greater than
JF-Expert Member
- Sep 22, 2018
- 1,653
- 3,060
Mkuu,Wanashauri ujinga fikiria mtu anaishi Boko au Mwenge basi Lina Toka Arusha au Moshi au Tanga linalopita Njia hiyo Kwa hiyo linapita hapo Boko na hapo Mwenge linakwenda na abiria Hadi stendi ya Magufuli linawashusha kule waanze kutafuta usafiri wa kurudi Mwenge na Boko basi linarudi tupu hata kama linapaki Mwenge au boko si.biashara kichaa hiyo
Au mtu anaishi mbagala anatoka Lindi na Mtwara basi linafika mbagala linapitiliza mbagala na huyo abiria Hadi stendi ya magufuli linamshusha atafute usafiri wa kurudi mbagala basi linarudi mbagala tupu hata kama linapaki mbagala huo ni wendawazimu
Hakuna abiria atakubali Hilo
Kwanza kulikuwa na mpango wa kupiga Rami kutoka Bunju B hadi Msakuzi na kufika Mbezi Magufuli....
Pili kulikuwa na mpango wa stendi ya Njia za kusini kujengwa Mbagala....yani Dar kuwa na stendi kubwa mbili kama ilivyo Mwanza.
Ila hapa suala ni kwanini Mabasi yanaenda kupandishia watu Shekilango na vituo vya ndani....
Kuna barabara za ndani Mabasi hayaruhusiwi kupita....Mabasi yanafika mwenge kutafuta nini?