Wafanyabiashara wa mikoani mnaochukua vitu Kariakoo, njooni tujuzane machimbo ya bidhaa

Wafanyabiashara wa mikoani mnaochukua vitu Kariakoo, njooni tujuzane machimbo ya bidhaa

Mi ninachokifanya naenda nai nafunga Mzigo wangu nikifika dukani nauza jumla na reja reja bei sawa na dar nahakikisha kila pc1 inatoa efu 4 na nasafari kila wiki kwa sehemu niliyopo nategemewa na wenye maduka na wanaouza kwa kutembeza muhimu fanya utafiti wa eneo ulilopo na kujua aina ya nguo zenye mzunguko mkubwa maana biashara si kupamba duka bali bidhaa zitoke.

K/koo siku izi wanamix copy na og na wanakuuzia bei moja.. @honort hope nimekupa idea
Vipi kama nahitaji soksi, vyupi, tight, bra, mitandio, boksa nk kwa nai itakua rahisi zaidi ya K/koo? Nataka nianze next week kwa mtaji wa 5m, nisaidie ndugu.
 
Chief ondoa shaka, sisi wengine ni watoto wa kkoo, tukikueleza jambo fuata, machimbo ni mengi ila anza na hayo, mfano mm huwa naagiza direct from Guangzhou kutokna na kujuana na watu. Ila in short mm siuzi bidhaa hizo kwa sasa bado nmestick kuuza vumbi la Congo na bidhaa za dizaini hiyo
mkuu hebu tusaidie na sie tunaotaka kuanza biashara,,,vp bei zake kwa jumla zipo vzr??,,,na je machimbo wadau walioleza hapo juu yapo sawa?,,i mean yana bidhaa hizo kwa jumla?
Trust me ukishindwa nijulishe nikuonyeshe machimbo Mengine . Bidhaa za Kongo zinazohusu nguvu za kiume ninazodili Nazo ni Kama hizi. Nipigie 0713924581
IMG_20190824_104103_059.jpeg
IMG_20190810_091812_793.jpeg
IMG_20190615_163809_663.jpeg
IMG_20190501_081918_162.jpeg
 
Chief ondoa shaka, sisi wengine ni watoto wa kkoo, tukikueleza jambo fuata, machimbo ni mengi ila anza na hayo, mfano mm huwa naagiza direct from Guangzhou kutokna na kujuana na watu. Ila in short mm siuzi bidhaa hizo kwa sasa bado nmestick kuuza vumbi la Congo na bidhaa za dizaini hiyoTrust me ukishindwa nijulishe nikuonyeshe machimbo Mengine . Bidhaa za Kongo zinazohusu nguvu za kiume ninazodili Nazo ni Kama hizi. Nipigie 0713924581View attachment 1239305View attachment 1239308View attachment 1239311View attachment 1239312
nashukuru mkuu,,namba yako nishaicopy na kuihifadhi,,ntakucheki next week km nitahitaji maelekezo zaidi,,,pia vumbi naweza nikakuungisha kidogo nikaitest
 
Habari zenu waheshimiwa...naomba kuulizia wapi naweza nikapata holder za vitambulisho kwa bei nzuri...zile za cotton ambazo sio za kung'aa...ningeweka picha sema sifahamu jinsi ya kuweka picha...ukiniwekea na bei hapa itakua vizuri zaidi
 
hahahah nitakupa mtu akusindikize maana kwa nature ya job yangu sitoki nje weekdays na weekdays shop nyingi ndo zinakua wazi jmos nusu siku possibilty ya kufanikiwa inakua kidogo na jumapili ndo kabsaa.
nakutafuta Sanaaaaa Mkuu
 
Mi ninachokifanya naenda nai nafunga Mzigo wangu nikifika dukani nauza jumla na reja reja bei sawa na dar nahakikisha kila pc1 inatoa efu 4 na nasafari kila wiki kwa sehemu niliyopo nategemewa na wenye maduka na wanaouza kwa kutembeza muhimu fanya utafiti wa eneo ulilopo na kujua aina ya nguo zenye mzunguko mkubwa maana biashara si kupamba duka bali bidhaa zitoke.....
K/koo siku izi wanamix copy na og na wanakuuzia bei moja.. @honort hope nimekupa idea
NI_PM LILIPO DUKA LAKO NIWE NAKUJA KUFUNGA MZIGO KWAKO MKUU!!

