Yapo ya kutoka uganda yale mazito,, ila yana bei efu 70,ni PM nikuelekeze km hutojali mkuu
Mkuu yaani nimekuelewa sana watu wengi hawapendi wenzako wafanikiwe kabisa hata ikibidi wakufilisi kabisa ila ukifanya biashara na mtu mweusi ufanikiwe utakuwa umetumia gharama kubwa asante kwa uwepo wako hapa, naomba unipe chimbo la nguo za watoto kuanzia 0-10 years.Sawa vingine ukitaka unasema tu nakuelekeza! ninavyovijua pia nitakua nakuongezea machimbo mapya maana supplier wengine wanafilisikaga hahaaahaa
Wapi napata mabalo ya mitumba ya viatu vya kiume grade A.
Nikipata na bei yake itakuwa vizuri zaidi.
Mkuu ungenitajia na bei ungekuwa msaada mkubwa kwangu ili ninavyofunga safari niwe nimejiandaa
Nenda ilala pale karume utafaidi mwenye bei rahisi mno Manzese na Kariakoo kuna baadhi wanaenda kuchukulia hapo
Kongoz mm napatikana Muleba Mjini_Kagera, Nataka kufungua duka la kuuza vitu vifuatavyo, viatu vya kike, nguo za jinsia zote, nguo za ndani, vifaa vya urembo. Naomba kujua sehemu ambayo naweza kua napata hii bidhaa kwa garama ya kawaida
Mashuka haya ya kawaida ya kutandikia kitanda na kujifunika yasiyochuja rangi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Habarini waungwana, huu uzi ni mzuri sana, umetufungua macho. ubarikiwe uliyeanzisha na wachangiaji wote.
mimi naomba kuulizia mashati ya kiume ya ofisini mazuri na vitu kama boxer soksi singlend bukta. Kariakoo navipata sehemu gani vyenye bei nafuu. Asanteni wapendwa.
samahani mkuu hivi mashuka ya uganda unayafuata huko au kuna mtu anakuchukuliaOk zamani nilikuwa nachukua Karume sokoni
Kuna shuka fulani walikuwa wanauza 18,000 kwa muda sijapita huko
Kwa sasa nachukua za Uganda bei yake ni 70,0000-75,000
Ya mtumba yapo Tandika yanauzwa kwa njia ya mnada ama ya kupangwa yapo
Kariakoo kwa wachina,Mtaa wa aggrey na nyamwezi
Samahani mkuu hivi mashuka ya Uganda unayafuata huko au kuna mtu anakuchukulia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nashkuru mkuu wewe kwa jumla unauzaje.Hizi ananiletea mdogo wangu
Nashukuru mkuuJumla siuzi kwa sababu zimeisha na kwenda tena mpaka mwezi March
Balo moja inasimama PESA ngapi