Wafanyabiashara Stendi ya Magufuli wataka mabasi yote yashushe na kupakia abiria hapo stendi ili wapate wateja

Sahihi kabisa.
 
Kwa hiyo na wenye lodge sasa nao waanze kulalamika bus kuruhusiwa kusafiri usiku imeharibu biashara na hizo blah blah nyingine ooh serikali sijui inakosa mapato??
Sio kila kinachokujia kichwani unaandika, kaangalie nilichoandika uje tujadili, wapi nimesema guest house? Niliongelea na kusisitiza kufanya biashara hiyo kwa utaratibu.

Stand ya bus imejengwa, lakini kuna watu badala ya kupakia na kushusha abiria ndani ya stand wanaanzisha vituo vya nje, kushusha na kupakia, hiyo siyo sawa.

Ndio maana nikauliza stand ilikuwa na haja gani kama kila mtu ataamua kushusha na kupakia popote? Hao watoa huduma hunufaika tu pale mteja anapolazimika kutumia huduma zao, hakuna mtu analazimishwa kutumia huduma yoyote ndani ya stand ya buses. Ila utaratibu ni ustaarabu, nini kinawafanya wasishushe abiria ndani ya stand au kupakia ndani ya stand maalum, badala yake kupandisha na kushusha abiria, Urafiki au vituo visivyo rasmi?
Unanishambulia lakini sijui hata kama unaelewa mantiki ya hoja yangu.

Anyway, fikiri utakavyo hayo yalikuwa mawazo yangu.
 
Mbona ndege huwa hamuombi mshushwe kwenu mnakubali kwenda airport? Utaratibu wa vituo ni muhimu sana, mkifanya shaghala baghala msilalamikie mfumo na utaratibu wa serikali.

Sasa Stand ya bus ya nini kama unaweza panda na kushuka popote?
Pia sijawahi kuona kwenye ndege wamachinga wanazungukazunguka kwenye madirisha kuuza karanga na maji au ndege inasimama ili watu kujisaidia njiani na kula.
 
Acha kukariri ujinga, Dar es Salaam nzima ya watu zaidi ya milioni tano haiwezi kuwa na kituo kimoja tu cha bus za mikoani. Mtu ametoka Lindi na anaishi Mbagala aje kushushiwa Mbezi! Huo utakuwa ujinga wa karne
Ok sasa kila abiria atashushwa anapoishi Dar es Salaam hii?! mhmm haya ngoja nikae na ujinga wangu.
 
Kama naenda ubungo na bus linaelekea huko wakienda na mimi chukulia kama bus limenipa lift ili roho yako mbaya iridhike.
 
Na mikoa karibia yote kila wilaya ina stendi yake, Dar es Salaam ilipaswa kila wilaya kuwa na stendi hata tatu.
 
Kama abiria hajalalamika kushushwa nje ya standa na msafirishaji hajalalamika kwanini wewe muuza biscuits stand ulalamike?

Kuhusu mapato kwani mabasi hayalipi ushuru wa stand na manispaa zimelalamika kukosa mapato?
 
na kwa nini mabasi yanakwepa kuanzia na kuishia hapo stendi tu ?
 
Kama abiria hajalalamika kushushwa nje ya standa na msafirishaji hajalalamika kwanini wewe muuza biscuits stand ulalamike?

Kuhusu mapato kwani mabasi hayalipi ushuru wa stand na manispaa zimelalamika kukosa mapato?
Yakipaki nje hayalipi, na sio utaratibu. Abiria wanatakiwa kupanda na kushuka ndani ya bus stand terminal.
 
Yakipaki nje hayalipi, na sio utaratibu. Abiria wanatakiwa kupanda na kushuka ndani ya bus stand terminal.
Yakipaki nje hayalipi, na sio utaratibu. Abiria wanatakiwa kupanda na kushuka ndani ya bus stand terminal.
Hizo data umeziotoa wapi harafu unajua kuwa ile ni stand na sio packing ya mabus?
 
Watafute kazi ya kufanya au wahamie masokoni
 
Mbona ndege huwa hamuombi mshushwe kwenu mnakubali kwenda airport? Utaratibu wa vituo ni muhimu sana, mkifanya shaghala baghala msilalamikie mfumo na utaratibu wa serikali.
Tatizo ndege Haina barabara ya kufika abiria mitaani walipo usilinganishe na mabasi

Jengeni barabara za ndege zofike Hadi mitaani hatutaenda airport? Tufuate Nini Airport Tutapandia ndege Manzese Kwa Bi Kitumbo bila shida yeyote
 
Hao wajinga kweli, yani wanalazima abiria kushuka hapo wateseke ili wanunue tu crisps na maji yao, wengine wazee kabisa lakini hawana akili hata kidogo wamekimbia kulima kwao Tukuyu wamekuja Mbezi kugombea mia mbili mbili za abira.
Hahaaaaaa, unatuvunjia heshima watu wa Tukuyu bro. Tuombe radhi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…