KERO Wafanyakazi wa Elements Club (Masaki) kuweni na adabu. Mna madharau na kiburi

KERO Wafanyakazi wa Elements Club (Masaki) kuweni na adabu. Mna madharau na kiburi

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Elimu ya biashara bongo changamoto.
Wafanyakazi wakileta fantancies zao kwenye biashara lazima ianze kusumbua.
Mteja ni mfalme as long as hasumbui mtu na atalipa kwa bei kamili sio mkopo.
Watu waache ushamba mtu kwenda na bolt, voda, Vits sio tatizo, issue ni kumentain order na kuingiza pesa.
Namna pekee ya kudiscourage watu ni kuongeza kiingilio tu, lkn heshima zibaki palepale kwa wateja wote.
Mteja hadharauliki na usimdharau usiyemjua....huyo anayekuja na vits kesho atamrefer hapo mtu mwingine mzito zaidi...WATU WANAPENDA KUHESHIMIWA NA KUSIKILIZWA.

Wakina AZAM - BAKHRESA wanachukua sana pesa zetu kupitia icecream zao za 500/= na vijoti...wateja wao ni watoto wadogo, vijana, wamama..hawajali kuhusu umri, hali..wanaangalua capacity ya kuchukua product yao..
 
Elimu ya biashara bongo changamoto.
Wafanyakazi wakileta fantancies zao kwenye biashara lazima ianze kusumbua.
Mteja ni mfalme as long as hasumbui mtu na atalipa kwa bei kamili sio mkopo.
Watu waache ushamba mtu kwenda na bolt, voda, Vits sio tatizo, issue ni kumentain order na kuingiza pesa.
Namna pekee ya kudiscourage watu ni kuongeza kiingilio tu, lkn heshima zibaki palepale kwa wateja wote.
Mteja hadharauliki na usimdharau usiyemjua....huyo anayekuja na vits kesho atamrefer hapo mtu mwingine mzito zaidi...WATU WANAPENDA KUHESHIMIWA NA KUSIKILIZWA.

Wakina AZAM - BAKHRESA wanachukua sana pesa zetu kupitia icecream zao za 500/= na vijoti...wateja wao ni watoto wadogo, vijana, wamama..hawajali kuhusu umri, hali..wanaangalua capacity ya kuchukua product yao..
Upo sahihi
 
Wazungu wanasema when in rome do as the romans do😂
Mpayungu utakuwa ulifika pale shati lina ma kalamu mawili kwenye mfuko umetoka kusahihisha home work za civics, Miguu ina vumbi, suruali ya kitambaa, juu shati la mwenge yale ya kitenge ya kushona

Mimi nikifikaga sehemu nina adopt na mazingira. Sehemu nenda smart na muhudumu muite unaongea ki ustaarabu na ka English kwa mbali😂
 
Mbona walim huwa hatubaguliwi tukienda pale labda sema ww huna hela tu
Mwalimu huna pesa ya kwenda element usidanganye watu
Wazungu wanasema when in rome do as the romans do😂
Mpayungu utakuwa ulifika pale shati lina ma kalamu mawili kwenye mfuko umetoka kusahihisha home work za civics, Miguu ina vumbi, suruali ya kitambaa, juu shati la mwenge yale ya kitenge ya kushona

Mimi nikifikaga sehemu nina adopt na mazingira. Sehemu nenda smart na muhudumu muite unaongea ki ustaarabu na ka English kwa mbali😂
😂😂😂😂
 
Mkuu pole ila nimecheka sana.

Kuna vitu umevificha hapa ila ukweli ni kuwa kwa muda wako wa saa 5 huo hiyo meza/sofa siyo kwamba ilikuwa ina watu ila ni zile reserved kwa maana ukilipa unaruhusiwa kukaa.

Sina uzoefu na element ila ukienda 1245 masakini hukohuko wao wanareserved sofas tu kuanzia 500k na kuendelea hawana sehemu za kukaa m1 m1.

Huko masaki mkuu achana nako sio level zako kabisa njoo sinza utimue vumbi ukinunua kuku mzima tu unateka kijiji na kuondoka na wadada wa kushato.
 
Back
Top Bottom