KULE K.KOO TUNAPIGWA SANA NA USUMBUFU MWINGI.
 
Ndio maana mnafia vifuani .. Hayo matakataka yanawamaliza nguvu
Chief ondoa shaka, sisi wengine ni watoto wa kkoo, tukikueleza jambo fuata, machimbo ni mengi ila anza na hayo, mfano mm huwa naagiza direct from Guangzhou kutokna na kujuana na watu. Ila in short mm siuzi bidhaa hizo kwa sasa bado nmestick kuuza vumbi la Congo na bidhaa za dizaini hiyoTrust me ukishindwa nijulishe nikuonyeshe machimbo Mengine . Bidhaa za Kongo zinazohusu nguvu za kiume ninazodili Nazo ni Kama hizi. Nipigie 0713924581View attachment 1239305View attachment 1239308View attachment 1239311View attachment 1239312
 
Chief ondoa shaka, sisi wengine ni watoto wa kkoo, tukikueleza jambo fuata, machimbo ni mengi ila anza na hayo, mfano mm huwa naagiza direct from Guangzhou kutokna na kujuana na watu. Ila in short mm siuzi bidhaa hizo kwa sasa bado nmestick kuuza vumbi la Congo na bidhaa za dizaini hiyoTrust me ukishindwa nijulishe nikuonyeshe machimbo Mengine . Bidhaa za Kongo zinazohusu nguvu za kiume ninazodili Nazo ni Kama hizi. Nipigie 0713924581View attachment 1239305View attachment 1239308View attachment 1239311View attachment 1239312
Hiyo sabuni unapigia nyeto?
 
Wana JF,

Naombeni msaada kwa anaejua maduka ya kariakoo ya jumla ya viatu vya kike na chupi anifaamishe.

Nitafurahi kama mkinipa ushirikiano wanezengwe.

Sio wanazengwe ni Wanazengo. Ahsante.
 
Hivyo vitu vyote unavyovitaka vinapatikana mtaa wa mchikichi na sikukuu kuna maduka ya wachina na wakinga,hapo mchikichi kuna duka maarufu la VICTAN la mchina ambapo asilimia kubwa ya wafanyabiashara wanaenda kuchukua chupi,vest na boxer quality za cotton kwa bei ya jumla mtaa wa Mhonda na msimbazi,yaani ukifika kituo cha mwendokasi msimbazi B ingia kushoto kwako kuna maduka ya nje na ya ndani utakutana na chupi za kila aina ambazo pia mara nyingi wanaenda kuchukua kwa huyo mchina wa Mchikichi,wasomali na hao wakinga.
Nisaidie na mie please, nahitaji vyupi boxer, tight,bra,mitandio shungi, nk, nataka kwa wauzaji wa jumla wa bei poa maana nataka kuchukua mzigo next week
 
Hivyo vitu vyote unavyovitaka vinapatikana mtaa wa mchikichi na sikukuu kuna maduka ya wachina na wakinga,hapo mchikichi kuna duka maarufu la VICTAN la mchina ambapo asilimia kubwa ya wafanyabiashara wanaenda kuchukua chupi,vest na boxer quality za cotton kwa bei ya jumla mtaa wa Mhonda na msimbazi,yaani ukifika kituo cha mwendokasi msimbazi B ingia kushoto kwako kuna maduka ya nje na ya ndani utakutana na chupi za kila aina ambazo pia mara nyingi wanaenda kuchukua kwa huyo mchina wa Mchikichi,wasomali na hao wakinga.
Got you, kwa hiyo mchina VICTAN wa mchikichi ndo sometimes anasupply hadi kwa hao wenye maduka ya Msimbazi na Muhonda, km ni hivyo Mchina atakua cheeper zaidi ya hawa wa mhonda. Naenda next week kufanya survey na baada ya kupata bei nzur nachukua mzigo, nikifanikiwa aisee unidai chupa moja ya Wine km unatumiaga, asante saaaana.
 
Weka liwe group ili kila member apate kuchangia machimbo anayoyajua na kuulizia machimbo anayoyataka. Channel utapost unachojiskia wewe admin.
Ni ushauri tu lakini
Mbona Telegram ni zuri zaidi
Maana linauwezo wa kuchukua members wengi.
 
Back
Top Bottom