Sister Abigail
JF-Expert Member
- Sep 2, 2020
- 2,886
- 9,088
- Thread starter
-
- #41
Najua.ila hiyo dhambi mlania alienunua sio yako.kama unaona vibaya hifadhi kwingine kula mwenyewe.why unilishe Mimi?Kumwaga chakula ni uchuro na dhambi.
Mkuu hali inatisha sana, basi bora watu wale matunda wakiwa sehemu za movements then wakale vyakula majumbani mwao, Coz matunda ndo usalama upo kwa 100% (Matunda ambayo hayajakatwa)Kifupi hakuna sehemu nzuri ya kula zaidi ya nyumbani kwako.
Hakuna mfanyabiashara yoyote wa chakula (awe mdogo au mkubwa) ambae hafanyi "manuva" kwenye uandaaji wa chakula ili ku maximize profit.
Mfano:
1. Vitu vilivyoharibika kama nyanya, karoti, hoho nk havitupwi kamwe.
2. Vitu vilivyobaki kama wali, kuku, nyama nk kesho vinaungwa upya
3. Vitu vilivyo expire hakuna anaetupa.
4. Maji yanayosafishia vyombo usiombe ukayaona
5. Nk
Shida unaenda akufungulia mbali UNAKULA huko.ukiamua kurudia wanakukana.Hapa huna jinsi..inabidi uwaambie japo watakuchukia
Juzi kati nilikuwa mgahawa Fulani nikabakiza chapati na ilikuwa ya mwisho. Mteja akapiga simu akaambiwa imebaki moja, nikaashangaa ila nikauchuna tu.Kuna hii tabia ya kurudisha mabaki ya mteja kwenye chakula Kwa wafanyabiashara hasa wa maeneo ya kawaida japo huwa hatuoni ila utakutana nayo tu.
Juzi Kuna mtu kasema aliwahi shuhudia mama ntilie anarudisha mchuzi uliobakishwa na mteja kwenye sufuria ya mboga nikakumbuka visa vyangu, silagi Kwa mama ntilie ila chips haziepukiki.
Pia soma: Huwa unakagua usafi sehemu unayoenda kupata chakula?
Eneo la kwanza ni Mikocheni karibu na hospital kubwa sana, wakati nakula chips mayai kufungua katikati nakuta nzi wamenasa ilibidi njikaze tu kuwaondoa nsije tupa chakula na nna njaa.
Eneo la pili Ubungo mitaa ya hosteli ndanindani kwenye hotel kama nyota tatu, nikiwa na rafiki ikaagizwa chips mayai na nyama, wakati nakula katikati nakuta mifupa midogomidogo ya kuku ilikwishaliwa liwa imenasia, na pieces za kabichi, means mteja akibakisha wao wanatoa kile kilichobaki wanarudisha kwenye kisafi wanachanganya.
Juzijuzi Tena Niko Magomeni, kwenye chips tu pembeni ya main Rosa, chips mayai nakula katikati nashangaa naona ugumu kufosi naibuka na toothpick kama tatu zimelala katikati ya mayai. nkitafuta nakuata vipande vya nyama.
Sijawahi kutana na haya mambo mtaani kwetu ila maeneo yenye biashara ndo nakutana nayo.
Mbona mnatufanyia hivi, imagine mtu unahangaika tangu asubuhi hata kunywa maji hukumbuki, unaamua kupoza tumbo unaletewa vyakula vilivyorudishiwa mabaki?
What if huyo aliekula hapo akabakisha ana maradhi yanayoambukizwa Kwa mate kama hepatitis?
What if akiwa anakula kapiga chafya vikarukia humo?
What if wamewekeana sumu au madawa?
Mteja anatoa pesa kamili Kwa kile anachostahili hata mkimwaga hayo mabaki shida yenu Iko wapi, si unauza kama ulivyoplan? Kwanini mnarisk Maisha ya wengine kutafuta extra profit toka kwenye kilekile mlichozalisha. Mnapata hasara mkimwaga ilhali kishalipiwa?
