Lamzettttt
JF-Expert Member
- May 28, 2020
- 1,218
- 3,481
Dah kwenye maisha yangu sijawahi kwenda club nakosa uhindo wallah
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwann walimu mnatudharau.Baunsa huyo ni mwalimu
Yaani ww ni kama mm. Mm hata nikikuta bei ya bia ni juu kidogo ntakunywa moja na kusepa sirudi tenaMkuu, mimi sehemu yote ya biashara Iliyopo Bongo nikienda nikiona kuna dalili hata ndogo namna gani ya kunyanyapaliwa basi naondoka na sirudi tena pale kamwe.
Laana ya kutusi walimu imekufikia kupitia element. Malipo ni hapa hapa duniani!Biashara huwa Kuna kupanda na kushuka, club element wasipofanya mapema reform ya wafanyakazi basi Ile club haishuki inaenda kudondoka na kufa kabisa
Nimeamua niandikie leo japo ni tukio lililonitokea mwezi Jana. Sio mara yao ya kwanza kunitreat unfairly imekuwa ni tabia yao.. Tulienda pale na rafiki angu saa tano usiku tukalipa buku ten ya kiingirio tukaenda moja kwa moja kukaa meza moja ilikuwa empty
Muhudumu akaja akasema hii meza reserved, tukamwambia tuonyeshe pa kukaa, akaja baunsa kututoa kwa nguvu mpaka nje, kuulizia nn shida wakasema sisi wasumbufu. Tukasema watusamehe hatukujua but walikataa
Ivi kuulizia tu tukae wapi tayari ni kosa? Yani wana viburi, huduma mbovu wanathamini mastaa na matajiri tu mana hata ukienda na Gari ya IST au Vitz hupew parking, walahi yule mmasai hakupi pa kupaki. Ila wakiona LC 300 hapo wanakupokea na magoti
Mbaya zaidi ukionekana umeenda na bodaboda au bajaji umekwisha, hatihati wasikuruhusu. Lile baunsa lenye upara why lisitoleweee mbona jeuri saana afu Lina miaka mingi kweli pale sijui wanalibembeleza la nini
View attachment 3067133
Kwasababu hamna akili wala pesa, kama unaingia kwenye Deni la miaka tisa kwa kukopa 16M. tu pesa ambayo tunapata kwa miezi mitatu au minne. Hamna akili kwanza usiingie kwenye uzi wangu nakutandika blockKwann walimu mnatudharau.
Wavuvi camp imported beer zote ni 9000, utaweza ww na pesa zako za ualimuYaani ww ni kama mm. Mm hata nikikuta bei ya bia ni juu kidogo ntakunywa moja na kusepa sirudi tena
Chimbo gani ilo unapewa mrembo akusindikize kwnye toi la gents?Iv machimbo yalivyo mengi iv bado mtu unakomaa sehemu isiyokuwa na customer care nzuri nawakati kuna machimbo ukitaka kwenda toilet unapewa na muhuduma akusindikize mtoto mkali
Unakuta ndo unazitegemea umalizie boma au ujiwekeza, yaani si za kulia bata kiivyo. Kuna watu mtaani wana hela ya kuchezea hadi unashangaa, na bado wanainvest vizuri tu.Kama unasafiri kwenda Uswisi, Ufaransa na Uingereza kwa kulipiwa ukizibana hizo per diem ukirudi nazo huku zinakuwa kibunda.
Elimika acha ushambaUmelazimishwa kwenda?
Ni pazur sana Pana vibe, ventilator, Hakuna vibaka, pananukia pia mazingira yake ni VIP. Sio pa kinyonge Ila shida tu wahudumuHivi humo ndani mnaakaaje
Kisehemu hicho kidogo wanavyojazana mnapumua kweli
Iva
Yeah, Mabaunsa ya pale ni mapumbav sana yanazuia yanavyotakaKuna siku sikuwaelewa kabisa wale walinzi, ALIKIBA alikuwa na show pale, mimi nikaenda kwenye mida ya saa 5 kasoro..cha ajabu wakaniambia muda wa kuingia bado, nilijiuliza maswali mengi sana ila ikabidi nipotezee nigeuze zangu, nikajisemea pengine show haipo ila kesho yake nikaona video za show zinapostiwa mitandaoni!
Labda kosa nililofanya ni kwenda na bolt.
Hujanielewa! Mpwayungu Village anadharau walimu, sasa amepata kiboko yake ambaye ni Baunsa akamdharau. Nilikuwa nalipiza kuwa aone ubaya wa kudharauliwa.Kwann walimu mnatudharau.
😃😁😁😁😁😁Umependeza aliekupaka make up anajua......
🤣🤣🤣🤣inabidi walimu walioko humu wajichange wakupoze uwaache wapumue maana unapiga spana sana 🤣🤣🤣🤣Kwani na walimu wanaendaga pale? Mabaunsa wa element wakijua ww ni Ticha hutoboi. Kwanza watasema pamejaa