Wafanyabiashara wa mikoani mnaochukua vitu Kariakoo, njooni tujuzane machimbo ya bidhaa

Mwenyezi Mungu akuongezee charty.

 
Weye ni nomaa Mkuu ulitumia akili ya kuzaliwa kicomandoo commando.

 
Dada charty nimefuata maelekezo yako yote nimeenda kwa wachina nimeshindwa kupata mzigo na cash ninayo naambiwa bei Amby sio kabixa naomb nisaidie plz najarb kukupm nimeshindwa naomb nicheki 0743668001
Its all about business Nina shida plz naomb msaada
 
Wakuu samahanin san <br />naomba mtu au watu amabo wanauzoefu na biashara ya vifaa vya simu(phone accessories) kutoka kenya au Zanzibar kwa bei ya jumla vifaa hvyo ni km vile mics,system chargers, screen touches, glass protectors, earphones, phone covers,chargers,USB cables,carbons, speakers, motherboard,memory cards, flash, battery, nk. nahitaji kujua bei ya jumla kwa hayo maeneo mawili(kenya na zanzibar) na wapi ni nafuu zaid na maeneo ambayo ni dominant kwa kuuza hvyo vifaa kwa bei ya jumla msaada plzzz wakuu<br /> cont: +255769939879<br />whatsapp na voice call online 24/7
 
Mwenye kujua chimbo la albam za picha plz anisaidie.
 
Pole, asante
 
Charty bidhaa kama T-shirt za manga au hot basic kwa jumla bei simpo ninaweza kupata maeneo gani mkuu?

Nataka nipate mzigo then niziprint halafu niziingize sokoni..
Tatizo machimbo ya bei rahisi ndo siyafahamu..
Na jeans na raba Pia kama unafahasmu..
 
Karibuni ndugu zanguni,tupeane mbinu za kupata mzigo wa jumla kwa bei nafuu hapo kariakoo na kuonesha bei ya jumla binafsi nina mpango wa kuuza kwa mnada wa kutembeza kwa gari vitu kama vitenge,nguo za kiume,za kike,za watoto jinsia zote,viatu aina zote yebo yebo za watoto vingine nitaviacha dukani.

Tushauriane jinsi ya kupata mzigo nafuu nimejaribu kufika soko la manzese nimekuta viatu vya mtoto yebo nzuri kabisa sh 1000 wakati kariakoo 3500 sasa nimekuja mahali hapa nipate kujua za kupata mzigo mzuri kwa ujumla

Ahsante kwa kutoa muda wako

USHAURI;Tujitahidi kuwafata wateja mahali walipo kutatua shida zao wao watupe pesa

UKIPENDA PESA JUA NA KUZITAFUTA
 
Nasubiri maeneo ya nguo zote za mtumba na mazaga zaga yoteeeee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…