ninnah96
Member
- Jul 27, 2018
- 43
- 58
Karibu nikuuzie Bei nzuri kabsaMaduka ya jinsi kwa Bei ya jumla
Tupo kko Karibu na jengo la simba
Piga simu au WhatsApp 0744588176
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Karibu nikuuzie Bei nzuri kabsaMaduka ya jinsi kwa Bei ya jumla
mtaa wa kipata, anza na kipata na msimbazi mpaka kipata na swahili utayaona ya kutosha.Wadau, Naulizia Maduka ya jumla kwa vitambaa vya Masofa, yanapitakana wapi.?
Shukrani sana Chiefmtaa wa kipata, anza na kipata na msimbazi mpaka kipata na swahili utayaona ya kutosha.
Wadau vp kwema, naomba kujua wapi ntapata zile simple za kike sometimes utakuta pale mwenge wemepanga chini wanauza elfu mbili mbili au tatu tatu, inaonekana wao kwenye chimbo hua wananunua hadi Mia tano tano. Noambeni information kwa mtu anayejua shukran
nendeni mtaa wa congo na narung'ombe underground ya Tanzanite kule chini kuna mtaa mzima unaingia unatembea chini kwa chini kuna mat-shirts ya kufamtu, pita kwa sister mmoja ivi anaitwa judy
Upande WA kulia mwa kituo Cha Mwendokasi ukitokea mhimbili kwenye upande WA maduka ya vipodozi.Wapi nitapata chimbo la rasta
Hivi wanaweza kuwa wanauzaje bei ya jumlaUpande WA kulia mwa kituo Cha Mwendokasi ukitokea mhimbili kwenye upande WA maduka ya vipodozi.
Aisee kwa kweli bei sizijui maana hata sijawahi kuziulizia ila Kuna ambazo mtaani Wanauza rejareja 1000,1500 n.k zipo za aina nyingiHivi wanaweza kuwa wanauzaje bei ya jumla
Asante mpendwa Mungu akubarikiAisee kwa kweli bei sizijui maana hata sijawahi kuziulizia ila Kuna ambazo mtaani Wanauza rejareja 1000,1500 n.k zipo za aina nyingi
Ulipata?Wadau vp kwema, naomba kujua wapi ntapata zile simple za kike sometimes utakuta pale mwenge wemepanga chini wanauza elfu mbili mbili au tatu tatu, inaonekana wao kwenye chimbo hua wananunua hadi Mia tano tano. Noambeni information kwa mtu anayejua shukran
Naomba namba ya hizo Duka za viatu pleaseMi kuna machinga nilikuwa nachukua mzigo kwake,hivyo nampa pesa ye anazunguka kwenda kuchukua mzigo.Ukimuuliza asemi, siku nilienda na vijana wangu watatu ambapo yeye hakuwaona. Hivyo nilivyomkabidhi pesa akaondoka, vijana wangu wakamfuatilia mpaka wakajua maduka yote aliyoingia. Tangia siku hiyo hajaniona na majamaa wa madukani washanizoea hata bila pesa wananipa mzigo au wanatuma mkoani.
Naomba namba za chimbo za viatu vya kike. Nipo mbali Kwa hiyo sitaweza kufika dukani.Kama za bidhaa gani mkuu? Mim nimejua zinazohusu viatu nguo za ndani na vitenge.