Uzi huu unq mafunzo mengi kwa Wafanyabiashara
1. Hawaweki bidhaa mitandaoni hasa Tz bado wafanyabiashara wakubwa wamejifungia na hawauzi hadharani ila base ya wa chuuzi ndio sasa inatumia mitandao
2. Humu wengi wanauliza maswali lakini watoa majibu ni walewale (wengi bado wanaficha taarifa).
Sasa mie hata zimeulizwa sehemu nyingi nazifahamu ila sasa uelekezaji ndio unanipaga shida, kuelekeza mitaa ya dar ni ngumu sana japo nimeishi hapa miaka mingi. Ila ukinibeba nikupeleke ni dakika tu.
UZURI: VITU VINGI VINAVYOFANANA HUKAA PAMOJA.
SASA NISHAURI NJIA YA KUEPUKA KUPIGWA BEI BIDHAA. KAMA UNATAKA AINA FLAN YA BIDHAA
Kwa mfano: simple(kiatu) flan, nenda kakomae na machinga bei ukiona bei yao ya mwisho anataka kukuuxia lets say 6000/= mwingine hivyo hivyo, jua iko kitu bei ya jumla ni chini ya hio anayouza machinga.
Yan ni hv kwa mfano zile raba midosho wanauzaga elf 10 tu na haipungui. Jua jumla kwa mchina wanauziwa elf 6 au 7