machimbo ya chupi yapo mengiHabar wakuu....?
Nnatafuta chimbo la chupi za wakina Dada kwa jumla
nenda msikiti wa mtoro kuna maduka mengi ya hizo mamboView attachment 1369640
Wadau nilikuwa na shida na hizi big g sijui nitazipata wapi kwa bei ya jumlaView attachment 1369640
Upo maeneo gani mzee
Kama unaweza uweke Google map location ya ofisi yako hapawale wote wanao hitaji bidhaa za aina yoyote jumla za bei chee kariakoo
kama vifaa vya cherehani, spea za pikipiki redio kubwa na vidogo vidogo,
bangili cheni , vipodoz jeans mabegi,ear phone, yaani bidhaa yoyote we
nicheki mimi no hii hapa
0788 41 76 74
nitakupeleka chimbo lake
Na kwa wale wa mikoani wanaweza kuniagizia nikamnunulia nikamtumia mzigo wake
mtu yoyote anaetaka kufanya kazi na mimi
ili kumuondoa wasiwasi Anaweza kuja ofisini kwangu tandika nauza duka la kanzu na naishi y/dovya
kona na vichochoro vyote vya kariakoo
nimeangaika sana humo
Yaani kwa ufupi biashara za jumla kariakoo zipo kila eneo
lkn kupata sehemu za bei chee inahitaji uzoefu
karibuni anaehitaji kunituma nipo teari
na anaehitaji nimpeleke nipo teari.
Sent using Jamii Forums mobile app
wale wote wanao hitaji bidhaa za aina yoyote jumla za bei chee kariakoo
kama vifaa vya cherehani, spea za pikipiki redio kubwa na vidogo vidogo,
bangili cheni , vipodoz jeans mabegi,ear phone, yaani bidhaa yoyote we
nicheki mimi no hii hapa
0788 41 76 74
nitakupeleka chimbo lake
Na kwa wale wa mikoani wanaweza kuniagizia nikamnunulia nikamtumia mzigo wake
mtu yoyote anaetaka kufanya kazi na mimi
ili kumuondoa wasiwasi Anaweza kuja ofisini kwangu tandika nauza duka la kanzu na naishi y/dovya
kona na vichochoro vyote vya kariakoo
nimeangaika sana humo
Yaani kwa ufupi biashara za jumla kariakoo zipo kila eneo
lkn kupata sehemu za bei chee inahitaji uzoefu
karibuni anaehitaji kunituma nipo teari
na anaehitaji nimpeleke nipo teari.
Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu nenda jengo jirani na jengo la simba kwandani ya jengo kuna maduka ya saa hizo kibao...saa zinazouzwa mtaani5000 moja mule ukienda ukichukua nyingi ni2500Tujuzane chimbo la saa za mkononi zile ambazo machinga wanauza rejareja kwa 3500/=
Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu nenda kule msikiti wa mtoro yapo maduka mengi au njoo kanisani jiran na mtaa wa agrey yapo maduka mengi sanaHabar wakuu....?
Nnatafuta chimbo la chupi za wakina Dada kwa jumla
mkuu tupo tayarwale wote wanao hitaji bidhaa za aina yoyote jumla za bei chee kariakoo
kama vifaa vya cherehani, spea za pikipiki redio kubwa na vidogo vidogo,
bangili cheni , vipodoz jeans mabegi,ear phone, yaani bidhaa yoyote we
nicheki mimi no hii hapa
0788 41 76 74
nitakupeleka chimbo lake
Na kwa wale wa mikoani wanaweza kuniagizia nikamnunulia nikamtumia mzigo wake
mtu yoyote anaetaka kufanya kazi na mimi
ili kumuondoa wasiwasi Anaweza kuja ofisini kwangu tandika nauza duka la kanzu na naishi y/dovya
kona na vichochoro vyote vya kariakoo
nimeangaika sana humo
Yaani kwa ufupi biashara za jumla kariakoo zipo kila eneo
lkn kupata sehemu za bei chee inahitaji uzoefu
karibuni anaehitaji kunituma nipo teari
na anaehitaji nimpeleke nipo teari.
Sent using Jamii Forums mobile app
Shukrani sana mkuumkuu nenda jengo jirani na jengo la simba kwandani ya jengo kuna maduka ya saa hizo kibao...saa zinazouzwa mtaani5000 moja mule ukienda ukichukua nyingi ni2500
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndugu hakuna cha bure dunia hii labda salamMkuu kuna gharama unalipwa au
Siku hizi hata salam unailipiaNdugy yangu hakuna cha bure dunia hii labda salam
Hmm! AiseeSiku hizi hata salam unailipia
kama upo sirias jambo lakoMkuu kuna gharama unalipwa au
sina ujuzi huo ila ofisi yangu ipo tandika msikiti wa chihota duka la kanzu frem imeangalia tutaKama unaweza uweke Google map location ya ofisi yako hapa
Nikija nitakucheki je urembo wa wadada Kama hereni na cheni Unajua machimbo yake?kama upo sirias jambo lako
uwezi kuona shida kulipia gharama kidogo tu
tena mara moja tu baada ya hapo unaenda mwenyewe
tena ni kwa ajili ya kupata mwongozo mzuri wa biashara yako
na machimbo nitakayo kupitisha mm utafurai mwenyewe
Sent using Jamii Forums mobile app
saana! yaana yote yapo maeneo tafauti tafautiNikija nitakucheki je urembo wa wadada Kama hereni na cheni Unajua machimbo yake?
Ndugu yangu si utuelekeze tuwale wote wanao hitaji bidhaa za aina yoyote jumla za bei chee kariakoo
kama vifaa vya cherehani, spea za pikipiki redio kubwa na vidogo vidogo,
bangili cheni , vipodoz jeans mabegi,ear phone, yaani bidhaa yoyote we
nicheki mimi no hii hapa
0788 41 76 74
nitakupeleka chimbo lake
Na kwa wale wa mikoani wanaweza kuniagizia nikamnunulia nikamtumia mzigo wake
mtu yoyote anaetaka kufanya kazi na mimi
ili kumuondoa wasiwasi Anaweza kuja ofisini kwangu tandika nauza duka la kanzu na naishi y/dovya
kona na vichochoro vyote vya kariakoo
nimeangaika sana humo
Yaani kwa ufupi biashara za jumla kariakoo zipo kila eneo
lkn kupata sehemu za bei chee inahitaji uzoefu
karibuni anaehitaji kunituma nipo teari
na anaehitaji nimpeleke nipo teari.
Sent using Jamii Forums mobile app