zipalapwata
JF-Expert Member
- Oct 19, 2016
- 290
- 156
Okay
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nendeni mtaa wa congo na narung'ombe underground ya Tanzanite kule chini kuna mtaa mzima unaingia unatembea chini kwa chini kuna mat-shirts ya kufamtu, pita kwa sister mmoja ivi anaitwa judy
Msimbazi pale upande wa pil kule wa kituo cha mwendo kasiWadau.. wapi napata yebo yebo za bei ya Jumla kwa ajili ya watoto!??
Hi dear, ushapata?Naomba namba za chimbo za viatu vya kike. Nipo mbali Kwa hiyo sitaweza kufika dukani.
Ulipata?Wapi nitapata chimbo la rasta
Naelewa, ndo mana na mim nimeulizia kwa anaefaham original store location, naogopa sana vitu vya kuuziw online..wengi wanaouza hizi rubber wanatumia same pictures na kl mmoja ana price yake, sasa mm nilikuw nataman kujua kama kuna physical store na muuzaji halisi mwenyew mwenye hizi picha.Mtu anakwambia anauza online bado unakomaa akuonyeshe duka!?,unajua maana ya kuuza online kweli?
Achana naye hao ni aina ya watu wasumbufu tu sio wanunuaji,hata akionyeshwa hilo duka hatonunua ataenda kushikashika tu bidhaa kisha anakwambia"haya nashukuru nimeona,nikipata hela nitakuja"Mtu anakwambia anauza online bado unakomaa akuonyeshe duka!?,unajua maana ya kuuza online kweli?
Unajuaje hali yangu kiuchumi mkuu? Kuuliza sio ujinga.. Shukran.Achana naye hao ni aina ya watu wasumbufu tu sio wanunuaji,hata akionyeshwa hilo duka hatonunua ataenda kushikashika tu bidhaa kisha anakwambia"haya nashukuru nimeona,nikipata hela nitakuja"
Ukiuliza najuaje jibu ni uzoefu nilionao kwa wateja wa Kitanzania,too much talkings and time wasting but zero action.Unajuaje hali yangu kiuchumi mkuu? Kuuliza sio ujinga.. Shukran.
Ukiuliza najuaje jibu ni uzoefu nilionao kwa wateja wa Kitanzania,too much talkings and time wasting but zero action.Unajuaje hali yangu kiuchumi mkuu? Kuuliza sio ujinga.. Shukran.
Sawa mkuu wewe ni mzoefu na huo ni mtazamo wako I respect that..Ukiuliza najuaje jibu ni uzoefu nilionao kwa wateja wa Kitanzania,too much talkings and time wasting but zero action.
Ngoja nikusaidie ili usiendelee kusumbuka.Wakuu naomben kujuzw hili chimbo la raba na viatu lilipo, kule instagram wauzaj wanaopost hizi rubber na the same pictures ni wengi lakn kl naemuliza physical store iko wapi naambiw ni online na tunafanya delivery, kwa anaejua location ya hili duka naomba msaada tafadhal...shukraniView attachment 2405354View attachment 2405356View attachment 2405357
Saw mkuu nimekuelew, na nashukuru kwa ufafanuzi mzuri, sihitaji kwa jumla nilikuw nataman kujua location ili niende binafsi kuzichukua na sio kufanyiwa delivery sababu nimeshapgwa sana eneo hili...so kam unafaham duka lolote linazouza hizi kwa quality hii hii naomba unisaidie mkubwa...much appreciated.Ngoja nikusaidie ili usiendelee kusumbuka.
Iko hivi, hao watu hawawezi kukuonesha duka, kwa sababu wao wanachojifanya ni kwenda kwenye duka husika, na kupiga picha hizo raba na kuzitangaza... wakipata mteja,wanaenda kwenye duka kununua raba kwa bei ya hilo duka, kisha wanakuja kukuuzia wewe kwa bei yao.
Kwa nini picha zinafanana!??
Wapo wenye maduka wana hizo picha tayari, kwa hiyo wao wanachofanya ni kuzituma hizo picha kwa hawa wauzaji wa mtandaoni (Agents).
Kama nia ni kupata raba, mbona kuna maduka mengi sana ya hizo raba.. sema labda kama utaka kwa jumla ili na wewe ukauze.
Mkuu wewe ni mgeni Dar!??Saw mkuu nimekuelew, na nashukuru kwa ufafanuzi mzuri, sihitaji kwa jumla nilikuw nataman kujua location ili niende binafsi kuzichukua na sio kufanyiwa delivery sababu nimeshapgwa sana eneo hili...so kam unafaham duka lolote linazouza hizi kwa quality hii hii naomba unisaidie mkubwa...much appreciated.
Yes mimi sio mwenyeji sana wa dar, naishi pwani na nafanya biashara huku, so sifaham sana maduka ya vitu mara nyingi napendag kuangalia na kuvitafuta insta..Mkuu wewe ni mgeni Dar!??
Maduka mbona yapo mengi sana.. Nenda Mwenge, Mlimani city, Posta...