Wafanyabiashara mnaofanya biashara kimazoea jiandaeni kisaikolojia na ujio wa kina "Niffer" wengi zaidi

Wafanyabiashara mnaofanya biashara kimazoea jiandaeni kisaikolojia na ujio wa kina "Niffer" wengi zaidi

Unajua kuna kitu unatakiwa kufahamu kuhusu biashara. Kila biashara ina kanuni zake na hizo kanuni zinaitwa kanuni za tasinia husika ambazo zinawasaidia kuweza kumaintain soko, kuendesha maisha yao na kulipa gharama za tozo na kodi za serikali.

Huyu binti anachokifanya ni kukurupuka na kuleta ujuaji usio na kichwa wala miguu bila kuelewa kuna waliomtangulia kwenye importation ya bidhaa kutoka china.

Hawa wanaofanya kazi kariakoo pale kwa kukodi frame na kulipia ushuru ni sehemu ya chanzo cha mapato ya serikali wakisema waache kufanya biashara then serikali itakosa mapato mengi sana na watu wengi watakosa ajira.

Anachofanya Niffer ni unethical kibiashara kwasababu yeye halipi gharama za kiuendeshaji sawa na wale wa kariakoo ingawa anadai ana frame lakini haiwezi kuwa sababu ya kujitetea kuwa yupo sawa na wa kariakoo.

Kitu kingine anachofanya ni kuwanunulia mzigo wateja kwa gharama zao kama vile unavyomuagiza mtu kitu akuletee kutoka mkoani au nje ya inchi.

Sasa kinachotokea ni nani anabeba gharama za kontena, usafirishaji, hadi kumfikia mteja na yeye Niffer ana price vipi bei zake hadi kupata faida.

Kama lengo lake ni kupata access ya kwenda china kubeba vitu vyake plus vitu vya wanunuzi hapo sawa of which tutarejea kule kule kwa mwanzo kuwaharibia wale wanaoagiza bidhaa nje pale kariakoo.

Bado sijaelewa hiki anachokifanya Niffer anatumia theory gani ya biashara.
 
Uyo niffer sio wa kwanza kufanya biashara ya hivyo hata wakina faiza walianza hivyo siku nyingi tu na sasa hawasikiki na wapo wengine wengi tu wanaagizia watu bidhaa nje tena kwa bei nafuu mfano Haika yule dada wa businesseagle, chidd mapenz, kim china na wengineo wengi.

Shida ya niffer ni kutangaza bidhaa za wengine ni FAKE ilihali yeye mwenyewe anaenda nunua bidhaa hizo hizo anazoziita fake na kuziuza kwa bei yake.
Hizi biashara za namna hii huwa zinakuja kuishia na madeni na kuchafuana. Nimeona sana hii kitu aiseee atakuja ishia kuitwa tapeli. Ipo siku.
 
Hamna akili yoyote ya ziada aliyo nayo niffer kwenye biashara ya uagizaji zaidi ya makelele tuu ambayo yatamletea shida, watu wanalipa Kodi, OCs na tozo za kutosha kuendesha biashara hawezi kufanana na huyo niffer anaechukua vi order kadhaa wanaingiza kimagumashi kisha wanauza bila efd, ajitafakari
Kuna mengi hapa watu hawajui wanahisi ni rahisi. Na yule binti alichokosea ni kutangaza labda kama kuna kigogo anamtomba hapo sawa.
 
Kwa wiki iliyopita mitandaoni hasa Instagram na Twitter kuliibuka mjadala mkali ikiwemo vita ya maneno miongoni mwa wafanyabiashara wa mjini Dar es Salaam. Baadhi ya wafanyabiashara walimtupia lawama Bi Niffer ambaye ni mfanyabiashara mdogo anayekuwa kwa kasi ya ajabu. Wanamtuhumu Niffer kurukia kila biashara huku akivunja miiko mingi ya biashara hizo. Wanadai Niffer amekuwa akiharibu bei za soko kwa makusudi huku akiponda bidhaa za wafanyabiashara wengine.

