KERO Wafanyakazi wa Elements Club (Masaki) kuweni na adabu. Mna madharau na kiburi

KERO Wafanyakazi wa Elements Club (Masaki) kuweni na adabu. Mna madharau na kiburi

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Pole sana mkuu.

Kila eneo huwa linakua na utawala wake.

Ukienda mahali kuwa mpole ukisoma mazingira kwanza.

Kuna watu wanawafahamu huwa wakikaa bili inaanzia laki kadhaa huko na kuendelea.

Sasa sijui huwa bajeti yako ni kiasi gani kwa kikao kimoja tu.
 
Laki kwangu mm sio pesa, Ukiona nimeenda wavuvi, samaki samaki au element ujue Nina zaidi ya laki Tatu mfukon bila hivyo bora nikae kisuma tu. Mkuu wale wanakiburi tuuu yani hawana good service
Pole sana mkuu.

Kila eneo huwa linakua na utawala wake.

Ukienda mahali kuwa mpole ukisoma mazingira kwanza.

Kuna watu wanawafahamu huwa wakikaa bili inaanzia laki kadhaa huko na kuendelea.

Sasa sijui huwa bajeti yako ni kiasi gani kwa kikao kimoja tu.
 
Bambalanga palikuwa top of the town, rainbow ilikuwa haifiki kabisa, ila leo rainbow ndio wanafunika. Ofcourse bambalaga wanajiona matawi ya juu sana
Ndoivo, Tanzania raia wengi ni maskini na wachache wana kipato cha Kati, Sasa ukileta ubaguzi unakwisha kwa sababu wateja wengi kipato chao chakawaida, ukitaka waje tu wenye LC 300 basi utasubiri sana
 
Biashara huwa Kuna kupanda na kushuka, club element wasipofanya mapema reform ya wafanyakazi basi Ile club haishuki inaenda kudondoka na kufa kabisa

Nimeamua niandikie leo japo ni tukio lililonitokea mwezi Jana. Sio mara yao ya kwanza kunitreat unfairly imekuwa ni tabia yao.. Tulienda pale na rafiki angu saa tano usiku tukalipa buku ten ya kiingirio tukaenda moja kwa moja kukaa meza moja ilikuwa empty

Muhudumu akaja akasema hii meza reserved, tukamwambia tuonyeshe pa kukaa, akaja baunsa kututoa kwa nguvu mpaka nje, kuulizia nn shida wakasema sisi wasumbufu. Tukasema watusamehe hatukujua but walikataa

Ivi kuulizia tu tukae wapi tayari ni kosa? Yani wana viburi, huduma mbovu wanathamini mastaa na matajiri tu mana hata ukienda na Gari ya IST au Vitz hupew parking, walahi yule mmasai hakupi pa kupaki. Ila wakiona LC 300 hapo wanakupokea na magoti

Mbaya zaidi ukionekana umeenda na bodaboda au bajaji umekwisha, hatihati wasikuruhusu. Lile baunsa lenye upara why lisitoleweee mbona jeuri saana afu Lina miaka mingi kweli pale sijui wanalibembeleza la nini
View attachment 3067133
Labda nimezeeka au vipi ila ile Tabia ya kwenda kula Bia Masaki au Oysterbay nishaachaga naishiaga Kimara kwetu Bar Kibao nzuri zipo na zina Vibe.
 
Bambalanga palikuwa top of the town, rainbow ilikuwa haifiki kabisa, ila leo rainbow ndio wanafunika. Ofcourse bambalaga wanajiona matawi ya juu sana
Daah umenikumbusha Mbali Bambalaga eti ukienda wanaangalia Muonekano wako...Umenyoa kiduku huingii... Juzi kati nmeenda hamna kitu ni kama imekufa
 
Back
Top Bottom