kasulamkombe
JF-Expert Member
- Oct 3, 2017
- 2,232
- 2,491
UKITAKA UFANIKIWE HAPA NI NYIE KUNUNUA KWA HELA YENU HAKUNA MTU ATAWATUMIA HELA
Hivi Karibuni kampuni yetu itaanzisha Huduma za kuwatafutia wafanyabiashara wa mikoani bidhaa wanazohitaji hapa DSM, au nje ya nchi. Tutachukua oda zenu, tutawapa bei, mtatuma pesa, tutanunua na kuwasafirishia mlipo. Tutawatoza ada kidogo tofauti na gharama ungezitumia kuna DSM na kurudi. Stay tuned!