Wadogo zetu wa sasa wana ujasiri sana, sio waoga kabisa

Wadogo zetu wa sasa wana ujasiri sana, sio waoga kabisa

Sio kila mtu alizaliwa kwenye shida kwamba usipomsaidia atafeli maisha. Kuna boss mmoja nilienda field, akaja binti mwingine kufanya field akapangiwa kazi ambayo hapendi na hajasomea ila anaweza ifanya. Akaomba abadilishiwe kitengo na yule boss akachukia eti binti kadharau field wakati kuna watu wanaitaka.

Kumbe binti kaja kufanya kazi fulani kupata uzoefu sababu baba yake anafanya kazi kama ile. Alipoona atapotezewa muda akaenda kufanya field ofisi ya baba yake. Kuwa boss sio lazima usikilizwe kila muda na ujifanye mungu mtu na kupenda machawa. Likewise anaweza kuja kijana ukamletea umungu mtu akaondoka kufanya mambo yake na akakuzidi ukabaki na sonona.

Huu uzi una watumwa kwelikweli. Eti boss akikuongelesha hutakiwi kuondoka, na akikutongoza hutakiwi kukataa si ndio?
inawezekana umezaliwa kwenye gud tym kweli ila wazee wako hawakua na mindset hii ndio maana akaweza fanikiwa.am not judging ila nahis wewe uko na shida.
 
NImeshawah kuandika CV na kui update si zaid ya mara 3 toka nimalize chuo 2013. I dont mind about CVs..Nikikuomba CV ni katika formalities tu ila sinaga muda na CV za watu..wala ya kwangu mwenyewe.

NB.
CV ni ujinga ujinga tu ambao una maana huku kwetu africa.
Sasa utajuaje qualifications na expirience za mtu bila cv? au utaanza kusoma kimoja kimoja?
 
Sasa utajuaje qualifications na expirience za mtu bila cv? au utaanza kusoma kimoja kimoja?
Hapana. Mtu akitaka kufanya kaz na wewe anakuchukua kwa lengo moja tuu!!! KAZI aliyoilenga.Ataipaimaje?
Performance and deliverables!! Bas .
Hiz habr zingine hazi mashiko sana.Kwa mtazamo wangu lakin!.
 
Hata huku kwenye ishu za biashara na ujasiriamali kuna madogo wengi sana wazinguzi. Kuna dogo mmoja alifungua duka dogo la nguo sasa kwenye mwezi wa 8 wakati biashara ya jezi ndo imezidi kupamba moto nikaona ngoja dogo nimpige jeki angalau na yeye auze jezi apige hela. Nikamshauri na kumwambia akimbizane na msimu halafu kama hela hana apite dukani kwangu achukue hata 100pcs na kuziuza aniletee tu changu akishauza. Kesho yake namuuliza dada wa dukani kama dogo alifika akajibu hapana. Baada ya siku kadhaa nikakutana na dogo barabarani akaniambia "Bro usijali nikipata muda nitapitia hizo jezi"... mimi kama kawaida nikamwambia aache upuuzi nilitaka kumsaidia ila nimefuta huo msaada. Tunavyoongea duka lake kashafunga hali ngumu.
Unamlalamikia kwa sababu hajataka kufanya biashara na wewe?
 
FB_IMG_1697391863929.jpg
 
Hapana. Mtu akitaka kufanya kaz na wewe anakuchukua kwa lengo moja tuu!!! KAZI aliyoilenga.Ataipaimaje?
Performance and deliverables!! Bas .
Hiz habr zingine hazi mashiko sana.Kwa mtazamo wangu lakin!.
Sikubaliani na wewe
Utampa mtu kazi
Hapana. Mtu akitaka kufanya kaz na wewe anakuchukua kwa lengo moja tuu!!! KAZI aliyoilenga.Ataipaimaje?
Performance and deliverables!! Bas .
Hiz habr zingine hazi mashiko sana.Kwa mtazamo wangu lakin!.
Labda hizo ajira unazitoa sio proffesional, yani zinaweza kufanywa na mtu yeyote.

Chukulia mfano unamuajiri accountant bila kujua qualifications zake na expirience.
Unaanza kupima performance yake baada ya kumpa ajira??

Sasa kama hayuko qualified utamfukuza?
 
Back
Top Bottom