MasterGamaliel
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 923
- 1,001
Hahaha... Daah, hii itakuwa mtaka yote kwa pupa hukosa vyote!Piga screenshot zitume kwa huyo punda wake mpya, mwambie wewe umeshamove on amkanye mke wake hutaki kuingilia mahusiano yao.
Hii inaitwa kupigisha shoti.
Yaani wee Acha tu, binadamu tunahukumiana bila hata kuchunguza ukweli wa mambo ulivyo.
Aiseee.Fikra huru.Sijakataa na inawezekana pia mtoa mada ana mapungufu yake, lakini mpaka mwanamke anafikia hatua ya kukubali kufanyiwa maamuzi yatakayogharimu maisha yake ni dhahiri kuwa kuna dosari kwenye mfumo wake wa akili.
Sipo hapa kutetea upande wowote.
Wapo waliopata fedha na wana fedha na wameishia kupata maumivu kwa magold digger tu,Nina miaka 42; najuta Sana mambo ya kijinga ya kuamini wanawake wakati nipo na umri Kati ya 25 - 30!
Wanawake achana nao; hawana maana; weka vipi unbele vyako vizuri ambavyo Ni:
- Sala, Imani na uaminifu.
- Shuleni/Chuo Kama umejaliwa.
- Biashara au Ajira
Unakutana na wanawake wengi wazuri Mbele; na wote wanaitaji fedha ili uwamudu; Hakuna mapenzi bila uwezo wa kifedha.
Sijui Huyu ana upendo wa kweli hataki hela, ananivumilia; Bullshit; Hakuna mwanamke anavumilia mtu asiye na hela, anakula timing tu aende.
Wana akili sana. Wameona huyu njemba ni miyeyusho tuHuyo dem na dada zake wote hawana akili.
Hiyo miaka uliyoitaja wengi /(sio wote) wanakuwa wame run out of option... so mwanamke akifikia hatua hiyo kama yupo kwenye hali mbaya kiuchumi na kimahusianao au akijihisi amepoanza kupoteza mvuto ...hutafuta loser yyyte yule atakeyjileta mbele yake..Huwezi sema una mchumba kwa hv vida vyenue umri kuanzia 18-27,hao bado hawajajua dunia n Nini na kiukweli watakusumbua Sana maana bado akili ndogo, other wise labda ukipata wa hivyo ukitundike mimba haraka kama kweli unataka kuoa na Hilo kwa dunia ya saaa ni ngumu coz kuchomoa mimba kwao n dk 0
Ukitaka ambaye hata kusumbua n kuanzia 28-35 hapo huta pata mawazo kwasababu tayari huyo Kesha pitia mengi na pia Kesha umizwa anajua uchungu wa mapenzi na hapo yupo tayari kuolewa ktk mazingira yeyote,
Nimi niliwahi kuwa na kamoja ka hivyo kalinisumbua Sana, unakuta kana account 4 za fb, majina tofauti et sijui princes nani, sijui Diana.., hovyo sana, namba za cm anazo 4,nasafiri nae nakumbuka siku moja tupo ubungo Kumbe kwenye basi kamuona class mate wake akamkomyeza wakashuka nyuma ya basi naangalia naona wamekumbatiana ana mu hug,last time nikakuta kanaliwa na mume wa mtu.
Nikama mtu kunidanganya et una mchumba yupo chuo, aisee my friend kuwa makini
Kabisa, inawezekana walikuwa wachumba sugu, miaka nenda rudi binti anapewa ahadi kuwa atamuoa na ahadi haitimii.Wana akili sana. Wameona huyu njemba ni miyeyusho tu
Kweli bro, we zisake tu.. Hamna mapenzi hapo inaonesha jamaa jamaa kakuzidi kutoa ndo maana wanakuchukulia poa.Hahahaha hapana kabisa watoto wa kike huwa wanashikwa sana masikio.
Ila ngoja niendelee kutafuta pesa kaka.
Ni ndani ya miezi minne tu.Kabisa, inawezekana walikuwa wachumba sugu, miaka nenda rudi binti anapewa ahadi kuwa atamuoa na ahadi haitimii.
[emoji16][emoji16][emoji16] Hapo mwamba umeupiga mwingi sana, naunga mkono juhudi.Jitahidi ule dada zake
Nimekuelewa sana kaka.mwanaume wa kweli usikubali kupoteza kizembee mfwate na umwambie unayoyafahamu pia rudi home mweleze bint, na kama hatokuelewa mwache mbwa akajiwindie peke yake
Kweli najidanganya cha msingi nimepiga kimya basi....kwa ajili yako? Unajidanganya...
Kweli kabisa.Utakuta jamaa anamkwanja dada wanataka shem na sio shemeji[emoji1]
Basi mwache, kila mmoja wenu aendelee na maisha yakeNi ndani ya miezi minne tu.
nitamwona fala mileleTuwaachie tu mambo yao
Tunaweza tukamshauri tukashangaa mwezi ujao anaoa
Upo deep sana mkuu. Mwanzoni mwanamke ataolewa na mtu kwasababu anapata kila kitu, akishazoea raha zote (kupata mahitaji yote) ndio mapicha picha yanaanza kwasababu anakuwa hana hisia na huyo mwanaume.Wapo waliopata fedha na wana fedha na wameishia kupata maumivu kwa magold digger tu,
Mru anajiuliza huyu mwanamke kakosa nini kwangu mpaka atoke na kale " kajamaa" kadogo kenyewe hakana hata ajira kanashinda betting tu...!
Yakupasa kuelewa mapenzi yako ki hisia zaidi , na hapa ndio wanaume wengi wanapofeli jisni ya kujiconnect emotionally na kum-attract sexually mwanamke.
Wengi hukimbilia kuhonga ovyo ovyo , kujisfia hao ni watu wa hadhi fualin , au kujishow wako stable kiuchumi ili kumvutia mwanamke kimapenzi.... na hii ni very wrong!!!