Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,415
- 119,473
Hiyo cabs ni curtains and bedroom solutions ukifuata tu ile barabara ya cbe utaliona tu kibao chenye hayo maandishi, sio kikubwaAsantee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo cabs ni curtains and bedroom solutions ukifuata tu ile barabara ya cbe utaliona tu kibao chenye hayo maandishi, sio kikubwaAsantee
.natakiwa niwe na mtajii wa kuanzia shngp ilinitoboe Ii biasharaamsimbazi boss,
sawa vingine ukitaka unasema tu nakuelekeza! ninavyovijua pia nitakua nakuongezea machimbo mapya maana supplier wengine wanafilisikaga hahaaahaa
chupi kuna zile za watu wa hali ya juu na za hali ya chini na kawaida mtaa wa muhonda. sandle za kimasai kuna zile maarufu za sapro masai mwenge na nyingine machinga complex. hereni na vifaa vya urembo mtaa wa tandamtiMe nataka machimbo ya
[emoji294]️ chupi za watoto na wanawake
[emoji294]️ sendos za kike / slippers
[emoji294]️ sendos za kimasai
[emoji294]️ hereni
Wapi naweza pata Godoro au sheet zinazotumika kutengenezea sofa, kwa bei ya jumla?
vipodozi kuna vile high class, middle class(vina mchanganyiko wa high na midle) kuna vile vya watu wa chini...mikorogo, vya bei chee. wewe umelenga watu gani na wateja wako wakoje kiuchumi.natakiwa niwe na mtajii wa kuanzia shngp ilinitoboe Ii biasharaa
Sent from my Pixel 3 XL using JamiiForums mobile app
chupi kuna zile za watu wa hali ya juu na za hali ya chini na kawaida mtaa wa muhonda. sandle za kimasai kuna zile maarufu za sapro masai mwenge na nyingine machinga complex. hereni na vifaa vya urembo mtaa wa tandamti
Wakuu Naomba mnisaidie machimbo ya hizi Cheni na bracelets zinapopatikana kwa bei ya jumla jumla View attachment 2590815
View attachment 2590816
View attachment 2590817
View attachment 2590818
vipodozi kuna vile high class, middle class(vina mchanganyiko wa high na midle) kuna vile vya watu wa chini...mikorogo, vya bei chee. wewe umelenga watu gani na wateja wako wakoje kiuchumi
Ni zile Godoro ambazo zinatumika kwenye masofasheet unaamaanisha vitaambaa vya sofa au, velvet. woiso ndo wakali wa kuuza org ila na wengine wapo
Hii ningependa kufahamu piaWadau naombeni msaada wa chimbo la simu used Kutoka USA, JAPAN, KOREA n.k simu kama torque, Google pixel, samsung n.k
Kuna duka pale wanauza jumla tu.... Nilichukua no zao mwezi uliopita. Ngoja nikutumie. Uwapigie wanauza nguo za ndani tuShukrani sana….. samahani me ni wa mkoani mtaa wa tandamti ndo upo sehemu gan
china plaza ndo wanakouza hizi simu na jengo la infinix house underground kule. ukiwa na mtu zanzibar ungejichukulia kwa bei chee kidogo lkn ujiandae kukutana na na TRA. Kuwa makini nyingi zinasumbua, kwa haraka huwezi jua kwa kuiangalia lkn ukitumia baada ya muda fulani unaanza kugundua changamoto zake. Kama na ww unaenda kuuza uwe na simu nyingi ili ikirudishwa uweze fanya replacement.Hii ningependa kufahamu pia
china plaza ndo wanakouza hizi simu na jengo la infinix house underground kule. ukiwa na mtu zanzibar ungejichukulia kwa bei chee kidogo lkn ujiandae kukutana na na TRA. Kuwa makini nyingi zinasumbua, kwa haraka huwezi jua kwa kuiangalia lkn ukitumia baada ya muda fulani unaanza kugundua changamoto zake. Kama na ww unaenda kuuza uwe na simu nyingi ili ikirudishwa uweze fanya replacement.Hii ningependa kufahamu pia
Shukrani mzee vipi kama nikibeba kama nimenunua ya kutumia binafsi simu 2 nazo nakutana na ushuru? kutoka zenjichina plaza ndo wanakouza hizi simu na jengo la infinix house underground kule. ukiwa na mtu zanzibar ungejichukulia kwa bei chee kidogo lkn ujiandae kukutana na na TRA. Kuwa makini nyingi zinasumbua, kwa haraka huwezi jua kwa kuiangalia lkn ukitumia baada ya muda fulani unaanza kugundua changamoto zake. Kama na ww unaenda kuuza uwe na simu nyingi ili ikirudishwa uweze fanya replacement.
Nunua kwa hawa jmaa wenye asili ya asia angalau wana mtaji mzuri hata kufanya replacement hawazingui....ngozi nyeusi wengi miyayusho. Mimi hununua na kuwatuamia wana kijijini zilirudi mbili na nikabadilishiwa bila shida
nasikia ukichukua chini ya kumi hukutani na runguShukrani mzee vipi kama nikibeba kama nimenunua ya kutumia binafsi simu 2 nazo nakutana na ushuru? kutoka zenji