Mayor Quimby
JF-Expert Member
- Mar 13, 2021
- 4,950
- 10,977
Contract Law is not your thing; acha kupotezea watu muda kwa vitu unavyodhani sahihi kichwani kwako wakati illogical.Thubutu! Msiwe kama ngumbaru, mkataba unasemaje? Kwa nini hamkuhoji mkataba mlipokuwa mnaingia?
Nendeni mahakamani mpigwe pesa tena! Huo mkataba haukuandaliwa na mambumbumbu na wapangaji wanafahamu. Uwekezaji wako unapaswa kuzingatia mkataba wa upangaji wako, siyo unawekeza kama kwako kwenye nyumba ya kupanga!Umeishiwa hoja
Subiri waende mahakamani uone kama watatolewa.
Uwezi kuwa na mkataba wa kukodisha mtu shamba ata kama umesema unaweza vunja muda wowote. Ukifanya hivyo huyo mkulima ata shinda kesi hizo terms zako utaambiwa ni batili, uwezi kukodisha shamba bila mkulima kuvuna; hizo ndio customary implied terms za mkataba.
Kila industry ina customary norms zake ndio maana nakueleza unaropoka tu; subiri waende mahakamani uone kama serikali aitotozwa billions za fidia; huo muda ni mdogo sana.
Mnang'ang'ania hayo majengo mtafikiri mlisaidia kupeleka tofali za ujenzi saiti.
Wavunje zote kuanzia upanga, posta hadi kariakoo maana haziendani na usasa wa mji na wala huwezi kuyaweka kama majengo ya kale.
Ila naelewa hofu yao kwa kuwa wamekulia humo, wamezaliana humu na kujiona wana hati miliki ya jengo.
Kabisa kabisa ! Waende Mahakamani tu!! Sheria zitatafsiriwa huko !! Halafu hao jamaa wanaoutetea mkataba wana makasiriko ya haraka sana 😅 sijui ni kwanini 😅 !Umeishiwa hoja
Subiri waende mahakamani uone kama watatolewa.
Uwezi kuwa na mkataba wa kukodisha mtu shamba ata kama umesema unaweza vunja muda wowote. Ukifanya hivyo huyo mkulima ata shinda kesi hizo terms zako utaambiwa ni batili, uwezi kukodisha shamba bila mkulima kuvuna; hizo ndio customary implied terms za mkataba.
Kila industry ina customary norms zake ndio maana nakueleza unaropoka tu; subiri waende mahakamani uone kama serikali aitotozwa billions za fidia; huo muda ni mdogo sana.
Nyumba za Umma hizo sio za watu binafsi !Ebo hiyo siyo hoja, mwenye nyumba anataka nyumba yake! Hama kajenge nyumba yako ufanye hizo biashara zako!
Unafanya biashara kwa kutegemea nyumba ya mwenzako, ujinga gani huo!
Ndiyo ni nyumba za umma sasa umma unataka kuboresha nyumba zake! Watoke uboreshaji uanze mara moja magofu hayahitajiki tena mijini.Nyumba za Umma hizo sio za watu binafsi !
kwani huwezi kuhamia sehemu nyingine ukapanga?Wewe unaweza kwenda kukodi duka, ukawekeza kwenye furnitures, ulinzi, kwenda kukopa bank na kununua inventory; kama unajua baada ya miezi mitatu mwenye jengo baada ya miezi atakuja kukutoa.
Ndio maana kwenye mkataba wa biashara kuna kitu kinaitwa ‘customary term’ hiyo ni implied term ambayo mahakama itaizingatia ata isipokuwa expressed kwenye mkataba.
Logical inatumika kuangalia uhalisia wa scenario, uwezi kuvunja mkataba hasa wa kibiashara kiholela bila ya fidia.
Ukute hapo zaidi ya nusu ya wafanyabiashara hawana mikataba yenye majina yao.Nendeni mahakamani mpigwe pesa tena! Huo mkataba haukuandaliwa na mambumbumbu na wapangaji wanafahamu. Uwekezaji wako unapaswa kuzingatia mkataba wa upangaji wako, siyo unawekeza kama kwako kwenye nyumba ya kupanga!
Hii ndio Tanzania na huu ndio uchambuzi wa uhakikaNaona kama wameadhibiwa wale kwasababu ya ule mgomo, sitegemei hao jamaa waje kupangishwa tena kwenye hayo majengo mbele ya safari, ndio wameshaondolewa kijanja hivyo.
Ngoja tuone kama kweli huo mradi mpya utaanza hivi karibuni, au ndio kwasababu wameshapata sababu ya kuwaondoa hao jamaa, basi na mambo mengine yatalala.
Humjui huyu? Kwa sie tunaemjua wala hatusumbuiComment zako nyingi ni negative hata sehemu ya kutumia akili ndogo tu wewe huwezi bali unaendeshwa na mihemko ya kipumbavu,bila shaka utakua unapitia kwenye maisha magumu sana,hivyo unatumia hizi negative comment zako kama njia mojawapo ya kujifariji.
Wanaomba waongezewe muda wajipange !Ndiyo ni nyumba za umma sasa umma unataka kuboresha nyumba zake! Watoke uboreshaji uanze mara moja magofu hayahitajiki tena mijini.
Wapangaji OG walikwisha acha biashara wametulia tuli wanakusanya cha juu kutoka kwa hao wapiga zumari!Ukute hapo zaidi ya nusu ya wafanyabiashara hawana mikataba yenye majina yao.
Yaani Mpangaji OG aliingia mkataba toka 1970s na hajulikani aliko
Kwanza waheshimu mkataba mengine yatafuata!Wanaomba waongezewe muda wajipange !
Ohooo! Kumbe ?!Wapangaji OG walikwisha acha biashara wametulia tuli wanakusanya cha juu kutoka kwa hao wapiga zumari!
Ile itakua nomaTz kuna nyingine wanajenga Ubungo pale. Nadhani itakuwa balaa
"..... hao watu wanaenda kula wapi?...." A typical Tanzanian dumbass question.Biashara 1000 zinaweza kuwa zimeajiri watu wangapi kila duka. Ukishawatoa hao wenye maduka na wafanyakazi wao hao watu wanaenda kula wapi?
Haya tupe jibu wewe mwelewa?