Na ndio lengo kuu la watu kuchukua majengo hayo ya NHC maana zile gharama za kununua kiwanja Bilioni hazipo, hapo wanajenga wanakaa na mkataba mi miaka 33Acha watu wayaendeleze maeneo yawe ya kisasa zaidi
Ova
Tupo wengi tunamkumbuka mzalendo. Majizi kama ww lazima mdate mkisikia jina la MaguNan amkumbuke shetani?
Wakavunje Michenzani Zanzibar kuna majengo nayo yamechoka mbaya na yakizamani; na wapangaji ZHC wanamikataba kama hiyo.
Zanzibar inapokea watalii wengi sana wakijenga nyumba mpya za kisasa na gated community; awawezi kukosa wazungu wakuwapangisha kama holiday let mwaka mzima kwa hela nyingi sana za kigeni.
Point hapo ni kwamba hela ina mipaka uwezi ku disrupt maisha ya watu kisa eneo unadhani linathamani zaidi; na wala huna alternative ya kuwapeleka watu unaowatoa kwenda kwingine huo ni unyanyasaji.
Ila ya wachinaTz kuna nyingine wanajenga Ubungo pale. Nadhani itakuwa balaa
Kwaa kwa kutulia, hizo nyumba nyingi hazina faida kwa NHC maana maduka ni machache sana na mfumo wa kizamani.Kwanini uvunje investments ambazo ni cashcows za shirika kisa tu ni prime area. Badala ya kutafuta maeneo ya wazi utanue jiji kama una hiyo mitaji.
Hizo ndio akili za investment za watanzania kupenda mambo rahisi. Serikali imewapa hela ya kumaliza mradi wao wa Kinondoni na Kawe apartments; kwanini wasisubiri iishe wapime occupancy rates ya hiyo miradi kabla ya kuruhusu upuuzi mwingine.
Ni mipango ya ovyo mno; kwa sasa NHC inapata 100% revenue ya hayo majengo, si ajabu baada ya uwekezaji wa ubia kila kitu kikikiisha mapato yakawa chini baada ya kukagawana na mwekezaji.
Hakuna la maana hapo zaidi ya uwekezaji, halafu kuondoa biashara 1000 ambazo zinalipa kodi kiasi gani unapoteza serikali, kiasi gani cha hasara unaweza zipa Bank, familia ngapi unazipa umaskini.
Huyu mama anachezewa sana na mafisadi, 2025 nyumba yake ya uraisi anayostahili kujengewa na serikali huko Kizimkazi au popote alipochahua tuakikishe ishaisha; hiyo kazi sio ya size ata kidogo tunalazimisha tu.
Personal nishaachana na hao sakapoko wamebaki wanafamilia wengine, kwenye hiko kibanda chao na sioni wakivunja block yetu wapangaji wake wengine wanalindwa na walinzi wa serikali 24/7.Unawekeza kwenye nyumba ya mtu kwa kutegemea kuishi milele hpo [emoji3]kua serious ebu
Kwamba walilazimishwa kupanga?Wawalipe fidia za loss of income kwa miaka kadhaa ndio watu wanavyofanya na gharama fixtures and fittings za maduka yao; sio kupenda mambo rahisi.
Yaani unachukulia poa tu kisa jengo mali yako utadhani watu awakutafuta hizo hela za kuwekeza hapo.
Biashara zitakufa Kwa hili utawakata wachina kibao wamejaaNdio nashangaa watu wamefata mkataba.
Ni vyema hao wafanyabiashara washauriwe kupigania kufikiriwa kupangishwa wao kwanza mara mradi utakapomalizika.
Hapo naweza kuwaelewa
Wengi wao hawatafikia vigezoKwa hili naunga mkono Nyumba za NHC nyingi za kizamani halafu zipo maeneo strategic .
Waziboreshe tu mradi wafuate mkataba wao hususani suala la notisi.
Ila nao NHC wawahakikishie hao wafanyabiashara wapangaji wao kwamba watawapa wao upendeleo kuwapangisha pale mradi utakapokamilika
Ubaguzi upo wapi?We ni tahira na punguani mkubwa.tena kilazaaa ungetoa hoja bila kuleta ubaguzi wa kikuzi.na mtahama tuh
Nilipoona mzanzibar anakuwa.DG wa NHC.Halafu mtu anatoka kuongoza NGO ndogo tu eti anakuja kuongoza NHC.Mwarabu atapewa.hivyo viwanja. YAANI MAGUFULI MTANGANYIKA TUTAKUKUMBUKA.TUNAKUKUMBUKA.
NHC wana nyumba zaidi ya 400 Kariakoo na PostaKuna ndugu yangu hapo alipewa notisi inayoisha mwezi wa saba.
Ila yeye aliambiwa na mwenye nyumba kuwa kuna muhindi amekuja wameingua share anataka kujenga ghorofa, vyumba vya juu vitakuwa ni miliki ya mwenye nyumba halafu vya chini itakuwa ni mali ya muhindi kwasababu ataweka fremu za biashara.
Saizi kapata fremu nyingine
Lakini kwa ripoti hii ya watu zaidi ya 100 kuwa na situation inayofanana na ya ndugu yangu, naanza kuamini huwenda mwenye nyumba alimdanganya mpangaji wake.
Huwenda ishu yote ni hao hao NHC
Kama wewe hujui haki zao, usidhani na wao hawazijui.Kwamba walilazimishwa kupanga?
Notisi imetolewa kwa maduka 40 pekee, wengine ni wapangaji wa nyumba za kuishiBiashara 1000 zinaweza kuwa zimeajiri watu wangapi kila duka. Ukishawatoa hao wenye maduka na wafanyakazi wao hao watu wanaenda kula wapi?
Haya tupe jibu wewe mwelewa?
Wanaanzia sehemu ambazo hela inapatikana kirahisi ie KKOOWaje na pale manyanya kinondoni
Pale pako ovyo sana .....alafu sehemu
Ni strategic area
Ova
Personal nishaachana na hao sakapoko wamebaki wanafamilia wengine, kwenye hiko kibanda chao na sioni wakivunja block yetu wapangaji wake wengine wanalindwa na walinzi wa serikali 24/7.
Lakini aindoi haki za wapangaji wengine dhidi ya huu unyanyasaji.
Watu wanapenda kuweka siasa kwenye kila kituMsipende kuishi kwa mazoea
Acha watu waje waboreshe maeneo
Ova
Ndo mana kunq mjumbe alisema akili za kijamaa ni za kimaskini sana. Kwa iyo nikikupangisha kama nataka kufanya maendeleo yangu nisikupe notisi ya kutoka tena ya muda wa kutosha kwa sababu nahofia utakula wapi? Kwanza mpangoshaji ni mimi tu? Ndani ya miezi mitatu huwezi pata mwenye nyumba nyingine ukaendelea na biashara?Biashara 1000 zinaweza kuwa zimeajiri watu wangapi kila duka. Ukishawatoa hao wenye maduka na wafanyakazi wao hao watu wanaenda kula wapi?
Haya tupe jibu wewe mwelewa?