Hili suala limekuwa na mitazamo mingi. Watu wengi wamesema Niffer yuko sahihi kwa sababu ni mbunifu na hakuna sheria anayovunja. Upande mwingine unadai sio vema Niffer kuanika bei zake ndogo hadharani kwa sababu zinawaharibia wenye maduka ambao wanalipa kodi nyingi sana. Binafsi baada ya kufuatilia hili sakata nimeona ni sahihi 100% Niffer kuendelea kuwapelekea moto hao wakongwe wasiotaka kubadilika. Pia yeye kuuza vitu kwa bei ya chini ni msaada kwa wananchi wengi. Niffer ni mjasiriamali kamili anayetatua changamoto za raia huku raia wakiweka pesa kwenye wallet ya Niffer.

Ukitoa wauza nguo kwa bei ya jumla hao wafanyabiashara wengine ni wapigaji kwa kuweka bei za juu kupitiliza. Nina ushahidi usiotia shaka. Kwa mfano raba za AirForce zinazouzwa 35 - 50k... ila kuziagiza hadi kukufikia haizidi 15k kila kitu. Sasa kuna sababu zipi za kuuza kwa bei mara 2 au 3? Wanyabiashara wakongwe jueni kabisa kutatokea kina "Niffer" wengi sana na sokoni kutachafuka mno. Mjiandae kisaikolojia.

Ninamshauri Niffer naye asifanye kosa la kuponda bidhaa za wenzake. Apromoti tu bidhaa zake bila kutamka shombo kuhusu wengine. Wafanyabiashara wakongwe wana mbinu nyingi safi na chafu kwahiyo awe makini asije akazimishwa. Ni HATARI. Pia yule boyfriend wa Niffer awekeze zaidi kwenye kukata viuno kitandani maana kwa hali ilivyo Niffer anaenda kuwa mkubwa zaidi na kuna mabaradhuli wenye hela hawawezi kuona mtoto mkali kama yule wakaacha apite hivihivi.
Nimegundua wapiga kelele hapa wengi ni mawinga k/koo kwaiyo wanamwonea wivu mtoto mdogo anawakosesha ugari
 
Kwa wiki iliyopita mitandaoni hasa Instagram na Twitter kuliibuka mjadala mkali ikiwemo vita ya maneno miongoni mwa wafanyabiashara wa mjini Dar es Salaam. Baadhi ya wafanyabiashara walimtupia lawama Bi Niffer ambaye ni mfanyabiashara mdogo anayekuwa kwa kasi ya ajabu. Wanamtuhumu Niffer kurukia kila biashara huku akivunja miiko mingi ya biashara hizo. Wanadai Niffer amekuwa akiharibu bei za soko kwa makusudi huku akiponda bidhaa za wafanyabiashara wengine.

Hili suala limekuwa na mitazamo mingi. Watu wengi wamesema Niffer yuko sahihi kwa sababu ni mbunifu na hakuna sheria anayovunja. Upande mwingine unadai sio vema Niffer kuanika bei zake ndogo hadharani kwa sababu zinawaharibia wenye maduka ambao wanalipa kodi nyingi sana. Binafsi baada ya kufuatilia hili sakata nimeona ni sahihi 100% Niffer kuendelea kuwapelekea moto hao wakongwe wasiotaka kubadilika. Pia yeye kuuza vitu kwa bei ya chini ni msaada kwa wananchi wengi. Niffer ni mjasiriamali kamili anayetatua changamoto za raia huku raia wakiweka pesa kwenye wallet ya Niffer.

Ukitoa wauza nguo kwa bei ya jumla hao wafanyabiashara wengine ni wapigaji kwa kuweka bei za juu kupitiliza. Nina ushahidi usiotia shaka. Kwa mfano raba za AirForce zinazouzwa 35 - 50k... ila kuziagiza hadi kukufikia haizidi 15k kila kitu. Sasa kuna sababu zipi za kuuza kwa bei mara 2 au 3? Wanyabiashara wakongwe jueni kabisa kutatokea kina "Niffer" wengi sana na sokoni kutachafuka mno. Mjiandae kisaikolojia.

