Wafahamu kwa Majina Makamu Wenyeviti Tangia Kuasisiwa Kwa CCM 1977. Ujue Kwanini Ameteuliwa Mzee Stephen Wasira na wote wamezaliwa kabla ya Uhuru

Wafahamu kwa Majina Makamu Wenyeviti Tangia Kuasisiwa Kwa CCM 1977. Ujue Kwanini Ameteuliwa Mzee Stephen Wasira na wote wamezaliwa kabla ya Uhuru

Lucas Mwashambwa

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2022
Posts
28,722
Reaction score
20,610
Ndugu zangu Watanzania,

Hawa ndio Makamu Wenyeviti wa CCM tangia Kuasisiwa kwake Mwaka 1977 Februari 5.

Ukiwatazama tu na kufuatilia tu historia zao na heshima zao katika Taifa letu .utagundua kuwa nafasi hiyo haijawahi kushikwa na mtu mwepesi mwepesi na asiyefahamu historia Ya Taifa letu.

Ni nafasi ambayo hushikwa na imeshikwa na watu wenye kuijua vyema historia ya Taifa letu ya wapi tumetoka ,wapi tulipo na wapi tunakwenda . Ni watu ambao walizaliwa kabla ya uhuru na hivyo wana uchungu mkubwa sana na chama hiki pamoja na Taifa letu.

Ni watu ambao hawawezi kulisaliti Taifa letu pamoja na chama chetu .ni watu ambao kwao ni Taifa kwanza mtu baadaye.Ni Chama kwanza na maslahi ya mtu baadaye. Ni watu ambao wanajua misingi ya CCM kwa undani na pengine wamekuwa Sehemu yake katika kuitengeneza.

Ni watu ambao wameshiriki pengine katika kuandaa au kutoa maoni katika ilani za CCM katika miaka yote .ni watu ambao wanajua misingi ya Taifa letu na wanatambua CCM ndio chama kilichobeba matumaini ya mamilioni kwa mamilioni ya watanzania.

Na ndio chama kilichobeba hatima ya Taifa letu. na kwamba ni CCM pekee yenye uwezo wa kuliongoza Taifa letu na kiongozi bora ni lazima atoke CCM.
Screenshot_20250118-152150_1.jpg


Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Hawa ndio Makamu Wenyeviti wa CCM tangia Kuasisiwa kwake Mwaka 1977 Februari 5.

Ukiwatazama tu na kufuatilia tu historia zao na heshima zao katika Taifa letu .utagundua kuwa nafasi hiyo haijawahi kushikwa na mtu mwepesi mwepesi na asiyefahamu historia Ya Taifa letu.

Ni nafasi ambayo hushikwa na imeshikwa na watu wenye kuijua vyema historia ya Taifa letu ya wapi tumetoka ,wapi tulipo na wapi tunakwenda . Ni watu ambao walizaliwa kabla ya uhuru na hivyo wana uchungu mkubwa sana na chama hiki pamoja na Taifa letu.

Ni watu ambao hawawezi kulisaliti Taifa letu pamoja na chama chetu .ni watu ambao kwao ni Taifa kwanza mtu baadaye.Ni Chama kwanza na maslahi ya mtu baadaye. Ni watu ambao wanajua misingi ya CCM kwa undani na pengine wamekuwa Sehemu yake katika kuitengeneza.

Ni watu ambao wameshiriki pengine katika kuandaa au kutoa maoni katika ilani za CCM katika miaka yote .ni watu ambao wanajua misingi ya Taifa letu na wanatambua CCM ndio chama kilichobeba matumaini ya mamilioni kwa mamilioni ya watanzania.

Na ndio chama kilichobeba hatima ya Taifa letu. na kwamba ni CCM pekee yenye uwezo wa kuliongoza Taifa letu na kiongozi bora ni lazima atoke CCM.View attachment 3205352

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Lucas vikongwe wanapeana fursa ndani ya chama wewe bado tu unapiga uchawa!?
 
Ndugu zangu Watanzania,

Hawa ndio Makamu Wenyeviti wa CCM tangia Kuasisiwa kwake Mwaka 1977 Februari 5.

Ukiwatazama tu na kufuatilia tu historia zao na heshima zao katika Taifa letu .utagundua kuwa nafasi hiyo haijawahi kushikwa na mtu mwepesi mwepesi na asiyefahamu historia Ya Taifa letu.

Ni nafasi ambayo hushikwa na imeshikwa na watu wenye kuijua vyema historia ya Taifa letu ya wapi tumetoka ,wapi tulipo na wapi tunakwenda . Ni watu ambao walizaliwa kabla ya uhuru na hivyo wana uchungu mkubwa sana na chama hiki pamoja na Taifa letu.

Ni watu ambao hawawezi kulisaliti Taifa letu pamoja na chama chetu .ni watu ambao kwao ni Taifa kwanza mtu baadaye.Ni Chama kwanza na maslahi ya mtu baadaye. Ni watu ambao wanajua misingi ya CCM kwa undani na pengine wamekuwa Sehemu yake katika kuitengeneza.

