Ricecooker
JF-Expert Member
- Aug 9, 2017
- 500
- 904
Njaa kakaa!ukiamua unaweza kutenga week nzima unadamkia kariakoo.Unazungukia maduka,ukichoka unaenda kunywa kahawa huku ukipiga story na wadau.Ukitaka bidhaa za kiislamu nenda msikiti wa kwa mtoro ambapo utakutana hadi maduka ya miwani.Weye ni nomaa Mkuu ulitumia akili ya kuzaliwa kicomandoo commando.