Wafahamu Celebrities waliotoka familia bora

Wafahamu Celebrities waliotoka familia bora

Teh teh teh kama we unavyolalamika foleni huko Mbezi unafikiri wote ndo tu nakaa huko? huko Mbweni anakaa mzee kila week end naenda kumsabahi mi niko bado town nashkuru kwa Mungu alijenga mijengo mingi hapa jijini hakucheza Golori enzi za ujana wake so,now nakula pension tuu.

Ndio nimekuuliza wakishua wanakaa kwenye nyumba za msajili za WATANZANIA walipa kodi? Sasa hivi wapo wanahangaika kupanga ubavu bonyokwa kwenu huko!

Sasa na wewe acha misifa nani kakuuliza? sasa kama baba yako alijenga si yeye acha kudharau baba za wenzio hata kama wamepanga ni maisha yao. Jenga zako ndio ujisifie .
 
Teh teh teh kama we unavyolalamika foleni huko Mbezi unafikiri wote ndo tu nakaa huko? huko Mbweni anakaa mzee kila week end naenda kumsabahi mi niko bado town nashkuru kwa Mungu alijenga mijengo mingi hapa jijini hakucheza Golori enzi za ujana wake so,now nakula pension tuu.

Ndio nimekuuliza wakishua wanakaa kwenye nyumba za msajili za WATANZANIA walipa kodi? Sasa hivi wapo wanahangaika kupanga ubavu bonyokwa kwenu huko!

Utajiri wa uzeeni utaujua tu ulimbukeni mwingi.
 
Chezea pesa za penshen nn, mambo ya kishua wawaachie akina vannesa mdee

Teh teh teh wa kishua kiss my ass kwa kuimba na kulipwa laki3? Mbona hakai tena Masaki sasa hivi wako bonyokwa?


Sent from my iPad Air using JamiiForums mobile app
 
Utajiri wa uzeeni utaujua tu ulimbukeni mwingi.

Teh teh teh pole kama nilivyo sema tokea mwanzo siijui shida hadi huwa nashangaa watu wanaosema wanaolala njaa naona wanatania au ulishaona kuna sehemu nimechangia maisha magumu? Tokea mtoto nashuka Ngazi toka chumbani naenda Sebuleni na sizijui hata seat za daladala ndani zikoje,nursery nilikua napelekwa na gari,,o'level-Universtiy na push gari hadi sasa hivi! Au tukutane IG

Unavyosema uzeeni ndio nikushangae!


Sent from my iPad Air using JamiiForums mobile app
 
Teh teh teh pole kama nilivyo sema tokea mwanzo siijui shida hadi huwa nashangaa watu wanaosema wanaolala njaa naona wanatania au ulishaona kuna sehemu nimechangia maisha magumu? Tokea mtoto nashuka Ngazi toka chumbani naenda Sebuleni na sizijui hata seat za daladala ndani zikoje,nursery nilikua napelekwa na gari,,o'level-Universtiy na push gari hadi sasa hivi! Au tukutane IG

Unavyosema uzeeni ndio nikushangae!


Sent from my iPad Air using JamiiForums mobile app

Teh teh teh 😀😱:thumbdown: hivi watu wa design hii bado mpo.. teh mwenye pesa hajisifii anasifiwa na wala hajitangazii anatangazwa ungekuwa nazo tungekujua tu kama watoto wengine wakishua sio maceleb but wanafahamika tu kwa pesa.
 
Teh teh teh pole kama nilivyo sema tokea mwanzo siijui shida hadi huwa nashangaa watu wanaosema wanaolala njaa naona wanatania au ulishaona kuna sehemu nimechangia maisha magumu? Tokea mtoto nashuka Ngazi toka chumbani naenda Sebuleni na sizijui hata seat za daladala ndani zikoje,nursery nilikua napelekwa na gari,,o'level-Universtiy na push gari hadi sasa hivi! Au tukutane IG

Unavyosema uzeeni ndio nikushangae!


Sent from my iPad Air using JamiiForums mobile app

IG mnako fake maisha kule kupigia picha magari ya watu.. 😱😀😀😀 wakishua my ass.
 
Sasa na wewe acha misifa nani kakuuliza? sasa kama baba yako alijenga si yeye acha kudharau baba za wenzio hata kama wamepanga ni maisha yao. Jenga zako ndio ujisifie .

Mkuu hata sio sifa soma tokea mwanzo mada ilipoanzia then ujue nini nilikua naongelea,,ningetaka sifa ningefungua Uzi humu wa kujisifu na mali au kuna sehem umeshawahi kuona nachangia najisifu? Mtu akianza na kashfa na wewe unamjibu km anavyopenda.

Baba zao nao wangejenga kwa pension mbona wanagombania daladala za bonyokwa na akifika nyumbani pikipiki km10 interior afu wanasema wanakaa Dar,,,teh teh teh teh



Sent from my iPad Air using JamiiForums mobile app
 
IG mnako fake maisha kule kupigia picha magari ya watu.. 😱😀😀😀 wakishua my ass.

Teh teh teh na wewe kapige,,,niFake nikiwa na mom and my dad?

Joto hasira la bonyokwa


Sent from my iPad Air using JamiiForums mobile app
 
Teh teh teh 😀😱:thumbdown: hivi watu wa design hii bado mpo.. teh mwenye pesa hajisifii anasifiwa na wala hajitangazii anatangazwa ungekuwa nazo tungekujua tu kama watoto wengine wakishua sio maceleb but wanafahamika tu kwa pesa.

Bado wapo na mimi ndio mmoja wapo,,,teh teh teh


Sent from my iPad Air using JamiiForums mobile app
 
Teh teh teh na wewe kapige,,,niFake nikiwa na mom and my dad?

Joto hasira la bonyokwa


Sent from my iPad Air using JamiiForums mobile app

Ukikua utaacha ndo shida ya pesa za pensheni... ulimbukeni mwingi mbaya zaidi hujazifaidi kama hao wenzio.
 
Bado wapo na mimi ndio mmoja wapo,,,teh teh teh


Sent from my iPad Air using JamiiForums mobile app

Teh teh shukuru sana pension la sivyo ungejisifia kwa lipi... unawish ungeanza tena std 1 ufute memory za kidumu na ufagio lol...
 
Teh teh teh wa kishua kiss my ass kwa kuimba na kulipwa laki3? Mbona hakai tena Masaki sasa hivi wako bonyokwa?


Sent from my iPad Air using JamiiForums mobile app

HAta kama akikaa kuzimu , yule katoka ushuani bhana
 
Back
Top Bottom