Wafanyabiashara wa mikoani mnaochukua vitu Kariakoo, njooni tujuzane machimbo ya bidhaa

Wafanyabiashara wa mikoani mnaochukua vitu Kariakoo, njooni tujuzane machimbo ya bidhaa

Wapo sana tena wamekua wengi cha msingi,uwe unadamka mapema ikiwezekana kabsa saa 1 asubuhi ikukute mtaa wa Narung'ombe na Congo.Wafanyabiashara wenzako wanapokua wanakusanya oda ya kuchangia box nawe uwepo ili upate kwa bei nafuu.Inakua kama mnada fulani hivi sample zinazungushwa.Ila angalia usitapeliwa usitoe pesa ako hadi uone mzigo sawa.
Huu uzi umesonga sana kitambo sana sijapita humu.Kila la kheri.
Nakutafuta PM sikupati dada angu kama unaweza kunicheki basi naomba ufanye hivyo!!
 
Mbona telegram ni zuri zaidi
Maana linauwezo wa kuchukua members wengi
Nafikiri hukunielewa vizuri mkuu.sikumwambia asifungue group telegram bali nilishauri hilo group lake asilifanye liwe channel, liwe group lakawaida ili kila member aweze kupost. Telegram channels hua anaepost ni admin tu.
 
Habari wadau.

Nataka kuanza biashara ya nguo za mitumba za watoto lakini sifahamu mabelo yanapopatikana.
kwa anayejua wauzaji wa mabelo ya nguo za watoto tafadhali naomba mawasiliano.
 
Kuna nyuzi zipo humu unaweza pekua pekua.... Mtafute mdau mmoja anaitwa Manengelo..atakusaidia pia
 
Habari wadau.

Nataka kuanza biashara ya nguo za mitumba za watoto lakini sifahamu mabelo yanapopatikana.
kwa anayejua wauzaji wa mabelo ya nguo za watoto tafadhali naomba mawasiliano.
 
Nafikiri hukunielewa vizuri mkuu.sikumwambia asifungue group telegram bali nilishauri hilo group lake asilifanye liwe channel,liwe group lakawaida ili kila member aweze kupost.telegram channels hua anaepost ni admin tu
Oooh hapo nimekusoma
 
Kuna mtu Je EFD receipts huwa mnazidai mpewe kwa mujibu wa sheria?

Kasema unaoopewa iangakie kama thamani ya fedha ulipewa imepanchiwa kwenye hiyo receipt ya EFD husika
 
Anayejua chimbo la vitambaa vya jumla
Kwa ajili ya kuuzaView attachment 1239820
Vitambaa vingi vipo msimbazi/narung'ombe kuna maduka mengi ya washihiri wanauza jumla! Ila kuna vitambaa ambavyo ukifika kule hauvikuti lkn maduka ya rejareja wanavyo! Cjui sasa wanavipatiaga wapi! Hata Mimi natafuta hayo machimbo coz nmefungua duka LA vitambaa! Pls ukiyapata hayo maduka nijulishe kipenzi
 
Nataka urembo mchanganyiko kwa ya jumla (CTN) ili na mimi niuze kwa bei ya jumla mkoani.

1: Rangi za kucha
2: Wanja
3: Make up
4: Lips bam
5: Vibanio
6: Rangi za nywele
7: Na vingine vingi kibao vinavyohusiana na urembo
 
Kuna thread ipo humu,kuna huyu mdau alishawahi sema hivi


Screenshot_20191019-073203~2.png
 
Back
Top Bottom