Zinakua quality au ni zile za mafunguKariakoo
Nenda mlimani cityZinakua quality au ni zile za mafungu
Asante sana khy wana saa qualityNenda Posta Mpya pale round about ya Askari ulizia duka linaitwa Babla...
Hapo si saa tu, hata marekebisho pia wanafanya kwa saa original lakini, marekebisho ya saa za copy sidhani kama wanafanya
Mengi wanauza bei za ajabu ajabu bei anayokutajia kwa moja ndio hyo hyo inauzwa kwa jumla
Mkuu shukrani sanaa.Ila sio aina hiyoo mzeee. Cheki hizi
Picha ya tatu ipo kama DackersMkuu shukran sanaa.Ila sio aina hiyoo mzeee.Cheki hizi
View attachment 1230906View attachment 1230908View attachment 1230910View attachment 1230915
Hiyo hiyoNi ile ya karume au
mkuu hebu tusaidie na sie tunaotaka kuanza biashara,,,vp bei zake kwa jumla zipo vzr??,,,na je machimbo wadau walioleza hapo juu yapo sawa?,,i mean yana bidhaa hizo kwa jumla?Nimeenda kariakooo daaah mpk mwenyewe nimefurahi.nimekuta maviatu kama yoteeeee
nisaidie na mie please, nahitaji vyupi, boxer, tight, bra, mitandio shungi, nk. Nataka kwa wauzaji wa jumla wa bei poa maana nataka kuchukua mzigo next week.Sawa vingine ukitaka unasema tu nakuelekeza! ninavyovijua pia nitakua nakuongezea machimbo mapya maana supplier wengine wanafilisikaga hahaaahaa
Dan vp kwa experience yako mkuu, ninahitaji vyupi, tight, boxer, bra, mitandio, sandle, soksi kwa jumla hapo K/koo. Mtaji unaanzia 5m ila nataka wauzaji wa jumla wa bei poa mkuu, naomba nisaidie kwa ushauri. Ni Dar au Nairobi ndo nafuu, mzigo unaenda Arusha.Unatosha sana inategemea unataka kununua nini