kibombonya
JF-Expert Member
- May 9, 2018
- 326
- 564
Earphone nyingi jumla zina anzia 1000 na redio nyingi huanzia 7000Wakubwa kwa anaefahamu mahali wanapouza vijiredio vidogo vidogo na earphone dar-es-salaam kwa bei nzuri ya jumla tafadhari nijulishe nategemea kuanza hii biashara mwezi ujao.
kweli naweza kupata earphone za jumla bei chini ya 1000 na vijiradio vidogo chini ya elfu 5000.
Hiyo bei mkuu hata mwanza unapata ndio maana nilifikiri labda huko dar bei inaweza kuwa chini kidogoEarphone nyingi jumla zina anzia 1000 na redio nyingi huanzia 7000
Wakubwa kwa anaefahamu mahali wanapouza vijiredio vidogo vidogo na earphone dar-es-salaam kwa bei nzuri ya jumla tafadhari nijulishe nategemea kuanza hii biashara mwezi ujao.
kweli naweza kupata earphone za jumla bei chini ya 1000 na vijiradio vidogo chini ya elfu 5000.
Mwanza sehemu gani mkuuHiyo bei mkuu hata mwanza unapata ndio maana nilifikiri labda huko dar bei inaweza kuwa chini kidogo
Ndugu hizo earphone. za buku zinafananaje ndo zile za hovyohovyo zinauzwa kwa mafungu zenye mipira ya plastic?Wakubwa kwa anaefahamu mahali wanapouza vijiredio vidogo vidogo na earphone dar-es-salaam kwa bei nzuri ya jumla tafadhari nijulishe nategemea kuanza hii biashara mwezi ujao.
kweli naweza kupata earphone za jumla bei chini ya 1000 na vijiradio vidogo chini ya elfu 5000.
Wanauza mwanza shilingi 1100 Ila hazina micNdugu hizo earphone. za buku zinafananaje ndo zile za hovyohovyo zinauzwa kwa mafungu zenye mipira ya plastic?
Brand zipi?Wanauza mwanza shilingi 1100 Ila hazina mic
+255 713 256 424 Arafa yupo kkooNaomba kufahamishwa wapi ninaweza pata hizi sandal kwa bei nzuri...kama kuna mtu unamfaham unaweza,nisaidia ata namba zakeView attachment 1347122
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani unamaanisha hizo picha ndio za pamba Kali unazo maanisha..!!??
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimemcheki ila hana iyo design...labda kama unafaham mtu mwingine nisaidieeNa ulete mrejesho
Ukipata na Mimi niunganishe please
Jamaa ana Tamaa ndio maana haweki Bei.ignatus peter, Ungekuwa unaweka na bei yaani jumla kiasi hiki rejereja kiasi hiki,
ktk page yako hata huku