Wafanyabiashara wa mikoani mnaochukua vitu Kariakoo, njooni tujuzane machimbo ya bidhaa

Wafanyabiashara wa mikoani mnaochukua vitu Kariakoo, njooni tujuzane machimbo ya bidhaa

IMG_7796.jpg

Kwa vipodozi original karibuni

Hamna copy
 
Usafiri unatumia wa Agents Kama silent ocean
Serengeti cargo n.k
Nahitaji kufahamu mambo machache
1. Unardhikaje na bidhaa kwa muonekano wa picha, as you know wewe uko mbali uhakika kwamba mzingo unavyoonekana kwa picha especially items zinazohusisha size, Height, weight etc
2. Jamaa wancharge kiasi gani, wanacharge kwa utaratibu gani, per item, Per Kg;
 
chochote unachokitaka kioo ntakupeleka ila bei maelewano kwa wale mnataka mizigo ya jumla tu
 
Wapendwa kwa mahitaji ya curtains (pazia) na blinds for your office ama kitchen karbuni sana...bei nafuu
 
Back
Top Bottom