Mulhat Mpunga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 27,256
- 16,317
Napajua aisee ngoja naenda kk ntakujuza badaeVitu vya culture kuna maduka nilikumbana nayo siku nazurura kkoo ila ule mtaa sijui jina lake ni upande wa ilipo Abc hotel
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Napajua aisee ngoja naenda kk ntakujuza badaeVitu vya culture kuna maduka nilikumbana nayo siku nazurura kkoo ila ule mtaa sijui jina lake ni upande wa ilipo Abc hotel
Mnazi mmojaNaomba kujua Maroba ya viatu vya mtumba yanapatikana wapi na bei zake
Ok kila la heri.Napajua aisee ngoja naenda kk ntakujuza badae
Mkuu ukipata na mie nambie nazitafuta sanaWakuu mwenyekujua hizi cup zinapaikana wapi hapo K/Koo
![]()
![]()
Kati ya gesi ya mihani na orxy IPI nzuri zaidi kwa matumizi msaada jamanisfi leo nina mteja wangu wa musoma ngoja niingie machimbo ya magaun maana kk wanatuuzia bei za juu kumbe ukiingia machimbo unakula faida safi sana
Mimi natumia zote ikiisha naweka ya tofauti hizo mihan na oryx by the way zote hazishuki 3 miez ni matumizi yako mae ukichemshia maharagwe na mengineyo inakukost.Kati ya gesi ya mihani na orxy IPI nzuri zaidi kwa matumizi msaada jamani
Hii ya chini ipo kkoo sokoniMkuu ukipata na mie nambie nazitafuta sana
Please naomba uniadd na mimi piaok ngoja nikutaftie link nakuinbox
Asante sanaKwa chimbo la mapazia quality mtaa wa aggrey maduka ya chini duka namba 234
Naomba nisaidie chimbo zuri ya vitu vya ndani kama maua,vesels,mapazia,na urembo urembo mwingine wa ndani.hahahah nitakupa mtu akusindikize maana kwa nature ya job yangu sitoki nje weekdays na weekdays shop nyingi ndo zinakua wazi jmos nusu siku possibilty ya kufanikiwa inakua kidogo na jumapili ndo kabsaa.
UMEJIINGIZA MWENYEWE KWA HAWA WAZEE WA MJINI WATAKULIZA MCHANA KWEUPE.ACHA UBAHIRI WEWE MUHA KILA MTU ANAKULA KWA UREFU WA KAMBA YAKEInawezekana wenyeji wako hawapajui hiyo machimbo.We sema unataka upelekwe? Ukihitaji nichek 0714306015 upelekwe