Ni watu ambao wameshiriki pengine katika kuandaa au kutoa maoni katika ilani za CCM katika miaka yote .ni watu ambao wanajua misingi ya Taifa letu na wanatambua CCM ndio chama kilichobeba matumaini ya mamilioni kwa mamilioni ya watanzania.

Na ndio chama kilichobeba hatima ya Taifa letu. na kwamba ni CCM pekee yenye uwezo wa kuliongoza Taifa letu na kiongozi bora ni lazima atoke CCM.View attachment 3205352

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Wasira: Alihama chama - kama siyo msaliti angehama Chama?
Kinana: Kamaliza Tembo wote Arusha
 
Upuuzi Mtupu Tanzania Kila Wananchi Hali Mbaya
Hao Pichani Watasaidia Nini
 
Was it necessary to have that good for nothing, sycophantic, academic retarded, mzee as makamu mwenyekiti!
Ccm is dead, ipo inaoza! Asilimia 75 ya population ni vijana under 40! Unachagua makamu jitu la miakq 80+! Samia alitaka jitu kilaza,litakolokuwa kila kitu ni ndio mzee!
Kwa, wasira hii nafasi ni kama fadhila, kumtoa kwenye umaskini wake! Kwa nini asingeteuliwa Mark mwandosya, au Elvis Mwamunyange(CDF wa zamani, tunajua ni mwanaccm),! Pathetic
 
Ndugu zangu Watanzania,

Hawa ndio Makamu Wenyeviti wa CCM tangia Kuasisiwa kwake Mwaka 1977 Februari 5.

Ukiwatazama tu na kufuatilia tu historia zao na heshima zao katika Taifa letu .utagundua kuwa nafasi hiyo haijawahi kushikwa na mtu mwepesi mwepesi na asiyefahamu historia Ya Taifa letu.

Ni nafasi ambayo hushikwa na imeshikwa na watu wenye kuijua vyema historia ya Taifa letu ya wapi tumetoka ,wapi tulipo na wapi tunakwenda . Ni watu ambao walizaliwa kabla ya uhuru na hivyo wana uchungu mkubwa sana na chama hiki pamoja na Taifa letu.

Ni watu ambao hawawezi kulisaliti Taifa letu pamoja na chama chetu .ni watu ambao kwao ni Taifa kwanza mtu baadaye.Ni Chama kwanza na maslahi ya mtu baadaye. Ni watu ambao wanajua misingi ya CCM kwa undani na pengine wamekuwa Sehemu yake katika kuitengeneza.

Ni watu ambao wameshiriki pengine katika kuandaa au kutoa maoni katika ilani za CCM katika miaka yote .ni watu ambao wanajua misingi ya Taifa letu na wanatambua CCM ndio chama kilichobeba matumaini ya mamilioni kwa mamilioni ya watanzania.

Na ndio chama kilichobeba hatima ya Taifa letu. na kwamba ni CCM pekee yenye uwezo wa kuliongoza Taifa letu na kiongozi bora ni lazima atoke CCM.View attachment 3205352

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Nani ana muda na historia ya chama la wazee aisee?
 
1737207403399.png


Kumbe moja ya sifa ni kuzaliwa kabla ya uhuru
 
Ndugu zangu Watanzania,

Hawa ndio Makamu Wenyeviti wa CCM tangia Kuasisiwa kwake Mwaka 1977 Februari 5.

Ukiwatazama tu na kufuatilia tu historia zao na heshima zao katika Taifa letu .utagundua kuwa nafasi hiyo haijawahi kushikwa na mtu mwepesi mwepesi na asiyefahamu historia Ya Taifa letu.

Ni nafasi ambayo hushikwa na imeshikwa na watu wenye kuijua vyema historia ya Taifa letu ya wapi tumetoka ,wapi tulipo na wapi tunakwenda . Ni watu ambao walizaliwa kabla ya uhuru na hivyo wana uchungu mkubwa sana na chama hiki pamoja na Taifa letu.

Ni watu ambao hawawezi kulisaliti Taifa letu pamoja na chama chetu .ni watu ambao kwao ni Taifa kwanza mtu baadaye.Ni Chama kwanza na maslahi ya mtu baadaye. Ni watu ambao wanajua misingi ya CCM kwa undani na pengine wamekuwa Sehemu yake katika kuitengeneza.

Ni watu ambao wameshiriki pengine katika kuandaa au kutoa maoni katika ilani za CCM katika miaka yote .ni watu ambao wanajua misingi ya Taifa letu na wanatambua CCM ndio chama kilichobeba matumaini ya mamilioni kwa mamilioni ya watanzania.

Na ndio chama kilichobeba hatima ya Taifa letu. na kwamba ni CCM pekee yenye uwezo wa kuliongoza Taifa letu na kiongozi bora ni lazima atoke CCM.View attachment 3205352

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Makatibu wakuu wao pia waweke
 
Back
Top Bottom