Wafanyabiashara wa mikoani mnaochukua vitu Kariakoo, njooni tujuzane machimbo ya bidhaa

Wewe muhuni kweli[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Kwa jumla au za kuvaa wewe tu?
Kama jumla nenda m/mmoja, kuna maduka ya mitumba ya mabelo.

Km rejareja nenda karume na ilala
 
Ahsante mkuu
 
Kwa vile umeshaweka contact zako jilinde sana na watu wasiojulikana maana wataanza kucheki post zako za nyuma[emoji1] [emoji1]
Hahahahaha kama ulijua vile,,,mimi nishaanza kitambo kutazama post zake za nyuma zilkuwa vipi.
 
Muanzisha uzi Mungu akubariki.
Mi naomba kuelekezwa wapi nitapata jersey original kwa bei rafiki ya jumla.
[emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120]
 
ngoja niombe ridhaa kwa admin lakini group yenyewe ni ya watu wa kimataif so mambo ya kupost upumbaf hayakubaliwi ni business only usidhani ni group la vigodoro na pia kama una biashara yako unapost unauza localy............
Nami naomba please.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…