Wafanyabiashara wengi siku hizi hawatoi risiti

Hiyo risiti personally inakusaidua nn?
 
Safi sana!

Kuliko watoe risiti akale Maharage na Makmba bora wale wao wafanyabishara tu
 
Tozo ndio zinaongeza mapato
 
Hata wakitoa wanatoa risiti isiyo endana na bei ya bidhaa walizouza. Sijui Nchi hii ipo salama kwa kiwango gani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…