Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
FaizaFoxyWakuu naombeni machimbo ya viatu na Sendo za kiume kkoo bei za afadhari nataka fungua duka mkoani... ThanksView attachment 2607703View attachment 2607704
hizi kuna org na famba chinga wanazouza. wateja wako wanamudu bei ya orgWakuu naombeni machimbo ya viatu na Sendo za kiume kkoo bei za afadhari nataka fungua duka mkoani... ThanksView attachment 2607703View attachment 2607704
Yes oghizi kuna org na famba chinga wanazouza. wateja wako wanamudu bei ya org
0768480963 nitafute bossWakuu naombeni machimbo ya viatu na Sendo za kiume kkoo bei za afadhari nataka fungua duka mkoani... ThanksView attachment 2607703View attachment 2607704
bei zako zipoje,mf.una ile creed aventure ya chupa nyeusi?Perfume Nzuri za kisasa kwa bei reja reja
Jambo!
Perfume, body spray, nzuri kwa bei poa kabisa yani bei elekezi bei ya Dubai, perfume za kisasa kwanini unukie changamoto wakati nina Perfume nzuri na za kila aina zitakazo kufanya unukie murua kabisa kwa mahitaji ya Perfume Body spray jumla na reja reja njoo Pm tufanye Biashara bei zangu ni rahisi mnooooo! mzigo upo wa kutosha.
View attachment 2614978
View attachment 2614979
View attachment 2614980
View attachment 2614981
View attachment 2614982
View attachment 2614983
View attachment 2614984
View attachment 2614985
View attachment 2614986
Nitafute pm nikuelekezeWakuu Naomba mnisaidie machimbo ya hizi Cheni na bracelets zinapopatikana kwa bei ya jumla jumla View attachment 2590815
View attachment 2590816
View attachment 2590817
View attachment 2590818
Nichek Whatsapp kwa pics tufanye biashara 0714994833Ninazo 3.500 kuanzia 10pcs quality ya pili
4,500 quality ya kwanza kuanzia 10pcs
Nichek Whatsapp kwa pics tufanye biashara 0714994833
Nichek Whatsapp kwa picha nione Aina tofauti ulizokuwa nazo nambo Iko juuZilishaisha boss,
Labda Kama Unahitaji nikupakilizie mzigo
Msaada nahitaji kufata bidhaa hizo kariakoo naomba machimbo au conection dar kariakoo wapi ntapata Kwa bei nzuri
sandal, yebo yebo, Slippers
nguo za ndani za kiume na wadada
nguo za watato wadogo chin ya miaka 7
Hapana Kaka Mpaka Sasa Sijapata chimbo Ila Kesho naenda kariakoo nifanye sarvey Ya Bei ikiwezekana nirud Na mzigo mkoanUlipata msaada na mimi unisaidie hapo
Hapana Kaka Mpaka Sasa Sijapata chimbo Ila Kesho naenda kariakoo nifanye sarvey Ya Bei ikiwezekana nirud Na mzigo mkoan
Haina Shida Muhimu Ntaweka Feedback Mungu Ni MwemaPamoja mkuu,ikikupendeza unaweza ukaweka feedback hapa
Pamoja mkuu,ikikupendeza unaweza ukaweka feedback hapa
Habari Wadau Nashukuru Nimerudi mkoan salama Jana Mrejesho kwenye ununuzi wa bidhaa za yebo yebo Na slippers Zipo Mtaa wa Msinbazi kariakoo kuna Ndala, slippers,yebo yebo Za Kila Aina Bei za jumla nilizokutana nazo zipo za 2600,2800,3500,5500,6000 kuanzia pic's 6 Nami nimeondoka Na mzigo wa Kuanzia biashara pic's 107 nizizuungushe masokoni nteleta mrejesho Wakuu.