Wafanyabiashara wa mikoani mnaochukua vitu Kariakoo, njooni tujuzane machimbo ya bidhaa

Wafanyabiashara wa mikoani mnaochukua vitu Kariakoo, njooni tujuzane machimbo ya bidhaa

Habar wakuu....?
Nnatafuta chimbo la chupi za wakina Dada kwa jumla
machimbo ya chupi yapo mengi
lipo moja kubwa maduka mengi kwa pamoja kama 50 au zaidi
linalofuatia yapo kama maduka 20 hv pamoja
halafu yapo yaliyo kaa moja moja tafauti tofauti
ki ukweli bidhaa za kariakoo nitafuteni tu mimi mutafurahi wenyewe
nitakupeka chimbo moja baada ya moja
ukizoea utaenda mwenyewe
0788 41 76 74

Sent using Jamii Forums mobile app
 
FB_IMG_15816665677886621.jpg

Wadau nilikuwa na shida na hizi big g sijui nitazipata wapi kwa bei ya jumla
FB_IMG_15816665677886621.jpg
 
wale wote wanao hitaji bidhaa za aina yoyote jumla za bei chee kariakoo
kama vifaa vya cherehani, spea za pikipiki redio kubwa na vidogo vidogo,
bangili cheni , vipodoz jeans mabegi,ear phone, yaani bidhaa yoyote we
nicheki mimi no hii hapa
0788 41 76 74
nitakupeleka chimbo lake

Na kwa wale wa mikoani wanaweza kuniagizia nikamnunulia nikamtumia mzigo wake
mtu yoyote anaetaka kufanya kazi na mimi
ili kumuondoa wasiwasi Anaweza kuja ofisini kwangu tandika nauza duka la kanzu na naishi y/dovya
kona na vichochoro vyote vya kariakoo
nimeangaika sana humo

Yaani kwa ufupi biashara za jumla kariakoo zipo kila eneo
lkn kupata sehemu za bei chee inahitaji uzoefu
karibuni anaehitaji kunituma nipo teari
na anaehitaji nimpeleke nipo teari.


Sent using Jamii Forums mobile app
Kama unaweza uweke Google map location ya ofisi yako hapa
 
Mkuu kuna gharama unalipwa au

wale wote wanao hitaji bidhaa za aina yoyote jumla za bei chee kariakoo
kama vifaa vya cherehani, spea za pikipiki redio kubwa na vidogo vidogo,
bangili cheni , vipodoz jeans mabegi,ear phone, yaani bidhaa yoyote we
nicheki mimi no hii hapa
0788 41 76 74
nitakupeleka chimbo lake

Na kwa wale wa mikoani wanaweza kuniagizia nikamnunulia nikamtumia mzigo wake
mtu yoyote anaetaka kufanya kazi na mimi
ili kumuondoa wasiwasi Anaweza kuja ofisini kwangu tandika nauza duka la kanzu na naishi y/dovya
kona na vichochoro vyote vya kariakoo
nimeangaika sana humo

Yaani kwa ufupi biashara za jumla kariakoo zipo kila eneo
lkn kupata sehemu za bei chee inahitaji uzoefu
karibuni anaehitaji kunituma nipo teari
na anaehitaji nimpeleke nipo teari.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
wale wote wanao hitaji bidhaa za aina yoyote jumla za bei chee kariakoo
kama vifaa vya cherehani, spea za pikipiki redio kubwa na vidogo vidogo,
bangili cheni , vipodoz jeans mabegi,ear phone, yaani bidhaa yoyote we
nicheki mimi no hii hapa
0788 41 76 74
nitakupeleka chimbo lake

Na kwa wale wa mikoani wanaweza kuniagizia nikamnunulia nikamtumia mzigo wake
mtu yoyote anaetaka kufanya kazi na mimi
ili kumuondoa wasiwasi Anaweza kuja ofisini kwangu tandika nauza duka la kanzu na naishi y/dovya
kona na vichochoro vyote vya kariakoo
nimeangaika sana humo

Yaani kwa ufupi biashara za jumla kariakoo zipo kila eneo
lkn kupata sehemu za bei chee inahitaji uzoefu
karibuni anaehitaji kunituma nipo teari
na anaehitaji nimpeleke nipo teari.


Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu tupo tayar

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu kuna gharama unalipwa au
kama upo sirias jambo lako
uwezi kuona shida kulipia gharama kidogo tu
tena mara moja tu baada ya hapo unaenda mwenyewe
tena ni kwa ajili ya kupata mwongozo mzuri wa biashara yako
na machimbo nitakayo kupitisha mm utafurai mwenyewe



Sent using Jamii Forums mobile app
 
kama upo sirias jambo lako
uwezi kuona shida kulipia gharama kidogo tu
tena mara moja tu baada ya hapo unaenda mwenyewe
tena ni kwa ajili ya kupata mwongozo mzuri wa biashara yako
na machimbo nitakayo kupitisha mm utafurai mwenyewe



Sent using Jamii Forums mobile app
Nikija nitakucheki je urembo wa wadada Kama hereni na cheni Unajua machimbo yake?
 
wale wote wanao hitaji bidhaa za aina yoyote jumla za bei chee kariakoo
kama vifaa vya cherehani, spea za pikipiki redio kubwa na vidogo vidogo,
bangili cheni , vipodoz jeans mabegi,ear phone, yaani bidhaa yoyote we
nicheki mimi no hii hapa
0788 41 76 74
nitakupeleka chimbo lake

Na kwa wale wa mikoani wanaweza kuniagizia nikamnunulia nikamtumia mzigo wake
mtu yoyote anaetaka kufanya kazi na mimi
ili kumuondoa wasiwasi Anaweza kuja ofisini kwangu tandika nauza duka la kanzu na naishi y/dovya
kona na vichochoro vyote vya kariakoo
nimeangaika sana humo

Yaani kwa ufupi biashara za jumla kariakoo zipo kila eneo
lkn kupata sehemu za bei chee inahitaji uzoefu
karibuni anaehitaji kunituma nipo teari
na anaehitaji nimpeleke nipo teari.


Sent using Jamii Forums mobile app
Ndugu yangu si utuelekeze tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom