sweetdada
JF-Expert Member
- Feb 17, 2011
- 517
- 169
Habarini wadau.
Nahitaji kununua accessories za wanawake kama vile hereni, bangili, mikufu, saa na kadhalika ila kwa bei ya jumla. Nimeambiwa Kariakoo kuna Wachina wanauza hizo.
Naomba mwenye kujua anielekeze tafadhali. Natanguliza shukrani.
Sweetdada
Nahitaji kununua accessories za wanawake kama vile hereni, bangili, mikufu, saa na kadhalika ila kwa bei ya jumla. Nimeambiwa Kariakoo kuna Wachina wanauza hizo.
Naomba mwenye kujua anielekeze tafadhali. Natanguliza shukrani.
Sweetdada