Wafanyabiashara Stendi ya Magufuli wataka mabasi yote yashushe na kupakia abiria hapo stendi ili wapate wateja

Usilinganishe dar na urambo. Na ni Jiji urambo ni Wilaya.
 
Ni uvivu tu wa kufikiri wa wanasiasa, hasa kwa sababu wao sio watumiaji wa hizi stendi.
 
Hapo utakuwa unampangia mwenye basi Cha kufanya. Yeye kaamua kuwasaidia abiria wake basi.
Na mwenye bus anawajibika kwa waliompa leseni ya biashara!! Complain zozote abiria fikisha kwa wasimamizi (LATRA) na si kuwatumia wamiliki wa mabasi. Mbona zikitokea ajali wa kulalamikiwa ni latra eti hawadhibiti makosa ya waendesha mabasi
 
Kwenye biashara Kuna offer Kwa mteja ili kumvutia awe mteja wa kudumu Kutokana na offer. Mabasi yametumia hiyo gap kupata loyal customers. Ni mfumo wa kibiashara.
Sasa serikali itawashughulikia kwa kutoheshimu mkataba wa kikazi.
 
Unatoka zako kwenu Tukuyu na mikungu yako ya ndizi na viroba vya viazi mbatata wanakushushia Mikumi ujitafutie daladala za kufika kwenu Kibamba🤣
Hii yote wanafanya kwa vile wao hawapandi mabasi
 
Naongea km afisa wa mipango miji.
Sasa waambie waliokutuma tunataka stendi nyingine kubwa kabisa ya mabasi hapo Urafiki/Shekilango serikali ilipopanunua. Serikali itakapoanza kupaendeleza wajenge majengo ya maghrofa 30 halafu chini kwenye basements tunataka stendi kubwa zaidi ya ilivyokuwa ubungo.
 
Haya ndo mawazo ya kujenga na si kugoma. Kugoma ni njia ya mwsho kabisa kama malalamiko yako hayajafanyiwa kazi kwa muda mrefu.
 
Kama wanaona biashara haiendi si wafunge biashara! Kuna mtu anawalazimisha kuendelea na bishara?
 
Kuna gari hailipi ushuru pale Mbezi?
Ajira gani iliyopotezwa ?

Au ndio nyie wauzaji wa bidhaa?
Ushuru mabasi yote yanalipa Vizuri tu wa kuingia na kutoka wawe wanaingia au hawaingii ushuru wao wa stendi Wenye mabasi walushalipa hao vibaka wataka mabasi lazima yaingie wao ni nani na inawahusu Nini wakati Wenye mabasi walishalipa ushuru wao wa kuingia na kutoka Kila basi wao ni LATRA au wamiliki wa stendi?
Huwezi lazimisha mteja aje haipo aninue chips mayai au majinya kunywa haipo hiyo
 
Na mwenye bus anawajibika kwa waliompa leseni ya biashara!! Complain zozote abiria fikisha kwa wasimamizi (LATRA) na si kuwatumia wamiliki wa mabasi. Mbona zikitokea ajali wa kulalamikiwa ni latra eti hawadhibiti makosa ya waendesha mabasi
Na LATRA wameruhusu stendi Shekilango na urafiki etc. Hivyo wamiliki wanafuata utaratibu.
 
Naongea km afisa wa mipango miji.

Umbali kutoka Stendi ya Moshi vijijini(Himo) to Moshi ni 35 Km
Umbali kutoka Bunju wilaya ya Kinondoni to Wilaya ya ubungo Mbezi luis stendi ni 33km.

Kutoka Mbagala kongowe wilaya ya temeke to Mbezi luis wilaya ya ubungo ni 35km
Kutoka Moshi mjini to Hai(boma ng'ombe stendi) 50km

Kuna magari yanaanzia wilayani pasipo kupitia makao makuu ya mkoa na moja kwa moja yanaenda mikoa au wilaya zingine.
 
kurasa zote nimesoma sijaona aliyeongelea sababu za mabasi kukwepa stendi ya mkoa
Mabasi yote yanayopita Morogoro road yanaingia stand ya mkoa, ishu n kwamba mabus yameamua kuangalia biashara zaidi na kumpa unafuu abiria.
Ww upo bunju na kuna bus lipo bunju, kwahy utaenda stand kuchukua bus lngin wakati tayar eneo lako kuna bus?
 
Kumbe shida yako ni nauli.
 
Na LATRA wameruhusu stendi Shekilango na urafiki etc. Hivyo wamiliki wanafuata utaratibu.
Sahihi na LATRA Kuna wasomi na wako vizuri na wako sahihi

Hawawezi ingiliwa na wajinga machinga wa stendi ya Magufuli na vibaraka wao wanasiasa uchwara

LATRA,ni wataalamu wanasiasa uchwara wakae mbali waheshimu utaalamu

LATRA,Iko vizuri Tena mno wanasiasa uchwara tafadhali wakae mbali na utaalamu

Utaalamu uheshimiwe please
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…