Ninamshauri Niffer naye asifanye kosa la kuponda bidhaa za wenzake. Apromoti tu bidhaa zake bila kutamka shombo kuhusu wengine. Wafanyabiashara wakongwe wana mbinu nyingi safi na chafu kwahiyo awe makini asije akazimishwa. Ni HATARI. Pia yule boyfriend wa Niffer awekeze zaidi kwenye kukata viuno kitandani maana kwa hali ilivyo Niffer anaenda kuwa mkubwa zaidi na kuna mabaradhuli wenye hela hawawezi kuona mtoto mkali kama yule wakaacha apite hivihivi.


Kumbe na wewe hujui kitu, Nike Air Force OG upate kwa tshs 35,000? Hizo sio Air Force ni fake Air Force, so hata huyo binti sijui Niffer anauza bidhaa fake tupu as well.

Air Force OG huwezi pata chini ya $ 80 - $90, so hizo unaona Kkoo au Instagram za hapa Tz ni fake tupu..!! Wafanya biashara hapa Tz kuleta bidhaa OG ni ngumu sbb hakuna wanunuzi kwa bei za bidhaa OG, so wote hao wanauza copy or fake tupu..!!
 
Kumbe na wewe hujui kitu, Nike Air Force OG upate kwa tshs 35,000? Hizo sio Air Force ni fake Air Force, so hata huyo binti sijui Niffer anauza bidhaa fake tupu as well.

Air Force OG huwezi pata chini ya $ 80 - $90, so hizo unaona Kkoo au Instagram za hapa Tz ni fake tupu..!! Wafanya biashara hapa Tz kuleta bidhaa OG ni ngumu sbb hakuna wanunuzi kwa bei za bidhaa OG, so wote hao wanauza copy or fake tupu..!!
Wewe mpuuzi kuna sehemu nimesema ni OG?
 
Binti anakosea ila huenda akajirekebisha. Asichojua ni kuwa katika wanaomlaumu kuna ambao hadi kwenye upunda walishafanya kwahiyo suala la roho ngumu liko damun

Nimegundua wapiga kelele hapa wengi ni mawinga k/koo kwaiyo wanamwonea wivu mtoto mdogo anawakosesha ugari
Tatizo sio ugali tunamuonea huruma maisha yake watu wa kariakoo sio watu Kuna Hadi misukule pale inauza vitu madukani na kubeba, maduka kibao yamefikiwa watu chini so aje pole pole aulize walinzi wapale wanavyo viona usiku kkooo kwenye maduka .
 
Dada wa watu alifanya thinical calculation akajua apige angle Gani Ili atoboe kwenye soko na baada ya kuanza kuinuka vita inazidi kuwa Kali lakini always business is about competition and your competitor is ua enemy in business perspectively kwaiyo lazima tuelewe ata wachangiaji kuwa business is science and science is about game changer. Kikubwa wanaoona anaharibu wajikite hapa stick what you know and what you do best.
 
Kwa wiki iliyopita mitandaoni hasa Instagram na Twitter kuliibuka mjadala mkali ikiwemo vita ya maneno miongoni mwa wafanyabiashara wa mjini Dar es Salaam. Baadhi ya wafanyabiashara walimtupia lawama Bi Niffer ambaye ni mfanyabiashara mdogo anayekuwa kwa kasi ya ajabu. Wanamtuhumu Niffer kurukia kila biashara huku akivunja miiko mingi ya biashara hizo. Wanadai Niffer amekuwa akiharibu bei za soko kwa makusudi huku akiponda bidhaa za wafanyabiashara wengine.

Hili suala limekuwa na mitazamo mingi. Watu wengi wamesema Niffer yuko sahihi kwa sababu ni mbunifu na hakuna sheria anayovunja. Upande mwingine unadai sio vema Niffer kuanika bei zake ndogo hadharani kwa sababu zinawaharibia wenye maduka ambao wanalipa kodi nyingi sana. Binafsi baada ya kufuatilia hili sakata nimeona ni sahihi 100% Niffer kuendelea kuwapelekea moto hao wakongwe wasiotaka kubadilika. Pia yeye kuuza vitu kwa bei ya chini ni msaada kwa wananchi wengi. Niffer ni mjasiriamali kamili anayetatua changamoto za raia huku raia wakiweka pesa kwenye wallet ya Niffer.

