KERO Wafanyakazi wa Elements Club (Masaki) kuweni na adabu. Mna madharau na kiburi

KERO Wafanyakazi wa Elements Club (Masaki) kuweni na adabu. Mna madharau na kiburi

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Biashara huwa Kuna kupanda na kushuka, club element wasipofanya mapema reform ya wafanyakazi basi Ile club haishuki inaenda kudondoka na kufa kabisa

Nimeamua niandikie leo japo ni tukio lililonitokea mwezi Jana. Sio mara yao ya kwanza kunitreat unfairly imekuwa ni tabia yao.. Tulienda pale na rafiki angu saa tano usiku tukalipa buku ten ya kiingirio tukaenda moja kwa moja kukaa meza moja ilikuwa empty

Muhudumu akaja akasema hii meza reserved, tukamwambia tuonyeshe pa kukaa, akaja baunsa kututoa kwa nguvu mpaka nje, kuulizia nn shida wakasema sisi wasumbufu. Tukasema watusamehe hatukujua but walikataa

Ivi kuulizia tu tukae wapi tayari ni kosa? Yani wana viburi, huduma mbovu wanathamini mastaa na matajiri tu mana hata ukienda na Gari ya IST au Vitz hupew parking, walahi yule mmasai hakupi pa kupaki. Ila wakiona LC 300 hapo wanakupokea na magoti

Mbaya zaidi ukionekana umeenda na bodaboda au bajaji umekwisha, hatihati wasikuruhusu. Lile baunsa lenye upara why lisitoleweee mbona jeuri saana afu Lina miaka mingi kweli pale sijui wanalibembeleza la nini
View attachment 3067133
Laana ya kutusi walimu imekufikia kupitia element. Malipo ni hapa hapa duniani!
 
Kuna siku sikuwaelewa kabisa wale walinzi, ALIKIBA alikuwa na show pale, mimi nikaenda kwenye mida ya saa 5 kasoro..cha ajabu wakaniambia muda wa kuingia bado, nilijiuliza maswali mengi sana ila ikabidi nipotezee nigeuze zangu, nikajisemea pengine show haipo ila kesho yake nikaona video za show zinapostiwa mitandaoni!
Labda kosa nililofanya ni kwenda na bolt.
 
Kuna siku sikuwaelewa kabisa wale walinzi, ALIKIBA alikuwa na show pale, mimi nikaenda kwenye mida ya saa 5 kasoro..cha ajabu wakaniambia muda wa kuingia bado, nilijiuliza maswali mengi sana ila ikabidi nipotezee nigeuze zangu, nikajisemea pengine show haipo ila kesho yake nikaona video za show zinapostiwa mitandaoni!
Labda kosa nililofanya ni kwenda na bolt.
Yeah, Mabaunsa ya pale ni mapumbav sana yanazuia yanavyotaka
 
Kwann walimu mnatudharau.
Hujanielewa! Mpwayungu Village anadharau walimu, sasa amepata kiboko yake ambaye ni Baunsa akamdharau. Nilikuwa nalipiza kuwa aone ubaya wa kudharauliwa.

Kwa taarifa yako mimi ni mwalimu. Mwalimu ni mtu anafundisha. Hata ukifundisha Mwanafunzi wa PhD wewe ni mwalimu tu. Hivyo ni mpuuzi tu anayeweza ku dharau mwalimu maana anayetoa ufalme hapa duniani ni mwalimu. Mwalimu anakupa PhD unaitwa Dr, Mwalimu anatoa marks unakuwa Senior Lecturer, anatoa marks unakuwa Prof. Huyo ni wa kudharau kweli?

Usisahau hata aliyetuwezesha tukajua kuandika na leo tunatamba hapa JF ni mwalimu wa vidudu.

Kama huwezi kudharau mama yako aliyekuleta duniani? Hivyo hivyo unaweza kudharau aliyekufundisha Kushika kalamu kama si uendawazimu ni nini?
 
Back
Top Bottom