Mkuu, msaada wa maduka ya jumla ya hereni, cheni, bangili vya wadada tafadhali.Katikat ya mtaa wa Sikukuu na Mchikichi ulizia maduka ya ndani kabsa huko ndo kuna bidhaa zote kuanzia chen za India hadi za China wallets za kike na kiume, maduka ya miwani ya kusomea na urembo na makeup kit zote kuna wanaoleta za Dubai na China zote ni zilezile sema package zinatofautiana.
Sijaenda tena nasubiri huu upepo wa Jan to March upite kwanza
Wakubwa kwa anaefahamu mahali wanapouza vijiredio vidogo vidogo na earphone dar-es-salaam kwa bei nzuri ya jumla tafadhari nijulishe nategemea kuanza hii biashara mwezi ujao.
kweli naweza kupata earphone za jumla bei chini ya 1000 na vijiradio vidogo chini ya elfu 5000.
kama upo dar nenda k/koo mchikichiniWakuu natufuta vikamba kama hivo kwenye piacha naombeni cinnection
View attachment 1341609View attachment 1341610
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu Uliza hata Jirani ili ujue ni mtaa ganiMimi napajua...wanauza bei tam balaa...sema sasa cjui mtaa...hua naend lkn cjui lipo mtaa gan
Sent using Jamii Forums mobile app
Msimbazi A kituo cha mwendokasiChimbo la vipodozi wakuu...
pana maduka kibao pemben ya soko kuu la kariakoo zinapoingilia daladala zinazotoka tegeta kaz kwakoMsaada kwa anaejua chimbo la vifaa vya pikipiki aina zote kwa bei za jumla hapa dar es salaam
Mtaa ??Tena huo msikiti kwa nje huwa wanapangaga viatu vya kike na mapochi.
Ukifika pale kata kushoto au unaweza usikate ila angalia mbele yako utaona lango la kuingilia.
Ingia humo sasa.
Au ukifika hapo msikitini uliza nataka jeanz wanaponunuaga wazambia...utaoneshwa
Ubarikiwewale wote wanao hitaji bidhaa za aina yoyote jumla za bei chee kariakoo
kama vifaa vya cherehani, spea za pikipiki redio kubwa na vidogo vidogo,
bangili cheni , vipodoz jeans mabegi,ear phone, yaani bidhaa yoyote we
nicheki mimi no hii hapa
0788 41 76 74
nitakupeleka chimbo lake
Na kwa wale wa mikoani wanaweza kuniagizia nikamnunulia nikamtumia mzigo wake
mtu yoyote anaetaka kufanya kazi na mimi
ili kumuondoa wasiwasi Anaweza kuja ofisini kwangu tandika nauza duka la kanzu na naishi y/dovya
kona na vichochoro vyote vya kariakoo
nimeangaika sana humo
Yaani kwa ufupi biashara za jumla kariakoo zipo kila eneo
lkn kupata sehemu za bei chee inahitaji uzoefu
karibuni anaehitaji kunituma nipo teari
na anaehitaji nimpeleke nipo teari.
Sent using Jamii Forums mobile app
Bora yako mkuuwale wote wanao hitaji bidhaa za aina yoyote jumla za bei chee kariakoo
kama vifaa vya cherehani, spea za pikipiki redio kubwa na vidogo vidogo,
bangili cheni , vipodoz jeans mabegi,ear phone, yaani bidhaa yoyote we
nicheki mimi no hii hapa
0788 41 76 74
nitakupeleka chimbo lake
Na kwa wale wa mikoani wanaweza kuniagizia nikamnunulia nikamtumia mzigo wake
mtu yoyote anaetaka kufanya kazi na mimi
ili kumuondoa wasiwasi Anaweza kuja ofisini kwangu tandika nauza duka la kanzu na naishi y/dovya
kona na vichochoro vyote vya kariakoo
nimeangaika sana humo
Yaani kwa ufupi biashara za jumla kariakoo zipo kila eneo
lkn kupata sehemu za bei chee inahitaji uzoefu
karibuni anaehitaji kunituma nipo teari
na anaehitaji nimpeleke nipo teari.
Sent using Jamii Forums mobile app
mtafte jamaa huyu hapa chini kaachia na contact zake akupe mwongozoHabar wakuu....?
Nnatafuta chimbo la chupi za wakina Dada kwa jumla
wale wote wanao hitaji bidhaa za aina yoyote jumla za bei chee kariakoo
kama vifaa vya cherehani, spea za pikipiki redio kubwa na vidogo vidogo,
bangili cheni , vipodoz jeans mabegi,ear phone, yaani bidhaa yoyote we
nicheki mimi no hii hapa
0788 41 76 74
nitakupeleka chimbo lake
Na kwa wale wa mikoani wanaweza kuniagizia nikamnunulia nikamtumia mzigo wake
mtu yoyote anaetaka kufanya kazi na mimi
ili kumuondoa wasiwasi Anaweza kuja ofisini kwangu tandika nauza duka la kanzu na naishi y/dovya
kona na vichochoro vyote vya kariakoo
nimeangaika sana humo
Yaani kwa ufupi biashara za jumla kariakoo zipo kila eneo
lkn kupata sehemu za bei chee inahitaji uzoefu
karibuni anaehitaji kunituma nipo teari
na anaehitaji nimpeleke nipo teari.
Sent using Jamii Forums mobile app