Uganda sijawah kwenda ila Nairob na Dar wanakaribiana kidogo bei ninachofanya kiatu kikitoka kama hakijafika Dar nakiuza chapchap kikifika Dar mi nishakula naacha hivyohivyo.Asante. Kwa experience yako,wapi bora kwa kununua viatu kati ya Dsm, Nai na Uganda