JPM alipokuwa anahutubia ndani ya kanisa mpaka wiki chache kabla hajafariki dunia na kutoa maagizo alikuwa akifanya hivyo kwa mamlaka gani?.JPM alikwenda chuo kikuu katika official capacity yake.
Kiongozi akienda kanisani anakwenda kama muumini, haendi kama kiongozi wa Serikali.
Kwani Samia ni mkristo mpaka alazimike kufuata mila na tamaduni za kikristo?.Lakini JPM hakuwahi kukalia kiti tofauti na mabench ya kanisani!
Hajawahi kupelekewa kiti na wasaidizi wake kanisani, aliheshimu sana madhabahu ukiacha mapungufu yake mengine!
Angefanya kama hawa ungeona, jinsi magazeti yangepambwa!
Kinaweza kuwekwa sumu, kumbuka namna Kolimba alivyouliwa.Kwa hiyo Bomu likipigwa Kiti kitamsaidia???
Huna adabu wewe! Tupe agizo alilowahi kulitoa kanisani. Kumbuka Kuna kuzungumza na waumini na sio maagizo. Shwaini wewe!JPM alipokuwa anahutubia ndani ya kanisa mpaka wiki chache kabla hajafariki dunia na kutoa maagizo alikuwa akifanya hivyo kwa mamlaka gani?.
Mramba aliyekuwa bosi wa TANESCO alifukuzwa kazi na JPM ndani ya kanisa tena akiwa na kipaza sauti mkononi na kamera zikimrekodi mbele yake.Huna adabu wewe! Tupe agizo alilowahi kulitoa kanisani. Kumbuka Kuna kuzungumza na waumini na sio maagizo. Shwaini wewe!
Hayo maamuzi tayari yalikuwa yashafanywa, usifikiri yameibuka hapo.Mramba aliyekuwa bosi wa TANESCO alifukuzwa kazi na JPM ndani ya kanisa tena akiwa na kipaza sauti mkononi na kamera zikimrekodi mbele yake.
Tukumbuke kuwa SSH ni muislam, kuingia kwake kanisani ni kwa heshima tu na kwa kuzingatia maadili ya waliomtangulia.Kwenye Ibada Maalum ya kumbukumbu ya miaka 23 ya kifo cha Mwalimu Nyerere , iliyofanyika huko Mkoani Kagera , Viongozi kadhaa wa Kitaifa wamehudhuria, akiwemo Mh Rais Samia Suluhu na Makamu wake , Dr Philipo Mpango , Tunawapongeza kwa jambo hilo .
Sitaki kurudia yaliyotokea ili nisiwachoshe , lakini Kitendo cha Rais na Makamu wake kuingia na Viti vyao vya enzi ndani ya kanisa kimepingwa na wadau wengi , huku wakitahadharisha viongozi kuacha kujiona ni wa kipekee , Ukweli ni kwamba HAWANA UPEKEE WOWOTE , ukiachilia mbali vyeo walivyo navyo hawana tofauti yoyote nyingine na sisi wengine .
Kitendo cha kuingia na Masofa yao Kanisani ni DHARAU KWA WAUMINI na Kanisa kwa ujumla , na kinapaswa kukemewa ili kisirudiwe tena , kama hawataki kukaa kwenye mabenchi ya kanisa , basi wasiingie kwenye Makanisa , waishie nje na hotuba zao .
Ziko Picha kadhaa zikiwaonyesha Joe Biden wa Marekani na Haikainde Hichilema wa Zambia wakiwa wameheshimu madhabau na kukalia Mabenchi ya kanisa , mbona walishiriki ibada na wakamaliza kwa amani tu , Hawa viongozi wetu wana upekee gani hawa ?
View attachment 2387287
Angalizo : Sina chuki yoyote na viongozi hawa .
Ww tangu lini suleiman alikua muislam ww hebu jamani tuwe tunasoma maana hunidanganyi hata kidogo history na vitabu vya dini nimevisoma sanaMingi tu, Hata pale Jerusalem kwenye msikiti wa Nabiii suleiman waliswali
Duuh !!Mramba aliyekuwa bosi wa TANESCO alifukuzwa kazi na JPM ndani ya kanisa tena akiwa na kipaza sauti mkononi na kamera zikimrekodi mbele yake.