KERO Wafanyakazi wa Elements Club (Masaki) kuweni na adabu. Mna madharau na kiburi

KERO Wafanyakazi wa Elements Club (Masaki) kuweni na adabu. Mna madharau na kiburi

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Basi tungerudishiwa pesa zetu za kiingirio. Umewahi kwenda pale? Siku moja alienda pale Harmonize akitaka kwenda chooni wote tunasubiri mpaka wasafishe aende yeye akimaliza ndotunaruhusiwa. Huenda boss hajui haya Ila wafanyakazi wake watamuangushia biashara
Hii ya chooni ni kali. Basi siyo lazima kwenda huko. Mbona majuu tunapishana chooni na watu maarufu kabisa kuliko huyo limbukeni?
 
Biashara huwa Kuna kupanda na kushuka, club element wasipofanya mapema reform ya wafanyakazi basi Ile club haishuki inaenda kudondoka na kufa kabisa

Nimeamua niandikie leo japo ni tukio lililonitokea mwezi Jana. Sio mara yao ya kwanza kunitreat unfairly imekuwa ni tabia yao.. Tulienda pale na rafiki angu saa tano usiku tukalipa buku ten ya kiingirio tukaenda moja kwa moja kukaa meza moja ilikuwa empty

Muhudumu akaja akasema hii meza reserved, tukamwambia tuonyeshe pa kukaa, akaja baunsa kututoa kwa nguvu mpaka nje, kuulizia nn shida wakasema sisi wasumbufu. Tukasema watusamehe hatukujua but walikataa

Ivi kuulizia tu tukae wapi tayari ni kosa? Yani wana viburi, huduma mbovu wanathamini mastaa na matajiri tu mana hata ukienda na Gari ya IST au Vitz hupew parking, walahi yule mmasai hakupi pa kupaki. Ila wakiona LC 300 hapo wanakupokea na magoti

Mbaya zaidi ukionekana umeenda na bodaboda au bajaji umekwisha, hatihati wasikuruhusu. Lile baunsa lenye upara why lisitoleweee mbona jeuri saana afu Lina miaka mingi kweli pale sijui wanalibembeleza la nini
Baunsa huyo ni mwalimu
 
Hii ya chooni ni kali. Basi siyo lazima kwenda huko. Mbona majuu tunapishana chooni na watu maarufu kabisa kuliko huyo limbukeni?
Mabaunsa wa pale wanajiona sana kama ndowamiliki wana tabia ya kuomba pesa ukiwakataa wanakutega ukiingia mazima unatolewa nje.. Kuna mabinti Niliwahi shuhudia kabisa wanatolewa nje kisa tu mmoja alimwambia baunsa unatumia nguvu badala ya akili basi wakatolewa. Wafanyakazi wa pale wajue kua wanauza vilevi kuliko soda hivyo wawavumilie wateja
 
Kama unataka kupanga levels za watu basi ni rahisi sana. Tumia chujio la bei. Kuanzia kiingilio mpaka bei ya vinywaji.
Kama local tu inauzwa 5000 unataka bei gn tena, basi wauze 9000 kama wavuvi camp waone kama wataokota mtu kwa upumbavu waliona nao kwenye huduma
 
Endelea kutukana maana ni tabia Yako, meza IPO reserved means someone with high profile than you has booked.
Huna akili! Hatukukataa Hilo na kibao cha reserved hatukukiona tungeona tusingekaa. Hata hivyo halikuwa kosa kuwaomba watuonyeshe kwa kukaa.. Wahindi na waarabu watazidi kutupiga gap kwenye biashara
 
sijui kwanini ukiwa huna hela unakua unaonekana kama unapenda vurugu halafu unakua unaonekana pia kama una nguvu au unawezo mkubwa sana wakupigana
ndio maana hata ukisalimia tu wanaanza kuchukua tahadhari tutafuteni hela wahuni
 
Biashara huwa Kuna kupanda na kushuka, club element wasipofanya mapema reform ya wafanyakazi basi Ile club haishuki inaenda kudondoka na kufa kabisa

Nimeamua niandikie leo japo ni tukio lililonitokea mwezi Jana. Sio mara yao ya kwanza kunitreat unfairly imekuwa ni tabia yao.. Tulienda pale na rafiki angu saa tano usiku tukalipa buku ten ya kiingirio tukaenda moja kwa moja kukaa meza moja ilikuwa empty

Muhudumu akaja akasema hii meza reserved, tukamwambia tuonyeshe pa kukaa, akaja baunsa kututoa kwa nguvu mpaka nje, kuulizia nn shida wakasema sisi wasumbufu. Tukasema watusamehe hatukujua but walikataa

Ivi kuulizia tu tukae wapi tayari ni kosa? Yani wana viburi, huduma mbovu wanathamini mastaa na matajiri tu mana hata ukienda na Gari ya IST au Vitz hupew parking, walahi yule mmasai hakupi pa kupaki. Ila wakiona LC 300 hapo wanakupokea na magoti

Mbaya zaidi ukionekana umeenda na bodaboda au bajaji umekwisha, hatihati wasikuruhusu. Lile baunsa lenye upara why lisitoleweee mbona jeuri saana afu Lina miaka mingi kweli pale sijui wanalibembeleza la nini
View attachment 3067133
Bongo mtoa huduma ndio mfalme, mteja ni options. Na biashara nyingi zinafia hapa
 
Back
Top Bottom