APEFACE
JF-Expert Member
- Oct 1, 2016
- 5,316
- 9,596
Asante kwa taarifa mkuu, njia ya Kawetele nishapita na basi za Sabena kwenda Mwanza kupitia Tabora, hadi kambi Katoto huko.Ogho! Ukipita njia ya mbalizi hiyo ni chunya ya songwe, hii ya kawetere ni Mbeya