Ukitoa wauza nguo kwa bei ya jumla hao wafanyabiashara wengine ni wapigaji kwa kuweka bei za juu kupitiliza. Nina ushahidi usiotia shaka. Kwa mfano raba za AirForce zinazouzwa 35 - 50k... ila kuziagiza hadi kukufikia haizidi 15k kila kitu. Sasa kuna sababu zipi za kuuza kwa bei mara 2 au 3? Wanyabiashara wakongwe jueni kabisa kutatokea kina "Niffer" wengi sana na sokoni kutachafuka mno. Mjiandae kisaikolojia.

Ninamshauri Niffer naye asifanye kosa la kuponda bidhaa za wenzake. Apromoti tu bidhaa zake bila kutamka shombo kuhusu wengine. Wafanyabiashara wakongwe wana mbinu nyingi safi na chafu kwahiyo awe makini asije akazimishwa. Ni HATARI. Pia yule boyfriend wa Niffer awekeze zaidi kwenye kukata viuno kitandani maana kwa hali ilivyo Niffer anaenda kuwa mkubwa zaidi na kuna mabaradhuli wenye hela hawawezi kuona mtoto mkali kama yule wakaacha apite hivihivi.
Unajitekenya mwenyewe na kucheka mwenyewe
 
Biashara ni vita kila mtu apambane na yake sioni kosa la Niffer kabisa kwanza amesaidia maana wengi huweki bei za ajabu,huyo Rest kafanya biashara ngapi au ana biashara ngapi?? Mnataka mtu afanye biashara mnavyotaka nyie Khaa!
Niffer aachwe aisee auze kila kitu tutamsapoti tu Ndio ashakuwa mwamposa wa kike
uko sahihi....biashara ni vita.....kila mmoja apambane....dunia inaji "update" kila uchwao.....hakuna kukariri tena...
 
Hizi biashara za namna hii huwa zinakuja kuishia na madeni na kuchafuana. Nimeona sana hii kitu aiseee atakuja ishia kuitwa tapeli. Ipo siku.
Kuna dada mmoja alikuwa maarufu pale Mwananyamala, sasa hivi kakimbia, chezea madeni wewe. Alikuwa anaagiza bidhaa za watu. Ameacha watu wanadaiwa kibao. Yaani ni chain za madeni
 
Ndio maana nikija huko mjini navaa hivi tusifanane na hizo fake, au hata hizi wamezichakachua?

1712692697195.png

1712692817043.png
 
Kuna dada mmoja alikuwa maarufu pale Mwananyamala, sasa hivi kakimbia, chezea madeni wewe. Alikuwa anaagiza bidhaa za watu. Ameacha watu wanadaiwa kibao. Yaani ni chain za madeni
Kuna m'moja jina nimelisahau. Alikuwa anafanya hizi hizi biashara za kuagizia watu bidhaa nje kwa bei nafuu. Yeye alikuwa anawachukulia vyombo vya ndani.

Alikuwa amekusanya kiasi kama bilion moja hivi kwa Total, ila alikuwa amefanyia kitu kingine zile hela sasa kibao kikageuka naona kuna mtu wake wa karibu alienda kumchoma kwa wateja kuwa pesa zao ametumia kwenye kitu kingine ndio maana anawacheleweshea mizigo yao sio maswala ya bandari wala nini na waliwapa ushahidi kabisa.

Raia wakajiunga wakaanza kumtafuta kwa RB kabisa kama tapeli na kutaka arudishe pesa zao. Hapa ninavyoongea sijui yupo huko Dubai kama sio china ameamua kujificha huko maana huku Dar hadi makazi alipokuwa anaishi amehama.
 
Back
Top Bottom