Huwezi amini Bibi amewahi kunambia haya maneno.Wanawake unapowapa msaada hawaoni kwamba unawasaidia Bali Wanaona wewe ndiye unashida nao na unawapenda, unashida ya Moyo ndîo maana unahangaika kwaajili Yao.
Huwa napingana nawewe hapa mkuu kwingine kote ni sawa kabisaaa.1. Kamwe Usioe mwanamke asiyefanya Kazi yàani asiyezalisha Mali. Never ever.
Utajitesa bure na bado hatakuwa Mwanamke wako.
Wôte mfanyekazi kîla Mtu achangie kipato. Asikuelemee. Usijile, usijiumize Sana. Naye Afanye Kazi.
Ili Siku akitaka kuondoka usihisi ulimenyeka au ulijitoa Sana kwaajili yake.
Ruhusu aende Kwa Amani. Mpe na Mali alizozalisha, ikiwezekana muongezeemo na kidôgo na Mali zako.
Hapa pia napingana nawewe. Lazima amilkiwe na afate sheria zangu hataki asepe mapema asubuhi wala sitamudai2. Usitake kummiliki.
Hutakiwi kummiliki yeyote Hapa Duniani zaidi yako mwenyewe.
Muache ajimiliki mwenyewe. Usimtumngie visheria Sheria vingi Kwa Sababu anayetoa Sheria nyingi analazimika kuwajibika zaidi Kwa Yule anayemtolea Sheria. Ikiwemo kumhudumia.
Mpe Uhuru lakini mpe pia ANGALIZO kuwa Siku akiku-cheat utampa Mkono wa kwaheri.