Mnaua biashara za wengine pia.
Badilikeni!!
Wakifika Kwa sapraiz mbona fine zitatembeaNiliandika humu kuwa mabwana na mabibi afya hawatimizi wajibu wao huko migahawani nikarushiwa vijembe
So yako ilobaki ndo hiyo ilotajwa?Juzi kati nilikuwa mgahawa Fulani nikabakiza chapati na ilikuwa ya mwisho. Mteja akapiga simu akaambiwa imebaki moja, nikaashangaa ila nikauchuna tu.
Kabla hatujawalaumu hao maafisa afya kwanza tujiulize wako wangapi? Wamepewa nyenzo gani za kuwawezesha kuwafikia wauza chakula wengi mara kwa mara? Vipi wanalipwaje ukilinganisha na umuhimu wa kazi yao ili wasitamani rushwa?Maafisa afya hawafanyi kazi zao, inawezekana kudhibiti usafi kwa wauza chakula
Watu wengi wenye migahawa/mama ntilie hua wanaenda sokoni jioni kununua vile vitu vilivyoharibika kama nyanya zilizopondekapondeka, viazi, mboga za majani zilizonyauka nk kwa bei ya hasara. Hivyo ndio hutumia kupikia.Jamani eeh kuna watu huwa wananunua hayo mabaki kulishia mbwa wao wauzieni wao badala ya kulisha binadamu wenzenu vitu vichafu.
Na watu Ndipo wanapotegemeaVyakula vya mitaani vingi vina uchafu sana!!
Na hiyo Ili kutengeneza faida?Wauza vyakula wamekua wachafu sana serikali imelala na chombo chake cha kufuatilia afya vimelala ...watu wanalipwa mishahara for nothing....hata sehemu wanazo kaanga kuku kuna mbinu wanaitumia ...yaani wewe umechagua kipande cha kuku wakaange kumbe wanaweka vingine ndani ya mafuta wanakutolea kile wanachotaka wao kiuzwe tofauti na ulicho chagua.
Yeah. Ndio hiyo. Maana Mimi wakati nafika zikaenda kuchukuliwa mgahawa jilani. Nikabakiza Moja, mhudumu akaiuza Tena.So yako ilobaki ndo hiyo ilotajwa?
Wakairudisha mahali pake
Ndivyo wanavyofanya
🤣🤣🖐️🖐️Yeah. Ndio hiyo. Maana Mimi wakati nafika zikaenda kuchukuliwa mgahawa jilani. Nikabakiza Moja, mhudumu akaiuza Tena.
Nina dogo langu moja . Hata umpeleke wapi hali nje ya nyumbani.Watu wengi wenye migahawa/mama ntilie hua wanaenda sokoni jioni kununua vile vitu vilivyoharibika kama nyanya zilizopondekapondeka, viazi, mboga za majani zilizonyauka nk kwa bei ya hasara. Hivyo ndio hutumia kupikia.
Wao hawaoni kinyaa lakini?Ukienda kwa mama ntilie.
Akikuambie MBOGA NIKUCHANGANYIE.
ndugu yangu hapo utawekewa na ubwabwa uliobakk kwa mwenzio.
kuna mwingine nimemuona chakula kimebaki mezani kachukua kijiko kile kile kamalizia.
Hyo ya kurudisha mboga wala sikatai KWELLLL
Peleleza eneo unaona angalau wasafi Ule hapoHizi adha tunakutana nazo sana sisi bachelor sana sana
Bado hujasema wale wauza nyama choma yaani wanashika nyama kw amkono wanakata kwa mkono wanaweka kwenye sahani ya mteja kwa mkono😤 ni huzuni.Kuna wauza chips zaidi ya mmoja nimewashuhudia wakiulizwa chips ni za moto basi wao wanazipima joto kwa mkono nyuma ya kiganja ...tatizo wengi ya wauza chips ni watu washamba wa vijijini wana tabia za uchafu wa asili wanashindwa kujua jema na baya.