macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 25,191
- 48,765
Hii ya chooni ni kali. Basi siyo lazima kwenda huko. Mbona majuu tunapishana chooni na watu maarufu kabisa kuliko huyo limbukeni?Basi tungerudishiwa pesa zetu za kiingirio. Umewahi kwenda pale? Siku moja alienda pale Harmonize akitaka kwenda chooni wote tunasubiri mpaka wasafishe aende yeye akimaliza ndotunaruhusiwa. Huenda boss hajui haya Ila wafanyakazi wake watamuangushia biashara
Baunsa huyo ni mwalimuBiashara huwa Kuna kupanda na kushuka, club element wasipofanya mapema reform ya wafanyakazi basi Ile club haishuki inaenda kudondoka na kufa kabisa
Nimeamua niandikie leo japo ni tukio lililonitokea mwezi Jana. Sio mara yao ya kwanza kunitreat unfairly imekuwa ni tabia yao.. Tulienda pale na rafiki angu saa tano usiku tukalipa buku ten ya kiingirio tukaenda moja kwa moja kukaa meza moja ilikuwa empty
Muhudumu akaja akasema hii meza reserved, tukamwambia tuonyeshe pa kukaa, akaja baunsa kututoa kwa nguvu mpaka nje, kuulizia nn shida wakasema sisi wasumbufu. Tukasema watusamehe hatukujua but walikataa
Ivi kuulizia tu tukae wapi tayari ni kosa? Yani wana viburi, huduma mbovu wanathamini mastaa na matajiri tu mana hata ukienda na Gari ya IST au Vitz hupew parking, walahi yule mmasai hakupi pa kupaki. Ila wakiona LC 300 hapo wanakupokea na magoti
Mbaya zaidi ukionekana umeenda na bodaboda au bajaji umekwisha, hatihati wasikuruhusu. Lile baunsa lenye upara why lisitoleweee mbona jeuri saana afu Lina miaka mingi kweli pale sijui wanalibembeleza la nini
Basi waweke bango kwamba level flani hawaruhusiwUkiona hivyo ujue wewe siyo wa Level hizo..
Know your Levels
Mkuu, mimi sehemu yote ya biashara Iliyopo Bongo nikienda nikiona kuna dalili hata ndogo namna gani ya kunyanyapaliwa basi naondoka na sirudi tena pale kamwe.Wajifunze kwa wavuvi camp japo nao wanaonaga wazungu kama baba zao
Kama unataka kupanga levels za watu basi ni rahisi sana. Tumia chujio la bei. Kuanzia kiingilio mpaka bei ya vinywaji.Ukiona hivyo ujue wewe siyo wa Level hizo..
Know your Levels
Mabaunsa wa pale wanajiona sana kama ndowamiliki wana tabia ya kuomba pesa ukiwakataa wanakutega ukiingia mazima unatolewa nje.. Kuna mabinti Niliwahi shuhudia kabisa wanatolewa nje kisa tu mmoja alimwambia baunsa unatumia nguvu badala ya akili basi wakatolewa. Wafanyakazi wa pale wajue kua wanauza vilevi kuliko soda hivyo wawavumilie watejaHii ya chooni ni kali. Basi siyo lazima kwenda huko. Mbona majuu tunapishana chooni na watu maarufu kabisa kuliko huyo limbukeni?
Kama local tu inauzwa 5000 unataka bei gn tena, basi wauze 9000 kama wavuvi camp waone kama wataokota mtu kwa upumbavu waliona nao kwenye hudumaKama unataka kupanga levels za watu basi ni rahisi sana. Tumia chujio la bei. Kuanzia kiingilio mpaka bei ya vinywaji.
Ndoivo mkuuMkuu, mimi sehemu yote ya biashara Iliyopo Bongo nikienda nikiona kuna dalili hata ndogo namna gani ya kunyanyapaliwa basi naondoka na sirudi tena pale kamwe.
Endelea kutukana maana ni tabia Yako, meza IPO reserved means someone with high profile than you has booked.Kwahiyo pale niliingia kwa makalio au? Acha upuuzi na kuwa na adabu kwa watu wote no matter hana au ana pesa
Kwani na walimu wanaendaga pale? Mabaunsa wa element wakijua ww ni Ticha hutoboi. Kwanza watasema pamejaaHalali watimuliwe wigi lenyewe chafu
Hela zakuandikisha wapigakura msumbue watu
Huna akili! Hatukukataa Hilo na kibao cha reserved hatukukiona tungeona tusingekaa. Hata hivyo halikuwa kosa kuwaomba watuonyeshe kwa kukaa.. Wahindi na waarabu watazidi kutupiga gap kwenye biasharaEndelea kutukana maana ni tabia Yako, meza IPO reserved means someone with high profile than you has booked.
Mwalimu tulia achana na hao watu kunaviwanja kibaooo. Karibu segerea na kinyerezi kunaviwanja vya kula bata visivyo na usumbufu na omba ombaKwani na walimu wanaendaga pale? Mabaunsa wa element wakijua ww ni Ticha hutoboi. Kwanza watasema pamejaa
Bongo mtoa huduma ndio mfalme, mteja ni options. Na biashara nyingi zinafia hapaBiashara huwa Kuna kupanda na kushuka, club element wasipofanya mapema reform ya wafanyakazi basi Ile club haishuki inaenda kudondoka na kufa kabisa
Nimeamua niandikie leo japo ni tukio lililonitokea mwezi Jana. Sio mara yao ya kwanza kunitreat unfairly imekuwa ni tabia yao.. Tulienda pale na rafiki angu saa tano usiku tukalipa buku ten ya kiingirio tukaenda moja kwa moja kukaa meza moja ilikuwa empty
Muhudumu akaja akasema hii meza reserved, tukamwambia tuonyeshe pa kukaa, akaja baunsa kututoa kwa nguvu mpaka nje, kuulizia nn shida wakasema sisi wasumbufu. Tukasema watusamehe hatukujua but walikataa
Ivi kuulizia tu tukae wapi tayari ni kosa? Yani wana viburi, huduma mbovu wanathamini mastaa na matajiri tu mana hata ukienda na Gari ya IST au Vitz hupew parking, walahi yule mmasai hakupi pa kupaki. Ila wakiona LC 300 hapo wanakupokea na magoti
Mbaya zaidi ukionekana umeenda na bodaboda au bajaji umekwisha, hatihati wasikuruhusu. Lile baunsa lenye upara why lisitoleweee mbona jeuri saana afu Lina miaka mingi kweli pale sijui wanalibembeleza la nini
View attachment 3067133
Nani mwalimu?Mwalimu tulia achana na hao watu kunaviwanja kibaooo. Karibu segerea na kinyerezi kunaviwanja vya kula bata visivyo na usumbufu na omba omba
Yeah sure, uliza bambalaga ya pale dodoma. Saizi wateja wa kuhesabu walikuwa na dharau ukienda na sendo au umefuga rasta huingiiBongo mtoa huduma ndio mfalme, mteja ni options. Na biashara nyingi zinafia hapa
Mm pesa ninayo sema wale wafanyakazi ni jeuri tusijui kwanini ukiwa huna hela unakua unaonekana kama unapenda vurugu halafu unakua unaonekana pia kama una nguvu au unawezo mkubwa sana wakupigana
ndio maana hata ukisalimia tu wanaanza kuchukua tahadhari tutafuteni hela wahuni