Wafanyabiashara wa mikoani mnaochukua vitu Kariakoo, njooni tujuzane machimbo ya bidhaa

Mkuu tuwasiliane nimejaribu kuku pm imegoma.
 
Habari wakuu. Natafuta nguo za shule hasa shati za tomato, sweta na viatu. Msaada wa chimbo jamani, asante
 
Mwenye mawasiliano na muuazaji wa vifaa vya pikipiki kwa kariakoo naomba.
 
Hahahah nitakupa mtu akusindikize maana kwa nature ya job yangu sitoki nje weekdays na weekdays shop nyingi ndo zinakua wazi jmos nusu siku possibilty ya kufanikiwa inakua kidogo na jumapili ndo kabsaa.
Mkuu habari Naona pm yako umefunga nipo mkoani nilikuwa naomba mawasiliano ya hayo machimbo wanayouza vitenge,pochi na sandles kama hutojali unaweza nitumia inbox .

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
 
Jaman nataka kufanya biashara ya hardware mini shop ila chimbo la vitu bei poa sijui kwa kariakoo au popote pale ndani ya dar mfano bomba za ips ,fittings,na machepe nyundo sululu na vingine msaada jamn
 
Hi na maduka ya vifaa vya watoto kwa Bei ya jumla ni mitaa gan?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…